Uchaguzi 2020 Magufuli anaiona Tanzania nzuri miaka 30 ijayo, shida wengi tuna njaa

Umesema miaka 60 mpaka sasa hakuna Maendeleo yoyote...
Sikuwepo mwaka 1964 ila ni wazi kuwa Tanzania ya mwaka 1964 haiwezi kufanana na Tanzania ya mwaka 2020 kwa kuzilinganisha Kimaendeleo (Uchumi, Miundo Mbinu [umeme, barabara, Madaraja, Mawasiliano etc.], Afya, Elimu etc. )...
Mimi nakubaliana na Mtoa Mada kwa jinsi alivyowachambua Lissu na Magufuli.
Cha msingi ni tupige kura Tarehe 28 Octoba ikifika, Haya mengine tuwaachie Wanasiasa wenyewe.
Maana Mwanasiasa yeyote lengo kubwa ni Maslahi yake Binafsi kwanza, hata kama atatamka maneno matamu kiasi gani. Kutamka na Kutekeleza ni vitu viwili tofauti! Na hii kwa Wagombea wa Vyama Vyote.
Hata Nyerere aliiona Tz yenye kujitegemea wakati anaanza kutawala kipindi hicho nchi bado bikra kabisa wazungu wakampa miaka michache baadae beberu yaan UK lilimuokoa asipinduliwe, miaka michache tena akafeli vibaya mnoooo kwenye utawala wake mpaka akakimbia madaraka (ila kumtunzia heshima tunasemaga mzee aling'atuka i.e. wajanja wanajua kung'atuka ni kwamba umeng'ang'ania ila imeshindikana so inabidi uachie tuna hamna namna) Magu hata angepewa miaka trillion kamwe usitegemee mapinduzi ya kiuchumi cha msingi pambana na hali yako Magu kutangazwa mshindi ipo wazi sasa basi tegemea ugumu wa maisha, ufukara, umaskini wa kupindukia utaongezeka mara dufu panapo majaliwa ya Mungu tukumbukushane huu uzi mwaka 2023 tarehe kama hii ya leo. Kumbuka ccm wamekaa madarakani miaka inakaribia 60 sasa kama wameshindwa miaka yote kuleta maboresho ya maana kwenye uchumi iweje leo uamini kuwa wamepata muarobaini wa matatizo ya waTz? Kila baada ya miaka 10 mgombea Uraisi wa ccm anapojinadi utadhan inchi ilikuwa chini ya upinzani, Magu kaingia na Tz ya viwanda leo hii hili limekufa hajui hata anasimamia nini kw sasa, kazi kusema tu anataka Sugu amsugue, anataka akistaaf aende zenj akaoe mke wa pili, anataka wagogo wampe mwali kigoli wa miaka 18!!
 
Pumba tupu unazotoa hapa; je bado unataka kuendelea kujadiliana na mimi kwenye mada hii?
hapa unapoteza tu mda, hawa jamaa hawaelewagi wanaongea nn! nakushauri kafanye tu shuhuli zingine za maendeleo hawa jamaa ni chama kizima ndo akili zao zpo ivo
 
hapa unapoteza tu mda, hawa jamaa hawaelewagi wanaongea nn! nakushauri kafanye tu shuhuli zingine za maendeleo hawa jamaa ni chama kizima ndo akili zao zpo ivo

Asante sana kwa comment hii; mimi huwa ninaweka comment zangu wakati niko mapumzikoni tu, nawajuwa alivyo kiakili.
 
Kusema " maendeleo hayana chama" na hapo hapo unasema " msiponichagulia diwani, mbunge na raisi wa ccm, sitawaletea maendeleo" ni kutoa kauli mbili zinazopingana! Ni wagonjwa wa akili na wenye mtindio wa ubongo watakaoshindwa kuelewa ujinga huo wa kibaguzi dhahiri!
Wa-Tanzania mulitaka Demokrasia ya vyama vingi pasipo na kujiandaa kuwa hayo yatakayo tokea Mambo ya Demokrasia ya Vyama vingi. Matokeo yake ndio hayo mnayo yaona kila kiongozi wa chama anatetea maslahi ya chama chake. Hayo ndio matatizo ya Demokrasia ya vyama vingi.


DEMOKRASIA.png
 
Usitulete umaku mkapumzike nae tumechoka maisha ya kichoko sisi wanyonge ni yeye 2020
 
Nimejipa kazi kuwafatilia wagombea wawili wa uraisi wanaoonekana kupendwa na watu wengi, nimegundua kuwa Dr. Magufuri anawaza mambo ya miaka kama 30 ijayo ndo tule bata. Ili hali Ndg Lisu akiwaza mambo ya leo, kesho itajulikana ikifika.

Shida kwa watu wengi, bado huduma muhimu ( chakula, malazi na mavazi) ni shida njaa ni kubwa.

Cha kujiuliza ni,tufanye maendeleo atakayefika miaka hyo ale bata au tule leo wa miaka hiyo watajijua?

