Dominic mutungi
Member
- Aug 13, 2015
- 14
- 2
Kuna jambo alijakaa sawa katika mambo haya mbona inaonekana kama siasa iko kazini?.
WanaJF,
Kwaa muda wa siku kama 24 sasa tangu rais atembelee wizara ya fedha na baadae Mhimbili. Na shughuli hii ya bandari watanzania wengi wamepofuka macho na hawataki kabisa uhoji chochote kuhusu rais au maamuzi yake kana kwamba mheshimiwa rais amekuwa Mungu.
Leo hii kwenye uzi wa mtu fulani nimetoa maoni yangu kuwa Matumizi ya fedha za umma bila kufuata sheria ya manunuzi ni upendeleo kwa kampuni husika na uvunjifu washeria. Watu wameniwakia mbaya.
Sasa nimeanzisha uzi huu ili tuwekane sawa na mnaotapika tapikeni.
Barabara hii ya Mwenge - Morocco, mimi najua ilishafanyiwa usanifu na upembuzi yakinifu muda mrefu. Na mwaka jana wajapan kupitia shirika lao la JICA walionyesha interest ya kughalimia ujenzi huu na hivyo wakatoa hela, kuhuisha (update the ESIA and RAP) na tulitegemea mwaka huu ujenzi uanze. Je mpango huo wa ufadhili wa JICA ulikuwa wa update ya study tu? Na kama ilikuwa na ujenzi pia mpango huo umefutwaje?
Suala la pili, huyu mkandarasi anayejenga amepataje kazi? Tuelekezane vizuri.
Sheria ya manunuzi ya umma inasemaje kuhusu manunuzi ya kiwango hiki cha pesa 4 billion.
Kwani humjui mh.magufuri?kazi zake ni za kutotumia akiri na anataka kufanya jambo kwa asila sana mwisho wa kazi unakuta kila kitu ni kibovu.si unaona swala la barabara.
swissme
Fanya kazi acha majungu. Mahaba niue.comNikiri kwamba kaanza vizuri sana lakini bado hajanishawishi, watanzania tunahitaji maisha bora na yenye uhakika, tunataka uchumi wa nchi ukae vizuri, tunataka vifaa vya ujenzi vishuke bei, tunataka pembejeo za kilimo zishuke bei, tunataka vyakula vishuke bei, tunataka mafuta yashuke bei ili kushusha gharama za usafiri, tunataka umeme wa uhakika na wa kiwango cha chini, tunataka maji ya uhakika, tunataka elimu ya uhakika ikiwemo kuboresha maslahi ya walimu, tunataka madawati na majengo kwa uhakika, tunataka huduma bora za afya nchi nzima, hapo nitaanza kukuunga mkono.
ndo kwanza ameanza ni kweli si vizuri kusema ameweza kuuvunja mfupa uliowashinda wengi ila kwa sasa at least we can see a bright future of tanzania hakika nchi itabadilika na si yeye tu KAZI TUFANYE SOTE tanzania yetu sote yeye katuonyesha mfano na sisi wa chini pia tupige kazi kama wewe mvuvi piga nyavu kisawawasa kama mkulima piga jembe kisawasawa kama konda kula vichwa yaan sasa ni kazi tuu kama uko ofisini mambo ya facebuku tupa kule umiza kichwa hapo ulipo ufanye nini ili kusaidia uchumi wa nchi kwa ujumlaNikiri kwamba kaanza vizuri sana lakini bado hajanishawishi, watanzania tunahitaji maisha bora na yenye uhakika, tunataka uchumi wa nchi ukae vizuri, tunataka vifaa vya ujenzi vishuke bei, tunataka pembejeo za kilimo zishuke bei, tunataka vyakula vishuke bei, tunataka mafuta yashuke bei ili kushusha gharama za usafiri, tunataka umeme wa uhakika na wa kiwango cha chini, tunataka maji ya uhakika, tunataka elimu ya uhakika ikiwemo kuboresha maslahi ya walimu, tunataka madawati na majengo kwa uhakika, tunataka huduma bora za afya nchi nzima, hapo nitaanza kukuunga mkono.
Nikiri kwamba kaanza vizuri sana lakini bado hajanishawishi, watanzania tunahitaji maisha bora na yenye uhakika, tunataka uchumi wa nchi ukae vizuri, tunataka vifaa vya ujenzi vishuke bei, tunataka pembejeo za kilimo zishuke bei, tunataka vyakula vishuke bei, tunataka mafuta yashuke bei ili kushusha gharama za usafiri, tunataka umeme wa uhakika na wa kiwango cha chini, tunataka maji ya uhakika, tunataka elimu ya uhakika ikiwemo kuboresha maslahi ya walimu, tunataka madawati na majengo kwa uhakika, tunataka huduma bora za afya nchi nzima, hapo nitaanza kukuunga mkono.
lisa mie huo upaja wako tu mmmh niko hoimkuu..ndio maana fisiemu itatutawala milele sababu inajua sana kucheza na akili za wadaanganyika.Mind games hizi watu washajaa tayari inasikitisha sana mie nakwambia ipo siku tutachekwa sana.
sheria inaongelea mchakato,mchakato mchakato, tumechoshwa na michakato inayotumia fedha. Moja ya vitengo tunavyotaka vifutwe ni hiki cha manunuzi!Barabara kasanifu engineer then wewe sio hata engineer ndio unafanya mauzo na manunuzi ya kazi ya kihandisi upuuzi mtupu. mwisho wa michakato tutaenda kisayansi
Nikiri kwamba kaanza vizuri sana lakini bado hajanishawishi, watanzania tunahitaji maisha bora na yenye uhakika, tunataka uchumi wa nchi ukae vizuri, tunataka vifaa vya ujenzi vishuke bei, tunataka pembejeo za kilimo zishuke bei, tunataka vyakula vishuke bei, tunataka mafuta yashuke bei ili kushusha gharama za usafiri, tunataka umeme wa uhakika na wa kiwango cha chini, tunataka maji ya uhakika, tunataka elimu ya uhakika ikiwemo kuboresha maslahi ya walimu, tunataka madawati na majengo kwa uhakika, tunataka huduma bora za afya nchi nzima, hapo nitaanza kukuunga mkono.
Nikiri kwamba kaanza vizuri sana lakini bado hajanishawishi, watanzania tunahitaji maisha bora na yenye uhakika, tunataka uchumi wa nchi ukae vizuri, tunataka vifaa vya ujenzi vishuke bei, tunataka pembejeo za kilimo zishuke bei, tunataka vyakula vishuke bei, tunataka mafuta yashuke bei ili kushusha gharama za usafiri, tunataka umeme wa uhakika na wa kiwango cha chini, tunataka maji ya uhakika, tunataka elimu ya uhakika ikiwemo kuboresha maslahi ya walimu, tunataka madawati na majengo kwa uhakika, tunataka huduma bora za afya nchi nzima, hapo nitaanza kukuunga mkono.
Kama hajakushawishi, sisi tufanyeje?