William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Kwanza tukubaliane Kiongozi wa nchi huwa anashauriwa na sio kuongozwa. Lkn kila nikitafakari sasa naona wapo wanaotaka kumuongoza kwa nyuma na kumtoa kwenye reli. Kila akipanga jambo Jema kabisa kama tiba na ya vidonda alivyoacha Magufuli watu humuongoza kutonesha vidonda na kumjenga achukiwe na kila mtu.
1. Mwaka jana alihaidi mwaka huu kutangaza nyongeza ya mshahara mei 1. Kilichofanyika akataka kuzungusha maneno. Mwinyi Zanzibar akasema, Uhuru akasema, Morocco wakasema. Ni kama wakamuongoza na wetu aseme. Ili baadae ije kuwa uongo wamseme na wamchukie sana.
2. Wakati tukifikiria katika haki. Suluhu za kisiasa. Wale waliodidimiza democracy wanapewa vyeo vya juu. Lengo ni kuwafanya wapinzani wakate tamaa na mijadala ife.
Kwa picha ninayoiona walio nyuma yake wanataka achukiwe na kila mtu! Humpa ushauri ili asionekane kuwa bora au nafuu kuliko Mwendazake na kwa kutimiza azma yao wametumia muda wa kutosha kumfanya achinje watumishi maslahi yao ili wajenge chuki na kutomuamini!! Na njia nzuri kutotimiza ahadi na kuja ujanja ujanja.
Natamani raisi awe na mtazamo chanya wa kujenga uadilifu kwa kukataa kuongozwa bali kupokea ushauri kipindi akihitaji kufanya hivyo.
1. Mwaka jana alihaidi mwaka huu kutangaza nyongeza ya mshahara mei 1. Kilichofanyika akataka kuzungusha maneno. Mwinyi Zanzibar akasema, Uhuru akasema, Morocco wakasema. Ni kama wakamuongoza na wetu aseme. Ili baadae ije kuwa uongo wamseme na wamchukie sana.
2. Wakati tukifikiria katika haki. Suluhu za kisiasa. Wale waliodidimiza democracy wanapewa vyeo vya juu. Lengo ni kuwafanya wapinzani wakate tamaa na mijadala ife.
Kwa picha ninayoiona walio nyuma yake wanataka achukiwe na kila mtu! Humpa ushauri ili asionekane kuwa bora au nafuu kuliko Mwendazake na kwa kutimiza azma yao wametumia muda wa kutosha kumfanya achinje watumishi maslahi yao ili wajenge chuki na kutomuamini!! Na njia nzuri kutotimiza ahadi na kuja ujanja ujanja.
Natamani raisi awe na mtazamo chanya wa kujenga uadilifu kwa kukataa kuongozwa bali kupokea ushauri kipindi akihitaji kufanya hivyo.