MPIGA ZEZE
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 2,539
- 2,296
Kama Mkapa kwake ndo mfano wa marais..atafeli vibaya sana
ina maana hajawahi soma historia za kina Mandela
au Bill Clinton?
unaweza kuwa Rais mzuri bila kufokafoka na kutaka kuogopewa
Tatizo kubwa limesababishwa na Mhe Prof Dkt JK. Kwa sababu ya tabia yake ya kuchekelea kila kitu (mfano wezi wa EPA, wamiliki wa makampuni ya kuuza unga, wana wa eskrow, nk) na hivyo kusababisha hasira kwa wananchi kwamba taifa limekwenda isivyo kutokana na chekacheka ya mkulu, sasa mazee ya push up yanaona yatumie mtaji huo kuonesha kwamba yao hayatachekacheka, hence hapakazitu slogan - na kupitiliza kiasi (anaweka chumvi nyingi wakati mfumo utabakia kuwa ule ule).