Magufuli amekosea wapi, mbona 'anachuja' haraka?

Hivi unajua kweli unachosema hapa? Utetezi mwingine wa hovyo...!
 

Hivi mtu kama wewe unajua hata sheria ya manunuzi ni kitu gani kweli!?, JF kuna haja ya kureview vigezo vya mtu kukidhi kuwa member, unless kuwe na jukwaa la watu wa aina yako.
 
Wewe kweli hata nikikuita mjinga nitakuwa nakusifu. Kwa akili zako hakuna aliyekamatwa? Unafikiri hao waliokuwa wakionekana kwenye Tv walikuwa wanajitokeza wenyewe. Au tafasiri ya kukamatwa kwako ni finyu.
Swala ni kuficha sukari siyo sukari ya magendo? Wewe somo la ufahamu hulijui nakushauri ujifunze, vinginevyo utakuwa mbumbumbu milele na kuendelea kuchangia ujinga. Swala la kuonesha vibali haikuwa hoja hoja ni kwanini sukari ipo na haiuzwi? Uhalali wa kuwa na sukari unao, kwanini hauiuzi kama leseni yako inavyotaka ufanye. Unajuwa wajinga nyie mnaidumaza hii nchi.
 
Suala la sukari kuadimika limemtia doa sana Rais Magufuli.Washauri wake hawakumshauri vizuri.Kitu kingine kama alivyosema mchangiaji mmoja humu,awe makini na media.Si ya kutumia sana na si ya kukaa nayo mbali.Mungu ibariki Tanzania
Cha ajabu nimemsikia Pm alisema serikali itaendelea kuagiza sukari, Sasa kama ndio hivyo kwanini serikali isijishushe na kuruhusu wafanyabiashara waagize sukari
 

Na huku umefika Msororo69? Twende kwenye mada.....

Naona kama kawaida yako umechangia kwa lugha ya kejeli na kuudhi kwa kuita mwenzako mjinga

Ngoja nikujibu kwa mtindo huohuo, kwamba, likely wewe ndiye mjinga. Kwa maana mjinga ni yule asiyeelewa na asiye na ufahamu wa jambo au mambo flani. Huyu mtu mmojawapo ni wewe!!

Umesema kwamba hao waliokamatwa na wewe ukawaona kwenye TV ndiyo
walificha sukari na kwa hiyo ni kosa. Hebu tuambie wewe "mwerevu" usiye "mjinga", kesi za hao waliokamatwa ziko mahakama gani eti??

Kwa akili yako wewe mwerevu mtu mwenye kiwanda kukutwa na tani zake kadhaa katika warehouse yake, anakuwa ameficha siyo?

Tena sukari ikiwa imehifadhiwa kihalali kabisa kwa sbb imenunuliwa kihalali kwa kupitia taratibu zote ikiwemo kulipia kodi za serikali

Labda nikutaarifu tu kwamba, hapa Mwanza ndugu zako hawa unaowatetea kwa makosa yao mpaka povu linakutoka mdomoni walikamata tani 27 za mfanyabiashara mmoja tarehe 5/5/2016 kwa hisia hizohizo ulizonazo wewe.

Wameshindwa kuthibitisha kama ilifichwa na badala yake wao wenyewe wameirudisha sukari kwa mwenyewe ili aendelee na biashara yake!!

Maamuzi ya kukurupuka yana madhara yake kikubwa ikiwa ni kupoteza muda na rasrimali za serikali kwa jambo ambalo lilihitaji akili kidogo kulishughulikia!!
 
Hilo ni kweli mkuu,na wanaomfatilia watagundua usemalo lakini wasiomfatilia na watajua ni yule yule wa kipindi kile ameingia madarakani,kumbe ulikuwa ni moto wa gazeti
 
Anajua tatizo ni chama chake na yeye mwenye ni zao la hicho chama na hawezi kutenda tofauti na chama, na ndio kiwanda cha majizi,mafisadi na mazembe. hivyo kiwanda kinachotengeneza sumu hakiwezi tengeneza sukari.Viongozi wote waliotoka kwenye hicho chama wana tabia ya kuficha ukweli na kuongea wasichokitenda ndio maana wanapoteza imazi kwa Watanzania muda mfupi tu wa uongozi, na kinachomgharimu ni kufanya jitihada za kuficha uovu wa chama chake kupitia serekali mbaya ni kwamba kwa dunia hii ya utandawazi hataweza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…