Happy nation
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 679
- 597
Sauti imefanana na lyatonga Mrema zamani,ni sauti za njaa mkipewa hela watu wa kilimanjaro mnakuwa zaidi ya huyo unayomsema,niambie ni mchaga gani siyo mbinafsi?
Hata ISIS hawaonyeshi ila balaa lao mmhUpumbavu umewazidi nyie watu.... Yaani mnashindwa kufikiria taifa linaendaje mbele mnaleta upuuzi huu.... Kama ni mwanaume si aoneshe sura yake tuone
Naona unakumbukia english yako ya secondary saiv.I seldom find anything sensible in your comments. You must be rabid.
Kazi sio mdundiko !!Fanyeni kazi.. Mtaolewa.. Masika imeanza mpk inaisha hamjalima kazi kulalamika tu kwenye mitandao....
anayefata katiba na kuheshimu sheria ilo tu si kufanya yakeMm sijaelewa sijui wa Tz tunataka rais wanamnagani duuu nisheda huyu mzee hapo awali tulipata kuskika tukisema tumeletewa namungu hivileo watu waminunasasa sijui nikiaje
Sasa ww waona anafanyayake naje unahisi nikifungu kipi chakatiba hakijafuatwaanayefata katiba na kuheshimu sheria ilo tu si kufanya yake
Huoni sura? Unafikiri Mtu kama mimi ntamwogopa nani hasa?Hata ISIS hawaonyeshi ila balaa lao mmh
Ilikuwa hivyo hivyo Wakati wa uhuru ndio vilikuwa vikipiga Kelele kwenye Universities, ndio vilivyokuwa vikiwaandalia akina Nyerere, Kenyatta Lumumba, Mboya, Nkruma mikutano ya nje! Ndio Vilivyokuwa Vikipiga Kelele Washington, London New York na kwingine kuwa Mandela aachiliwe. Ni vijitu Nuksi sana!Halafu vijitu vinavyo kaa nje ya nchi vinalalamika sanaaaa... wakati havipo hata kwenye list ya walipa kodi wa Tanzania! Tumewachoka nyie wahamiaji embu tuacheni na Rais wetu jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii..... K zenu nyie!!! nyambafuuuuuuu
Anajiandama Mwenyewe Kutetea Majambazi kama Lipumba na Makonda! Hujalazimishwa kuamini habari ya uhakika ndio hiyo!watu kama nyie ni laana kwa Tanzania. Kutwa Kumuandama Rais. WEWE NI MHAINI
Nyumbu ni nyumbu tu. Magu ataendelea kuwapiga fimbo za mgongo kama kawa
wewe ni mhaini na huitakii mema TZ: Kazi Yenu Kulalamika Tu na Kupiga SOga - Nenda Katafute ShambA Ulime -MZIKI WA AWAMU HII HAMTAUWEZAAnajiandama Mwenyewe Kutetea Majambazi kama Lipumba na Makonda! Hujalazimishwa kuamini habari ndio hiyo!
Ipeleke Mahakamani au Polisi, Ni audio yangu TL. Marandu, that will not work on me! my Public Record is established and immaculate! Nikushauri kwa nini Msinisingizie nauza Unga kama Mlivyomsingizia Askofu Gwajima na Mbowe? Bashite zero bin zero hajawafundisha?Hii audio ni ya gaidi aliyeshiriki mauaji ya askari wetu kule rufiji amekuja hapa kujitetea.
Jibu hoja Msomi na Mkweli huwa ajajibu kwa hoja au kukanusha usemi kwa fact unaishia kutukana kwa kuwa kila nilichosema ni kweli 100% Nitafutie nilichosema ambacho sio kweli ntakutumia $ 5000.00wewe ni mhaini na huitakii mema TZ: Kazi Yenu Kulalamika Tu na Kupiga SOga - Nenda Katafute ShambA Ulime -MZIKI WA AWAMU HII HAMTAUWEZA
Atakumbukwa kwa visa vingiHamna la maana kila rais akiingia madarakani hua analaumiwa hata JK tulimlaumu sana ila kwa sasa tunamkumbuka kwa hyo hata Magu iko siku tutamkumbuka sana tu