Magufuli bado hajanishawishi

Magufuli bado hajanishawishi

Hakika nna wajibu wa kurudi hapa baada au kama miezi sita ndo ntakua na la uchangia, ni mapema mno kusema lolote au chochote. Mungu awe nasi daima tuone mengi zaidi.
 
Nikiri kwamba kaanza vizuri sana lakini bado hajanishawishi, watanzania tunahitaji maisha bora na yenye uhakika, tunataka uchumi wa nchi ukae vizuri, tunataka vifaa vya ujenzi vishuke bei, tunataka pembejeo za kilimo zishuke bei, tunataka vyakula vishuke bei, tunataka mafuta yashuke bei ili kushusha gharama za usafiri, tunataka umeme wa uhakika na wa kiwango cha chini, tunataka maji ya uhakika, tunataka elimu ya uhakika ikiwemo kuboresha maslahi ya walimu, tunataka madawati na majengo kwa uhakika, tunataka huduma bora za afya nchi nzima, hapo nitaanza kukuunga mkono.

Tuambie nani amekushawishi
 
Kwani humjui mh.magufuri?kazi zake ni za kutotumia akiri na anataka kufanya jambo kwa asila sana mwisho wa kazi unakuta kila kitu ni kibovu.si unaona swala la barabara.


swissme

Yaani wewe kwa hii hoja yako inaonyesha tu kwamba ikinyesha mvua unalalamika, likiwaka jua unalalamika, baridi unalalamika na upepo walalamika. Sikiliza ndugu, zipo sayari 8 au zaidi tunazozifahamu kwa sasa binadamu, naona wewe ni zaidi ya malaika, so ushauri wangu.. Chagua moja uende ukaishi huko na ukiweza mbebe na EL akawe kiongozi wako then mkaanzishe maisha yenu kwani mtaikuta hiyo sayari haijaguswa na mtu kabisa then muitengeneze mnavyoweza, sie tupigieni tu selfie mturushie. Tutawapongeza
 
Ni kweli magufuli bado anasafari ndefu sana, siwezi kumsifia hata kidogo ila ntamwambia ana Kazi ya ziada ya kufanya. Tanzania hii ya ccm ilioza kabisa.
 
Sasa utayapata kwa siku moj. Mimi sio CCM lakini hauna point kabisa.
 
Nikiri kwamba kaanza vizuri sana lakini bado hajanishawishi, watanzania tunahitaji maisha bora na yenye uhakika, tunataka uchumi wa nchi ukae vizuri, tunataka vifaa vya ujenzi vishuke bei, tunataka pembejeo za kilimo zishuke bei, tunataka vyakula vishuke bei, tunataka mafuta yashuke bei ili kushusha gharama za usafiri, tunataka umeme wa uhakika na wa kiwango cha chini, tunataka maji ya uhakika, tunataka elimu ya uhakika ikiwemo kuboresha maslahi ya walimu, tunataka madawati na majengo kwa uhakika, tunataka huduma bora za afya nchi nzima, hapo nitaanza kukuunga mkono.

Roma haikujengwa kwa siku moja.
 
Ushawishiwe kwani anakuomba papuchi?Acha ujinga,fanya kazi.
 
Tulia wewe...mambo taratibu ngoja kwanza aweke mambo ya pesa sawa..una haraka gn ht miez 6 huna ..hama nchi...team jk wewe
 
ni kweli ni mapema sana kushawishika moja kwa moja , ila mpe moyo kwa mazuri aliyoanza nayo. Ni kweli ana safari ndefu, kukuza uchumi anahitaji wataalam hasa wa uchumi wamshauri. Uchumi unakuwa kwa kuanza na kubana matumizi na kutumia wisely rasilimali na hili ndio ameanza kujaribu kuanza kulifanya. Pili ni kusimamia na kudhibiti ukusanyaji wa mapato ya serikali pamoja na kuziba mianya yote ya rushwa na ukwepaji kulipa kodi, jambo la tatu ni uzalishaji na biashara lazima ziongeze na ziwe na ufanisi, miundo mbinu lazima iboreke na ukiritimba wa kuwawezesha watu kufanya biashara na shuguli za uzalishaji mali usiwepo. Kufanikisha yote haya sio kitu rahisi anahitaji kutiwa moyo aendelee na hali hii ya kukubali kufanya kazi kwa niaba ya wa Tanzania

Nikiri kwamba kaanza vizuri sana lakini bado hajanishawishi, watanzania tunahitaji maisha bora na yenye uhakika, tunataka uchumi wa nchi ukae vizuri, tunataka vifaa vya ujenzi vishuke bei, tunataka pembejeo za kilimo zishuke bei, tunataka vyakula vishuke bei, tunataka mafuta yashuke bei ili kushusha gharama za usafiri, tunataka umeme wa uhakika na wa kiwango cha chini, tunataka maji ya uhakika, tunataka elimu ya uhakika ikiwemo kuboresha maslahi ya walimu, tunataka madawati na majengo kwa uhakika, tunataka huduma bora za afya nchi nzima, hapo nitaanza kukuunga mkono.
 
Ni kweli magufuli bado anasafari ndefu sana, siwezi kumsifia hata kidogo ila ntamwambia ana Kazi ya ziada ya kufanya. Tanzania hii ya ccm ilioza kabisa.

Nampa siku 100 ndipo nitaweza kuzungumzia utendaji wake
Bila shaka by then atakuwa ameweka mwelekeo wa Kiwira, escrow, nyumba za serikali zilizouzwa, waagizaji wa madawa ya kulevya na wauawaji wa tembo. Aidha atakuwa ameweka mwelekeo wa mikata ya gesi na madini iliyopitishwa kwa kura za ndiyoooooo.
 
Nikiri kwamba kaanza vizuri sana lakini bado hajanishawishi, watanzania tunahitaji maisha bora na yenye uhakika, tunataka uchumi wa nchi ukae vizuri, tunataka vifaa vya ujenzi vishuke bei, tunataka pembejeo za kilimo zishuke bei, tunataka vyakula vishuke bei, tunataka mafuta yashuke bei ili kushusha gharama za usafiri, tunataka umeme wa uhakika na wa kiwango cha chini, tunataka maji ya uhakika, tunataka elimu ya uhakika ikiwemo kuboresha maslahi ya walimu, tunataka madawati na majengo kwa uhakika, tunataka huduma bora za afya nchi nzima, hapo nitaanza kukuunga mkono.


Hayo yote kwa mwezi moja? Kweli wewe ni pimbi tu.
 
Back
Top Bottom