Magufuli is confused big time! Sikiliza

Magufuli is confused big time! Sikiliza

Kwanini kama eneo liko nchini ya mipaka yake, (bashite) kwanini nape afukuzwe uwaziri kwa kusema ukweli, na alichokitetea nape kipo chini ya mipaka yake kiwizara ? Na akipotea mtu tu,tunajua ni wewe na ccm yenu nchini ya bashite,kwakua umetishia kwamba siku zetu zinahesabika ! Nyie kwakua mnalindwa na ccm mnafanya vitisho,uuaji mtakavyo.hata wewe na wauaji wenzako,siku zenu Mungu kesha zihesabu.hamtaishi milele !
Alisema ukweli upi? jambo usilolijua ni kama usiku wa giza, nchi hii inawakuu wa nchi wangapi? unafahamu maana ya insubordination? hicho ndicho alichokifanya Nape, Rais alikwisha kuufunga ule mjadala na haikujalisha alikuwa sahihi au wrong, Nape alitakiwa palepale aachane nayo kinyume na hapo akaamua kupimana mamlaka na Rais, mkuu wa mkoa havamii eneo lililo ndani ya mipaka yake ya kiutawala, kufoji vyeti ni kosa la jinai, nchi imejaa wanasheria wa kujitegemea chungu nzima, ushawahi kujiuliza kwamba kama ni kweli Makonda kagushi vyeti na wanaushahidi huo kwa nini hawajaenda kwa DPP kuomba kibari cha kumshitaki? jiulize hilo then fikirisha ubongo wako utaelewa ni nini kinaendelea na sasa kinavuka mipaka hakuna mzalendo yeyote atavumilia kuona nchi inavurugwa na wahuni wachache kwa maslahi yao binafsi.
 
Alisema ukweli upi? jambo usilolijua ni kama usiku wa giza, nchi hii inawakuu wa nchi wangapi? unafahamu maana ya insubordination? hicho ndicho alichokifanya Nape, Rais alikwisha kuufunga ule mjadala na haikujalisha alikuwa sahihi au wrong, Nape alitakiwa palepale aachane nayo kinyume na hapo akaamua kupimana mamlaka na Rais, mkuu wa mkoa havamii eneo lililo ndani ya mipaka yake ya kiutawala, kufoji vyeti ni kosa la jinai, nchi imejaa wanasheria wa kujitegemea chungu nzima, ushawahi kujiuliza kwamba kama ni kweli Makonda kagushi vyeti na wanaushahidi huo kwa nini hawajaenda kwa DPP kuomba kibari cha kumshitaki? jiulize hilo then fikirisha ubongo wako utaelewa ni nini kinaendelea na sasa kinavuka mipaka hakuna mzalendo yeyote atavumilia kuona nchi inavurugwa na wahuni wachache kwa maslahi yao binafsi.
Haya maneno kama yanaingia vile kwa mbali, ngoja nifikirishe nijinasue kama ni tego.
 
Mbona unajificha mara Kampala mara Kigali!! Kumbe unaogopa angalia wasije wakakulimboka!!!
N why is that? Kogopa kuambiwa Ukweli? Hivi Mandela alikatwa akiwa anaangali mpira wa Simba na AFC Leopards?
 
Maxima legis custodiat in Constitutione tribulationem meam Libertas!
Hahhaha..we jamaa unamjibu Judge hivyo na ametoa ushauri tu, keep it up then.

Lakini binafsi nadhani tunaweza kucriticise bila kujiingiza kwenye issue kubwa kama hii, jinai tu wengine twaiogopa sembuse treason, watu tunatofautiana.
 
Mimi sioni Aibu wala Tashwishi Kusema, Ingawa sasa ni Mmarekani Haininyimi Haki ya Kuizungumzia Jamii yangu ya Waafrika. Hivi Jiulizeni mnaoleta hoja nyepesi za Kijinga! Iwapo kuizungumzia Tanzania Lazima Uwe Mtanzania, Mahatma Gandhi mambo ya Afrika Kusini yalimhusu nini, Nyerere Mambo ya Angola, Msumbiji, Zimbabwe, Uganda, Namibia na Afrika ya Kusini yalimhusu Nini. Fidel Castro Mambo ya Angola yalimhusu nini? You guys are just wrong, bigoted n very sinical.

1) ***
Nyerere on Front line

2) ***
Gandhion South Africa

3) ***
Fidel Castro on Angola

4) ***
Tom Mboya on Congo crisis
 
N why is that? Kogopa kuambiwa Ukweli? Hivi Mandela alikatwa akiwa anaangali mpira wa Simba na AFC Leopards?
Yaani unajifananisha na Mandela kwa huu upuuzi? ndani ya sovereign, democratic state ambapo mamlaka yanatoka kwa watu unatishia kuiondoa legitimate regime ilowekwa na watu.