Maoni yangu ni kwamba Ndg Lisu aendelee kutupambania kama mwanaharakati, ili kumsutua Magufuri atoe vitu kama ajira ili hela irudi mtaani, na Dr. Magufuri aendelee na maono yake ya kujenga Tanzania ya miaka 30 ijayo.

Maoni yako ni yapi? Kumbuka maendeleo hayana chama.
 
Kwa hizo stand za mabasi ambazo zimesha anzankuchakaa.

I think mtu aliye kua anaiweka Tanzania mahai salama ni JK na Mkapa

1. Waliboresha utawala na taasisi .

2. Walikubali kukosolewa na kufuata sheria ( mfano mkapa kipindi cha pili alipata 61% )

3. Waliamini katika mipango ya muda mrefu kwa utaratibu..

4. Walidhamini mawazo ya watu wengine ..


Leo hii taasisi zimekosa nafasi, mtu mmoja ndio mahakama, police, wakala, tamisemi, jeshi etc.

Hivi vitu kama ndege , meli etc havidumu ila utawala bora ungeweza kutupa matokeo bora zaidi.

Eti daraja la ubungo linafanya Tanzania kuwa ulaya? Ujinga.. bapo bagamoyo tuu jirani wananchi wanakunywa matope.
Nimejipa kazi kuwafatilia wagombea wawili wa uraisi wanaoonekana kupendwa na watu wengi, nimegundua kuwa Dr. Magufuri anawaza mambo ya miaka kama 30 ijayo ndo tule bata. Ili hali Ndg Lisu akiwaza mambo ya leo, kesho itajulikana ikifika.

Shida kwa watu wengi, bado huduma muhimu ( chakula, malazi na mavazi) ni shida njaa ni kubwa.

Cha kujiuliza ni,tufanye maendeleo atakayefika miaka hyo ale bata au tule leo wa miaka hiyo watajijua?

Maoni yangu ni kwamba Ndg Lisu aendelee kutupambania kama mwanaharakati, ili kumsutua Magufuri atoe vitu kama ajira ili hela irudi mtaani, na Dr. Magufuri aendelee na maono yake ya kujenga Tanzania ya miaka 30 ijayo.

Maoni yako ni yapi? Kumbuka maendeleo hayana chama.
 
Asante sana kwa comment hii; mimi huwa ninaweka comment zangu wakati niko mapumzikoni tu, nawajuwa alivyo kiakili.

apo sawa maaana usije poteza mda wakati una shuhuli zingine za kufanya! hawa jamaa ni kama konyagi ipo kwenye ilani yao maaana kuanzia lissu mpaka hawa wanawake wa paraise and worship team kwenye forum pumba ni zile zile
 
Ukiwa na njaa leo unaanza kufikiria utafikaje huko mbele 30 Yrs to come?
 
Mwalimu alionesha mfano kwa kujipunguzia mshahara wake kwa asilimia 20 , huyo mwenye maono unayemsema aliwaambia anaowaita wanyonge anapokea 9M kwa mwezi bila kutaja posho pia kila huduma inalipiwa juu yake kwa kodi za watu ajabu akawambia wasilalamike hata yeye hiyo 9M haimtoshi! Sasa mtoa mada unahitaji nini kuelewa hapo ni hadaa tu?
 
Tanzania ipi hiyo ya kuishi kwa wasiwasi bwana!! tushachoka na tumeshaamua tayari...!!
 
Nimejipa kazi kuwafatilia wagombea wawili wa uraisi wanaoonekana kupendwa na watu wengi, nimegundua kuwa Dr. Magufuri anawaza mambo ya miaka kama 30 ijayo ndo tule bata. Ili hali Ndg Lisu akiwaza mambo ya leo, kesho itajulikana ikifika.

Shida kwa watu wengi, bado huduma muhimu ( chakula, malazi na mavazi) ni shida njaa ni kubwa.

Cha kujiuliza ni,tufanye maendeleo atakayefika miaka hyo ale bata au tule leo wa miaka hiyo watajijua?

Maoni yangu ni kwamba Ndg Lisu aendelee kutupambania kama mwanaharakati, ili kumsutua Magufuri atoe vitu kama ajira ili hela irudi mtaani, na Dr. Magufuri aendelee na maono yake ya kujenga Tanzania ya miaka 30 ijayo.

Maoni yako ni yapi? Kumbuka maendeleo hayana chama.
Kweli kabisa, naunga mkono hoja
 
Nimejipa kazi kuwafatilia wagombea wawili wa uraisi wanaoonekana kupendwa na watu wengi, nimegundua kuwa Dr. Magufuri anawaza mambo ya miaka kama 30 ijayo ndo tule bata. Ili hali Ndg Lisu akiwaza mambo ya leo, kesho itajulikana ikifika.

Shida kwa watu wengi, bado huduma muhimu ( chakula, malazi na mavazi) ni shida njaa ni kubwa.

Cha kujiuliza ni,tufanye maendeleo atakayefika miaka hyo ale bata au tule leo wa miaka hiyo watajijua?

