Deus J. Kahangwa
Senior Member
- Jan 7, 2013
- 189
- 123
- Thread starter
- #121
.Duh ! Maneno mengiii ya kunyonganyonga. Magufuli alisema "uchaguzi umeisha, watu wafanye kazi sasa na siasa ni mpaka 2020". Na hiyo baada ya polisi kuanza kuzuia mikutano na makonmgomana ya kisiasa; ni kama ana clarify kuhusiana na hilo. Sasa kiingreza kingi cha nini?! Si unaona hata wakuu wa mikoa na wilaya nao wanasema siasa mpaka 2020 kwenye maeneo yao. Wenye kazi zao za kisiasa sijui wafanye nini. Moja nilijualo ni kwamba nchi chini ya Magufuli ni KIZA KINENE TUENDAKO. Let's for God's mercy.
Maneno "hakuna siasa mpaka mwaka 2020" hayana maana sawa na "hakuna siasa za aina zote mpaka mwaka 2020." Ni lazima reporters wawe makini kusoma kati kati ya msitari ili watoe habari sahihi. Vinginevyo watapoteza uhalali.