ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,048
- 6,199
Anaeteua ndie anaetoa majukumu.Sio rais anayetoa majukumu ya anaowateua, ipo tume ya utumishi hii ndio Ina majukumu ya kuanisha wajibu, mamlaka,majukumu na kadhalika.
Rais anateua tu hivi vyeo vipo kikatiba ILA kwa kuwa Mara nyingi watu hubaki na vyeo na sio wajibu na majukumu ya cheo husika.