Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,545
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Acheni niseme ukweli hata kama utanigharimu ila kikubwa nafsi yangu irizike.
Kuna mambo mengi mazuri yasiyoelezeka yamefanywa na huyu rais kwa muda mfupi wa miaka mitano ila amekuja kuharibu sehemu moja tu kwa muda wa siku chache.
Na ndio maana unaweza ukafanya mambo mengi mazuri ila kitu kidogo tu kikakutia doa. Kwa kweli kwa alichofanya magufuli amekosea sana.
How comes rais mzuri kama yeye afanye kampeni miezi miwili na wakati mambo aliyofanya miaka mitano yalitosha kumpigia kampeni.
Ingefaa hizo pesa za kampeni tungenunua hata vichwa viwili vya treni za umeme ili standard gauge ikikamika sehemu zote treni zianze kupishana kama Ulaya.
Kuna mambo mengi mazuri yasiyoelezeka yamefanywa na huyu rais kwa muda mfupi wa miaka mitano ila amekuja kuharibu sehemu moja tu kwa muda wa siku chache.
Na ndio maana unaweza ukafanya mambo mengi mazuri ila kitu kidogo tu kikakutia doa. Kwa kweli kwa alichofanya magufuli amekosea sana.
How comes rais mzuri kama yeye afanye kampeni miezi miwili na wakati mambo aliyofanya miaka mitano yalitosha kumpigia kampeni.
Ingefaa hizo pesa za kampeni tungenunua hata vichwa viwili vya treni za umeme ili standard gauge ikikamika sehemu zote treni zianze kupishana kama Ulaya.