Magufuli didn’t ban all forms of politics...

Magufuli didn’t ban all forms of politics...

Kahangwa, you would better know that our political parties together with their fanatic CSOs have only known and versed in the one way of doing politics, political rallies, basi! They know nothing other than that. They are void of political planning, strategizing, organising and the like. No wonder 25 years down the road no party is boastful of overt strong public support based on clear mainstream policy as alternative to the establishment. Parties are merely surviving on 'clouding politics of confusion' in a situation neither leaders nor members are clear of their respective parties' runs strategies. They are mere bunches of opportunists, period!
Hapa bosi wangu umeuwa kabisa; nchi nyingi tumeona vyama vya upinzani vikianzishwa asubuhi na jioni tayari vimeshinda uchaguzi viko madarakani. Hawa jamaa zetu ni kelele tuuuu usiku mchana hadi usiku tena matokeo hamna zaidi ya kuchanganya akili za watu. Hebu wajifunze ustaarabu bwana; wawape support walioshinda na kuwatia moyo wafanikishe wanacholenga kwa raia wetu; kama watashindwa itaonekana tu kwamba wameshindwa hawafai tujaribu wengine lakini sio kila saa madebe mitaani, mabarabarani, yani kelele nyingiii matokeo hakuna. Nchi ni yetu sote tusaidiane kuijenga tukiwa nyuma ya waliopewa dhamana; wakishindwa ku deliver watatupwa tu kando automatically wala haihitaji mapambano. Tena mtu mjinga atakayewasikiliza hao na kutoka mtaani ajue ni kwa hasara yake mwenyewe
 
Poor Tanzania!! Wachumia tumbo wako wengi sana!!! Apo najuwa umejitoa ufahamu unatafuta uDAS!!! Kwan Kongamano la ACT ulikuwa ni mkutano wa hadhara?... Mahafali ya Chaso ilikuwa ni mkutano wa hadhara
.
Mengine ni argumentum adhomines. Lakini kuna moja muhimu. Nakuuliza swali: Katika sheria zetu, na kwa kuzingatia tekinolojia ya sasa hivi, mkutano ambao unaitwa "open-to-air" ni mkutano wa aina gani? Ukishanijibu tutaendeleza majadiliano.
 
Tatizo letu njaa, hamna mwenye guts za kumkosoa Magufuli anapokosea kwa kutegemea chochote mbeleni, poor Tanzanians
 
.
Hakuna mahali ibara ya 18 inasema kwamba kila raia katika nafasi yake kama "mbunge" anayo haki ya 1,2,3.... Read it again. Kisheria, mbunge hala locus standi katika hilo.
Endelea na ibara ya 20,halafu inamaana mbunge sio mwananchi?Uhuru huo umetolewa kwa mwananchi yeyote yule!Sasa wewe unataka tujadili nini?
Sioni unachotetea hapa!Tena ibara ya 20 inasema wazi bila kujali mipaka ya nchi mtu yeyote atakuwa na uhuru wa kukusanyika na kutoa mawazo yake!
 
Kwenda pamoja ni kunahusu pia kuonyesha upotoshaji unaotaka kuufanya hapa wa kuvilaumu vyombo vya habari. Huu hapa ni mfano mwingine wa kuonyesha jinsi ulivyo mpotoshaji. Huyu Mkuu wa mkoa anapata wapi nguvu ya kuweza kutamka kauli hii hadharani bila hata woga huku akijua fika Tanzania si nchi ya chama kimoja bali ya vyama vingi.

Tamko la Rais la kuzuia siasa hadi 2020 laanza kutolewa mwangwi na wakuu wa Mikoa.
"Marufuku mikutano ya siasa katika mkoa wangu, wasubiri hadi 2020 kama watakuwa hai. Kama wanataka kujifunza siasa watafute pahali pengine. Nitawafuata hata wakiwa watatu ndani". - Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Daktari Steven Kebwe akiongea na wazee
.
Weka clip ili tufanye semantic analysis within the proper context.
 
Huyu jamaa mjanja sana ametumia kingereza kama shield ya kuficha upuuzi anaoutetea...
 
Mkuu karibu magambani jumatano ijayo,tuchape kazi.Maana naona baada ya kupokonywa ushindi 2010 na kunyimwa tiketi ya kugombea 2015 na ukaamua kuhamia TLP.Sasa umeamua uje kujiunga na sisi magamba huku inatakiwa ujitoe akili kwelikweli zaidi ya LIZABONI.

Na huo utalamu wako wa IT inakufaa uutumie kunufaisha chama nasivinginevyo.

Karibu mkuu karibu sana.
 
Na kwanza UKAWA wenyewe ni waoga sana utaona hata baada ya mkanganyiko wote huo hawana la maana zaidi ya kulalamika
 
.
Mkuu karibu magambani jumatano ijayo,tuchape kazi.Maana naona baada ya kupokonywa ushindi 2010 na kunyimwa tiketi ya kugombea 2015 na ukaamua kuhamia TLP. Sasa umeamua uje kujiunga na sisi magamba huku inatakiwa ujitoe akili kwelikweli zaidi ya LIZABONI. Na huo utalamu wako wa IT inakufaa uutumie kunufaisha chama nasivinginevyo. Karibu mkuu karibu sana.
.
Freedom of conscience, freedom of choice, freedom of non-choice vyote halali yangu kikatiba ba kisheria.
Labda tu nikujuze kuwa kwa sasa sio mwmanchama wa chama chochote cha siasa. Ni raia huru. Sio mwana CHADEMA, sio mwana CCM, na sio mwana TLP. Kwa sasa mimi ni mwana UKWELI.
 