Maoni yangu ni kwamba Ndg Lisu aendelee kutupambania kama mwanaharakati, ili kumsutua Magufuri atoe vitu kama ajira ili hela irudi mtaani, na Dr. Magufuri aendelee na maono yake ya kujenga Tanzania ya miaka 30 ijayo.

Maoni yako ni yapi? Kumbuka maendeleo hayana chama.
Una matatizo
IMG_20201002_224423.jpeg
 
Nimejipa kazi kuwafatilia wagombea wawili wa uraisi wanaoonekana kupendwa na watu wengi, nimegundua kuwa Dr. Magufuri anawaza mambo ya miaka kama 30 ijayo ndo tule bata. Ili hali Ndg Lisu akiwaza mambo ya leo, kesho itajulikana ikifika.

Shida kwa watu wengi, bado huduma muhimu ( chakula, malazi na mavazi) ni shida njaa ni kubwa.

Cha kujiuliza ni,tufanye maendeleo atakayefika miaka hyo ale bata au tule leo wa miaka hiyo watajijua?

Maoni yangu ni kwamba Ndg Lisu aendelee kutupambania kama mwanaharakati, ili kumsutua Magufuri atoe vitu kama ajira ili hela irudi mtaani, na Dr. Magufuri aendelee na maono yake ya kujenga Tanzania ya miaka 30 ijayo.

Maoni yako ni yapi? Kumbuka maendeleo hayana chama.

Nakuunga mkono. Ni hatari pia kuwa na mgombea wa maono ya muda mfupi kwani kitakachotokea ni kwamba kila siku ni kama mnaanza upya. Mataifa yaliyoendelea yalipata wenye maono ya masafa marefu, wakazifikisha nchi zao hapo walipo.
 
Nimejipa kazi kuwafatilia wagombea wawili wa uraisi wanaoonekana kupendwa na watu wengi, nimegundua kuwa Dr. Magufuri anawaza mambo ya miaka kama 30 ijayo ndo tule bata. Ili hali Ndg Lisu akiwaza mambo ya leo, kesho itajulikana ikifika.

Shida kwa watu wengi, bado huduma muhimu ( chakula, malazi na mavazi) ni shida njaa ni kubwa.

Cha kujiuliza ni,tufanye maendeleo atakayefika miaka hyo ale bata au tule leo wa miaka hiyo watajijua?

Maoni yangu ni kwamba Ndg Lisu aendelee kutupambania kama mwanaharakati, ili kumsutua Magufuri atoe vitu kama ajira ili hela irudi mtaani, na Dr. Magufuri aendelee na maono yake ya kujenga Tanzania ya miaka 30 ijayo.

Maoni yako ni yapi? Kumbuka maendeleo hayana chama.
Ulitaka tufike huko kwakufuswaumu isiyokuwa na manuwizi tuendelee kuona yeye nafamilia yake wakipeana ajira watoto zetu nanduguzetu mkono shavuni waondio wasomi pekeyao?
 
Nimejipa kazi kuwafatilia wagombea wawili wa uraisi wanaoonekana kupendwa na watu wengi, nimegundua kuwa Dr. Magufuri anawaza mambo ya miaka kama 30 ijayo ndo tule bata. Ili hali Ndg Lisu akiwaza mambo ya leo, kesho itajulikana ikifika.

Shida kwa watu wengi, bado huduma muhimu ( chakula, malazi na mavazi) ni shida njaa ni kubwa.

Cha kujiuliza ni,tufanye maendeleo atakayefika miaka hyo ale bata au tule leo wa miaka hiyo watajijua?

Maoni yangu ni kwamba Ndg Lisu aendelee kutupambania kama mwanaharakati, ili kumsutua Magufuri atoe vitu kama ajira ili hela irudi mtaani, na Dr. Magufuri aendelee na maono yake ya kujenga Tanzania ya miaka 30 ijayo.

Maoni yako ni yapi? Kumbuka maendeleo hayana chama.
Tunataka lisu awe raisi mwenyewe. Siyo huyu jamaa hatufai!
 
Nimejipa kazi kuwafatilia wagombea wawili wa uraisi wanaoonekana kupendwa na watu wengi, nimegundua kuwa Dr. Magufuri anawaza mambo ya miaka kama 30 ijayo ndo tule bata. Ili hali Ndg Lisu akiwaza mambo ya leo, kesho itajulikana ikifika.

Shida kwa watu wengi, bado huduma muhimu ( chakula, malazi na mavazi) ni shida njaa ni kubwa.

Cha kujiuliza ni,tufanye maendeleo atakayefika miaka hyo ale bata au tule leo wa miaka hiyo watajijua?

Maoni yangu ni kwamba Ndg Lisu aendelee kutupambania kama mwanaharakati, ili kumsutua Magufuri atoe vitu kama ajira ili hela irudi mtaani, na Dr. Magufuri aendelee na maono yake ya kujenga Tanzania ya miaka 30 ijayo.

Maoni yako ni yapi? Kumbuka maendeleo hayana chama.
Hata kufuta upinzani nayo ni maono yake. Matendo ya engua engua na hujuma ni njia ya kuelekea huko.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom