Magufuli bila madaraka yukoje?


Nini maoni yako leo hii Mzee Mwanakijiji katika hiyo para nyekundu?
 
Uliongea powa
 
Kwahiyo magufuli na lowassa saw?
 
MIMI UPINZANI ila toka kampeni zianze MAGUFURI NAMKUBALI nilimpa kura yangu Lowassa kwa ajili ya katiba tu sio utendaji JPM hata ongea yake tu inatosha kukuthibitishia kwamba hayumbishwi na mtu NA MSIMPIME KWA YAKE YA KALE TUMPIME SAIVI KIPINDI KILE ALIKUWA CHINI YA SHERIA NAE
mbona tumeona mengi hamishwa yake wizara ya uvuvi wangapi hawajui chanzo chake WATANZANIA HEBU TUBADILIKE TUKUBALI PALE YATOKEAPO MAZURI
 
MIMI UPINZANI ila toka kampeni zianze MAGUFURI NAMKUBALI nilimpa kura yangu Lowassa kwa ajili ya katiba tu sio utendaji JPM hata ongea yake tu inatosha kukuthibitishia kwamba hayumbishwi na mtu NA MSIMPIME KWA YAKE YA KALE TUMPIME SAIVI KIPINDI KILE ALIKUWA CHINI YA SHERIA NAE
mbona tumeona mengi hamishwa yake wizara ya uvuvi wangapi hawajui chanzo chake WATANZANIA HEBU TUBADILIKE TUKUBALI PALE YATOKEAPO MAZURI
 

Hakika hili linatokea sasa!
 
Hehehe uhongo mwingine bwana hehehe ni nacheka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…