Magufuli bado hajanishawishi

Magufuli bado hajanishawishi

Ushawishiwe? Kwani kuna muda wa kutongozana tena? Ukitaka ushawishi....nenda ....huku ni kazi tu
 
anachokisema jamaa ni kweli,,,magufuli anaigiza tu mambo bado ni mabaya kabisa,,,,,lingine usijibu lugha na maandishi jibu content
 
Kwa hiyo sasa unataka nini...kazi kulalamika tu, be the change you want to see!!! EBOOOOOO:eek2::eek2::eek2::eek2:
 
Naungana nawe mleta mada sie watanzania wa hali ya chini tunaumia sana
 
Nikiri kwamba kaanza vizuri sana lakini bado hajanishawishi, watanzania tunahitaji maisha bora na yenye uhakika, tunataka uchumi wa nchi ukae vizuri, tunataka vifaa vya ujenzi vishuke bei, tunataka pembejeo za kilimo zishuke bei, tunataka vyakula vishuke bei, tunataka mafuta yashuke bei ili kushusha gharama za usafiri, tunataka umeme wa uhakika na wa kiwango cha chini, tunataka maji ya uhakika, tunataka elimu ya uhakika ikiwemo kuboresha maslahi ya walimu, tunataka madawati na majengo kwa uhakika, tunataka huduma bora za afya nchi nzima, hapo nitaanza kukuunga mkono.

Wewe ni me au ke ukishanijibu tujadili,,,,,,,kama ni me huhitaji kushawishiwa kama ke atakushawishi tu.
 
weka namba zako za simu akupigie akushawish....!!
 
Nikiri kwamba kaanza vizuri sana lakini bado hajanishawishi, watanzania tunahitaji maisha bora na yenye uhakika, tunataka uchumi wa nchi ukae vizuri, tunataka vifaa vya ujenzi vishuke bei, tunataka pembejeo za kilimo zishuke bei, tunataka vyakula vishuke bei, tunataka mafuta yashuke bei ili kushusha gharama za usafiri, tunataka umeme wa uhakika na wa kiwango cha chini, tunataka maji ya uhakika, tunataka elimu ya uhakika ikiwemo kuboresha maslahi ya walimu, tunataka madawati na majengo kwa uhakika, tunataka huduma bora za afya nchi nzima, hapo nitaanza kukuunga mkono.

Mtafute Lowassa atakushawishi tu, we muulize DJ Mbowe.
 
Nyie mnanini msoona??? Tangu aanze mishe zake kipi kimeleta auheini kwa mwananchi wa kawaida??
 
Maneno yako yangekuwa na maana may be after 3 years.ndo kwanza mzeeya ana 3 weeks .so keep yours words baada ya miaka 2 at least ndo upost..
 
atakapo punguza payee na.mfumuko wa bei ndipo hapo ntaanza kushawishika saiv naona maigizo tu
 
huku nilipo mchele kilo alfu 3 sasa haya maisha gani
 
Nikiri kwamba kaanza vizuri sana lakini bado hajanishawishi, watanzania tunahitaji maisha bora na yenye uhakika, tunataka uchumi wa nchi ukae vizuri, tunataka vifaa vya ujenzi vishuke bei, tunataka pembejeo za kilimo zishuke bei, tunataka vyakula vishuke bei, tunataka mafuta yashuke bei ili kushusha gharama za usafiri, tunataka umeme wa uhakika na wa kiwango cha chini, tunataka maji ya uhakika, tunataka elimu ya uhakika ikiwemo kuboresha maslahi ya walimu, tunataka madawati na majengo kwa uhakika, tunataka huduma bora za afya nchi nzima, hapo nitaanza kukuunga mkono.

watu wengne hivi akili zenu zinafanya kazi? Unatoa utitiri wote huo wa shida wakat mtu mwenyew anasiku 26 tangu aingie madarakan.

Anaweza kuyatimiza yote hayo kwa siku 26? Mbona mnatia aibu nyinyi watu?.

Na suala la maisha mazuri hilo ni juhudi zako ww mwenyew. Ww ukikalisha hizo kwenye benchi halafu unasubir maisha mazuri bas endelea kusubir
 
Back
Top Bottom