Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,480
- 7,458
Na haya ndio aina ya majibu ya "wafuasi" wake. Mambo magumu na very sensitive yenye wider impacts kwa nchi wao wanakuja na majibu rahisi yasiyo na logic yoyote. Dunia ingekuwa rahisi kuhama nchi kama unavyoshauri, unadhani Africa ingebaki na watu kwa jinsi ilivyo na viongozi wenye IQ ndogo kila kona.Hamia kenya. Huko ni ruksa kutia mimba watoto wa shule kama utakavyo. Na wakitiwa mimba wanaendelea masomo kwa baraka za rais wao.