Mimi nimikubali sana hiyo audio...ukiacha mahaba ya kijinga hiyo audio utaiewa sana TL heshima kwako.....ukweli siku zote unauma, that is fact about truth!Ipeleke Mahakamani au Polisi, Ni audio yangu TL. Marandu, that will not work on me! my Public Record is established and immaculate! Nikushauri kwa nini Msinisingizie nauza Unga kama Mlivyomsingizia Askofu Gwajima na Mbowe? Bashite zero bin zero hajawafundisha?
sasa sijui nikiaje