Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 31,527
- 65,240
Mm kuna taarifa nimeipata magufuli huenda akaja rasmi ukawa baada ya wiki moja.na alimuomba lowasa amuache kwenye wizara ya ujenzi
Mhhhh!Ngumu kidogo kuamini hii.
Mm kuna taarifa nimeipata magufuli huenda akaja rasmi ukawa baada ya wiki moja.na alimuomba lowasa amuache kwenye wizara ya ujenzi
Naskia leo amemuamrisha RPC wa dodomaKwa Magufuli habari za kuwekana sawa hilo wasahau na wanajua halipo.
Mtu mbishi, hataki kushaurika, analolijua yeye ndilo hilo, hajui kwamba hajui, hajawahi kuwa team player hata siku moja, akisema amesema hata kama ni SADDAM RAISI WA KUWAIT wengine mseme ndiyo!. Mtu wa hamaki na papara, anayedhani kasoma bila kujua kasoma nini!. Huyu mtu mnawekana sawa wakati gani?
Kwanza kina Ndungai, na wote anaowabwatukia bwatukia wakati wa uchumba, wajiandae. Hii ni honey moon ya ccm na magufli. Atakapokuwa mwenyekiti wao wa chama, wajiandae namna ya kutoka salama.
Magufuli atachanganyikiwa pale atakapogundua ccm wote mpaka jk na mkewe janeth wako kwa Lowasa.
utanyooka wewe na familia yako unayepigwa vibao homeTatizo Watanzania Hatutaki Kuambiwa Ukweli Live,wengi Mtu Mwongomwongo Na Mnafiki Ndio Tunaowapenda.Lakini Mwaka Huu Mtampata Mtu Atakae Wanyoosha Na Vijitabia Tabia Vya Unafiki,unafiki,na Mtanyooka Tu Mara Maana Hamna Namna Sasa,lazima Mnyooke Tu,na Kwa Bahati Mbaya Sana Magufuli Hamuogopi Mtu Na Yupo Straight Huyu Ndo Rais Bwana.AtLeast Tupate Rais Ambaye At Anytime,anywhere, To Anyone Anaweza Kukemea Anything Bad Kinachoendelea,tanzania Ya Sasa Hatuhitaji Mtu Wakuanza Kuunda Kamati Ya Uchunguzi Sijui Kamati Za Nini Wakati Vitu Vinaweza Kumalizwa Kwa Uwazi Tu.Mf.Eti Unataka Uunde Kamati Ya Kusuluhisha Migogoro Ya Wakulima Na Wafugaji,kazi Ya Mbunge Ni Nini?Kama Mbunge Unashindwa Kuwakutanisha Na Kuwaunganisha Watu Wako Hivi Kamati From Nowhere Itasolve Vipi Kirahisi Hilo Tatizo.We All Need Changes Kutoka Kwa Mtu Aliyetuonyesha Tayari Mabadiliko Na Aliyekuwa Tayari Kukemea,sio Anaetaka Kwenda Kuanza Kutuonyesha Mabadiliko...
Kwa Magufuli habari za kuwekana sawa hilo wasahau na wanajua halipo.
Mtu mbishi, hataki kushaurika, analolijua yeye ndilo hilo, hajui kwamba hajui, hajawahi kuwa team player hata siku moja, akisema amesema hata kama ni SADDAM RAISI WA KUWAIT wengine mseme ndiyo!. Mtu wa hamaki na papara, anayedhani kasoma bila kujua kasoma nini!. Huyu mtu mnawekana sawa wakati gani?
Kwanza kina Ndungai, na wote anaowabwatukia bwatukia wakati wa uchumba, wajiandae. Hii ni honey moon ya ccm na magufli. Atakapokuwa mwenyekiti wao wa chama, wajiandae namna ya kutoka salama.
utanyooka wewe na familia yako unayepigwa vibao home
Tatizo Watanzania Hatutaki Kuambiwa Ukweli Live,wengi Mtu Mwongomwongo Na Mnafiki Ndio Tunaowapenda.Lakini Mwaka Huu Mtampata Mtu Atakae Wanyoosha Na Vijitabia Tabia Vya Unafiki,unafiki,na Mtanyooka Tu Mara Maana Hamna Namna Sasa,lazima Mnyooke Tu,na Kwa Bahati Mbaya Sana Magufuli Hamuogopi Mtu Na Yupo Straight Huyu Ndo Rais Bwana.AtLeast Tupate Rais Ambaye At Anytime,anywhere, To Anyone Anaweza Kukemea Anything Bad Kinachoendelea,tanzania Ya Sasa Hatuhitaji Mtu Wakuanza Kuunda Kamati Ya Uchunguzi Sijui Kamati Za Nini Wakati Vitu Vinaweza Kumalizwa Kwa Uwazi Tu.Mf.Eti Unataka Uunde Kamati Ya Kusuluhisha Migogoro Ya Wakulima Na Wafugaji,kazi Ya Mbunge Ni Nini?Kama Mbunge Unashindwa Kuwakutanisha Na Kuwaunganisha Watu Wako Hivi Kamati From Nowhere Itasolve Vipi Kirahisi Hilo Tatizo.We All Need Changes Kutoka Kwa Mtu Aliyetuonyesha Tayari Mabadiliko Na Aliyekuwa Tayari Kukemea,sio Anaetaka Kwenda Kuanza Kutuonyesha Mabadiliko...
Tatizo Watanzania Hatutaki Kuambiwa Ukweli Live,wengi Mtu Mwongomwongo Na Mnafiki Ndio Tunaowapenda.Lakini Mwaka Huu Mtampata Mtu Atakae Wanyoosha Na Vijitabia Tabia Vya Unafiki,unafiki,na Mtanyooka Tu Mara Maana Hamna Namna Sasa,lazima Mnyooke Tu,na Kwa Bahati Mbaya Sana Magufuli Hamuogopi Mtu Na Yupo Straight Huyu Ndo Rais Bwana.AtLeast Tupate Rais Ambaye At Anytime,anywhere, To Anyone Anaweza Kukemea Anything Bad Kinachoendelea,tanzania Ya Sasa Hatuhitaji Mtu Wakuanza Kuunda Kamati Ya Uchunguzi Sijui Kamati Za Nini Wakati Vitu Vinaweza Kumalizwa Kwa Uwazi Tu.Mf.Eti Unataka Uunde Kamati Ya Kusuluhisha Migogoro Ya Wakulima Na Wafugaji,kazi Ya Mbunge Ni Nini?Kama Mbunge Unashindwa Kuwakutanisha Na Kuwaunganisha Watu Wako Hivi Kamati From Nowhere Itasolve Vipi Kirahisi Hilo Tatizo.We All Need Changes Kutoka Kwa Mtu Aliyetuonyesha Tayari Mabadiliko Na Aliyekuwa Tayari Kukemea,sio Anaetaka Kwenda Kuanza Kutuonyesha Mabadiliko...
Urais sio kama kuendesha shamba
ambapo saa zote unakaripia vibarua
Urais ni kuongoza watu wenye utashi na mawazo tofauti
na wana haki ya kuwa na utashi na mawazo tofauti....
unao waongoza ni your equals ....na sio your servants
sasa ukiwa na mentality za kukemea na kunyoosha...utapata watu
wanaojipendekeza na wasio jiamini wala kujali wanachofanya ni sawa
ili mradi wao wamfurahishe Rais...Ndo maana Nyerere mnamsifia humu kutwa
lakini aliacha nchi kuna foleni ya kununua sukari na sigara...sababu ya kufokea fokea na kupendwa kuogopwa