Pale ambapo mtu aliongea Kiswahili mbele ya hadhara na kila mtu akamsikia, Huku wakuu wa mikoa (Morogoro) to be specific wakiimplement kilichosemwa. Wakuu wa polisi wakifanya vivyo hivyo alafu anakuja MSWAHILI anamtafsirria. Kwa KINGEREZA. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
.
Tatizo letu njaa, hamna mwenye guts za kumkosoa Magufuli anapokosea kwa kutegemea chochote mbeleni, poor Tanzanians
.
Kwa hiyo nawe unaogopa kuikosoa UKAWA kwa sababu ya njaa, kwa maana kwamba huna guts za kuwakosoa kina Mbowe wanapokosea kwa kutegemea chochote mbeleni? Think twice!
 
.
Use statements to move the dialogue forward. Questions don't.
What have you done on post number 113??

[quote uid=33253 name="Bukanga" post=16794487]Huyu jamaa mjanja sana ametumia kingereza kama shield ya kuficha upuuzi anaoutetea...[/QUOTE]<br />.<br />Ina maana hata wewe hujadaka hata pointi moja?
 
.
Kwa hiyo nawe unaogopa kuikosoa UKAWA kwa sababu ya njaa, kwa maana kwamba huna guts za kuwakosoa kina Mbowe wanapokosea kwa kutegemea chochote mbeleni? Think twice!
Unafikiri kila asemae ukweli ni ukawa? Pili ukawa hawana ata hiyo dola zaidi mimi ndio wakuwapa wao, sichumii tumbo nasema ukweli awe ukawa, awe ccm.
 
.
NImefanya uchambuzi wangu kama raia mwenye uhuru wa kupokea, kuchakata, kutunza, na kusambaza mawazo na maoni chini ya ibara ya 18 ya Katiba. Wao siwezi kuwasemea.
Mwenzako msajili wa vyama vya siasa alikujaga hivyo hivyo akijidai eti rais hamaanishi vile watu wanatafsiri akaongeza maneno yake ambayo rais hakuyasema, lakini siku mbili baadaye rais akasema kuna watu wanajaribu kufafanua alichokisema tofauti na alivyomaanisha, ndipo akarudia tena kauli yake kuwa ni marufuku mikutanao na shughuli zote za kisiasa hadi 2010.
Sasa sijui mwenzetu ulikua haupo nchini maana naona umeandika kiingredha kipya na kireeefu, utakua haukuwepo nchini wewe!!!
 
Duh ! Maneno mengiii ya kunyonganyonga. Magufuli alisema "uchaguzi umeisha, watu wafanye kazi sasa na siasa ni mpaka 2020". Na hiyo baada ya polisi kuanza kuzuia mikutano na makongamana ya kisiasa; ni kama ana clarify kuhusiana na hilo. Sasa kiingreza kingi cha nini?! Si unaona hata wakuu wa mikoa na wilaya nao wanasema siasa mpaka 2020 kwenye maeneo yao.

Wenye kazi zao za kisiasa sijui wafanye nini. Moja nilijualo ni kwamba nchi chini ya Magufuli ni KIZA KINENE TUENDAKO. Let's pray for God's mercy.
 
Mwenzako msajili wa vyama vya siasa alikujaga hivyo hivyo akijidai eti rais hamaanishi vile watu wanatafsiri akaongeza maneno yake ambayo rais hakuyasema, lakini siku mbili baadaye rais akasema kuna watu wanajaribu kufafanua alichokisema tofauti na alivyomaanisha, ndipo akarudia tena kauli yake kuwa ni marufuku mikutanao na shughuli zote za kisiasa hadi 2010. Sasa sijui mwenzetu ulikua haupo nchini maana naona umeandika kiingredha kipya na kireeefu, utakua haukuwepo nchini wewe!!!
.
We mzushi. Hebu weka ushahidi wa hizo clips ndo nitaamini.
 
When the president said that “electoral politics are over” he rightly banned direct political discourses at a national level. He did not ban indirect political discourses both at a national and sub-national levels. National conventions and other indoor meetings in accordance with the constitutions of political parties are not direct political discourses. Thus they were not banned by the president.
Does the constitution give him the power to ban what you have referred to as electoral politics? Who defines electoral politics here? We have seen other indoor meetings being broken up by the police and to my knowledge there has been no statement from his office about these happenings.
My take is that yours is a sophisticated attempt to justify what is expected to happen on the July 23, 2016.
 
.
Freedom of conscience, freedom of choice, freedom of non-choice vyote halali yangu kikatiba ba kisheria.
Labda tu nikujuze kuwa kwa sasa sio mwmanchama wa chama chochote cha siasa. Ni raia huru. Sio mwana CHADEMA, sio mwana CCM, na sio mwana TLP. Kwa sasa mimi ni mwana UKWELI.
Hakuna ukweli wowote hapa unaoleta zaidi ya propaganda za kuharalisha aliyosema mtukufu.

Karibu kwenye chama chetu pendwa maana kama ulivosema haki zote unazo,zisizokeuka katiba.

Lakini tambua half knowledge is poison,due to satisfication of your stomach you did all of this.
 
Back
Top Bottom