Na kwamba mkuu wa nchi sio tu aondolewe bali pia auwawe kama ilivyokuwa kwa Sadaam Hussein na Muamar Gaddafi!?? nchi yenyewe Tanzania!!? Hehehe...haya bhana.
 
Local and World Politics both Historical , contemporary trends and futuristic political outlooks, Is the subject I like to dwell on, just like others cherish sports, music or art! So I realy despise and abhor individuals or groups of evil bigoted entities who think they have the right to rule my mind and speech!
 
Usio Upuuzi na Ukweli ndio Upi? Mimi kwa akili yangu ndogo nadhani, Upuuzi ni Kumwambia Jambazi, ati "Piga kazi" huo ndio upuuzi
Kuwaita watoto 7900 Wa watanzania Villaza huo ndio Upuuzi,
Kununua Ndege Uchwara wakati wamama wanajifuungulia sakafuni, hakuna chanjo, waalimu hawalipwi kwa wakati, watoto wanasomea chini ya Miti na vibanda vya nyasi huku wamekalia mawe huo ni Upuuzi
Kufukuza Watanzania 9000 kazi kwa kuwa na Vyeti feki na Kuwaita Majambazi na Majizi huku Ukimlinda Mkuu wa Mkoa aliyeiba vyeti, huo ni Upuuzi.
Kukwapua michango ya Wahanga wa Tetemeko na Kisha Kuwapa Biskuti mojamoja na majani ya chai huo ni Unyama na huo ni upuuzi hasa!
Kukwapua 2.7 Bilion hazina na Kuwahonga nazo Wabunge ili wapitishe sheria ya habari ya kikoloni huo ni wizi na huo ni upuuzi
Kukwapua Pesa hazina na Kuwalipa Waalimu wa sekondari na Msingi ili wajaze mikujano ya Mwenyekiti wa chama fulani na Kiongozi wa Serikali ambaye amechokwa kusikilizwa ni Upuuzi sana!
Saa nyingine nadhani watu kama wewe Masikini wa Shetani! Kazi Kubwa ya Vichwa vyenu ni vya kupambia shingo. Na kama mnabahati ya kuwa na Ubongo ni Kwa ajili ya Involuntary functions kama vile Kutoka jasho, kujua sasa ni saa ya kwenda kunya, kupiga chafya, kupepesa macho etc, na Kamwe, Kamwe sio Kufikiri.
duuh!!
 
Malalamiko kama haya ya wapiga deal za madawa ya kulevya walioguswa na Makonda ni expected. Wenye uchungu na nchi yetu hatupaswi hata kuwasikiliza. Waachwe sindano iwaingie sawa sawa.
 
Malalamiko kama haya ya wapiga deal za madawa ya kulevya walioguswa na Makonda ni expected. Wenye uchungu na nchi yetu hatupaswi hata kuwasikiliza. Waachwe sindano iwaingie sawa sawa.
Ndivyo mjinga yule anavyowapumbaza, ovyo sana!
 
Ati Wapigadili ndio wanaompinga, kuna Wapigadili na wasanii kumshinda huyu bwana? basi mazuzu yanameza huo utumbo mbichi mbichi.
 
Upumbavu umewazidi nyie watu.... Yaani mnashindwa kufikiria taifa linaendaje mbele mnaleta upuuzi huu.... Kama ni mwanaume si aoneshe sura yake tuone
Yes Tunafikiria sana Taifa litaendaje Mbele ndio Maana kwa nguvu zote tutunajitahidi kuzuia Wenda wazimu Kuturudisha nyuma, Ni bora kubaki hapa tulipo kuliko kurudishwa miaka 20 nyuma! Kwenda Mbele sio Kununua Vijindege wakati Wajawazito wakijifuungulia sakafuni, na Watoto wa!isomea chini ya miti huku wamekalia mawe!
Kwenda mbele sio Kumweka Mbunge ndani miezi minne bila dhamana wakati Jambazi Makonda ie Bashite, Anavamia na anateka watu na unamwaambia piga Kazi! In short Inahitaji Watu smart Kujua awamu ya Tano ni Zero, "Bashite" Na sikulaumu kwa kutokujua!
 
Mbona uko kimya sana kiongozi kwa wakati huu we need you the most.

Jamaa yupo bwana maana hata mimi nilianza kuwa na wasiwasi naye, nenda you tube kule msearch kwa jina lake uangalia clip yake anazungumzia kifo cha Aqualine, dah jamaa anaongea maneno makali sana...
 
Back
Top Bottom