Magufuli is confused big time! Sikiliza

Magufuli is confused big time! Sikiliza

Hamna la maana kila rais akiingia madarakani hua analaumiwa hata JK tulimlaumu sana ila kwa sasa tunamkumbuka kwa hyo hata Magu iko siku tutamkumbuka sana tu
JK kuna vitu alifanikiwa....pia alijua kucheza na akili zetu, ndio maana aliishia kulaumiwa na sio kuchukiwa...kuna MTU yyte alikuwa anaombea jk afe ??

Huyu wa sasa anafeli kila kitu sio makinikia, sio ufisadi sio ajira, sio mikopo, sio chochote...

Harakati za Pombe=Harakati za Pimbi
 
Jamaa yupo bwana maana hata mimi nilianza kuwa na wasiwasi naye, nenda you tube kule msearch kwa jina lake uangalia clip yake anazungumzia kifo cha Aqualine, dah jamaa anaongea maneno makali sana...
Nikafikiri labda wasiojulikana wamemtembelea, bila wasiwasi trh 26/4 ataungana na Mange huko Washington DC.
 
Inazemekana mkuu hana akili nzuri kichwani.....
KUNA UKWELI GANI KWENYE HILI LABDA TUANZIE HAPO
 
Back
Top Bottom