Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Naweka BIG NO kwenye hili suala wanalosema watu kuwa Magufuli ameleta nidhamu makazini.
Watumishi wa umma(baadhi) wamekuwa na woga kuhofia kuwajibishwa, hasa kwenye Halmashauri maana huko kila mtu hujigeuza Mungu mtu. Sheria wakati mwingine hazifuatwi bali harsh tu.
Hakuna nidhamu kwa mtu asiyepandishwa daraja, asiyeongezwa mshahara, asiyebadilishiwa cheo au kitengo baada ya kujisomesha kwa gharama zake n.k . Kinachofanyika ni kuigiza tu kuwa yu mwema na mchapakazi kwa kitambo kidogo.
Mwenye ushahidi kuwa sasa amekuwa na nidhamu zaidi katika kipindi hiki cha Magufuli zaidi ya kipindi cha Kikwete aje atueleze.
Watumishi wa umma(baadhi) wamekuwa na woga kuhofia kuwajibishwa, hasa kwenye Halmashauri maana huko kila mtu hujigeuza Mungu mtu. Sheria wakati mwingine hazifuatwi bali harsh tu.
Hakuna nidhamu kwa mtu asiyepandishwa daraja, asiyeongezwa mshahara, asiyebadilishiwa cheo au kitengo baada ya kujisomesha kwa gharama zake n.k . Kinachofanyika ni kuigiza tu kuwa yu mwema na mchapakazi kwa kitambo kidogo.
Mwenye ushahidi kuwa sasa amekuwa na nidhamu zaidi katika kipindi hiki cha Magufuli zaidi ya kipindi cha Kikwete aje atueleze.