wewe ndiyo mvivu wa kufikiri kwa sababu hujui kama mojawapo ya kazi za bunge ni kupata majibu ya serikali kutoka kwenye report ya CAG hii ikiwa ni pamoja na kutoa majibu kwa maswala yaliyojitokeza wakati wa ukaguzi wa mahesabu ya serikali.
Kuna mwanafalsafa mmoja alishawahi kusema "Kinacho ingia kwenye taka nacho ni taka", kwa mantiki hii ni kwamba kama CCM ina uchafu, wote wanao andama nayo pamoja na uchafu wake hawawezi kuwa wasafi watachafuka au watajichafua wafanane na wenzao wachafu ili wote wawe wachafu.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums.
vi. Barabara ya Tabora-Ipole-Konga-Mpanda (KM 359)
Kuwa kiboko ya makandarasi kunahitaji moyo. Kama alichukua nyumba ya serikali na kuifanya yake? sijui?Kiboko ya Makandarasi!
Halafu Libunge la Sikonge linakaa kutukana tu CHADEMA. Ovyo kabisa hili jamaa.... SIKONGE Vumbi tutakula sana.
Magufuli jamani, why?
Huyu jamaa nilimshuhudia kwa macho yangu akichukua kipisi cha Nondo anaikagua barabara kwakuigongagonga, na hakuridhika na kumwambia Mkandarasi aliyeijenga barabara hiyo anampa miezi 6 awe ameibomoa na kuirudia upya na kua na kiwango kinachoridhisha ama sivyo anamtimua na hela arudishe!
Chezea John Pombe weyee!
Amenunua kivuko cha kutoka dar kwenda bagamoyo, na anajenga kituo eneo la hoteli inaitwa Rungwe Oceanic hotel, unajua hiyo hoteli wamiliki wake ni kina nani? Fanyeni utafiti kabla ya kuwasifia hawa jamaa ni walaji wa kutisha,Katika wa2 waadilifu ndani ya ccm pombe ni mmoja wapo na mwakyembe.bt kashfa moja2 iliyo mchafua pombe ni kuuza nyumba za serikali.Itwas authority above