phoncechili
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 204
- 130
USA ishaongozwa na vyama Vinci sana!Mimi nimefurahi Ila Raisi apumzike alale maana aliamini umaskini unaletwa na upinzani Sasa wamebaki ccm,tutaona nchi yetu ikiendelea kwa kasi ya 5g Kama USA, ajira kuwa bwerere, maisha kuwa mazuri
