Magufuli akumbwa na kashfa nzito!

Magufuli akumbwa na kashfa nzito!

Status
Not open for further replies.
Mkuu sijaona cha maana ulichoandika,unasema kashifa nzito iko wapi sasa kashifa nzito halafu hotuba ya upinzani mbona yoete ya uongo.
 
Huyu si ndiye alishirikiana na Mr. Clean kugawana nyumba za Serikali na akamgawia hawara yake nyumba?
 
mtu kama anamsaliti mke wake,kwa kuwa na vimada,atashindwa kuwasaliti watanzania kwa kuiba mabilion ya barabara hewa?
 
Acha mambo yako. Toa data hapa c mipasho hapa. Ina maana barabara za miaka miwili ww huzioni hali yake saa ivi zilivyo!!! Angalia barabara ya Tarime-Sirari ya enzi hizo hadi leo inazidi za MAGUFULI za mwaka jana. Shame at your withyo ur poor argument
 
Mkuu sijaona cha maana ulichoandika,unasema kashifa nzito iko wapi sasa kashifa nzito halafu hotuba ya upinzani mbona yoete ya uongo.

Acha mambo yako. Toa data hapa c mipasho hapa. Ina maana barabara za miaka miwili ww huzioni hali yake saa ivi zilivyo!!! Angalia barabara ya Tarime-Sirari ya enzi hizo hadi leo inazidi za MAGUFULI za mwaka jana. Shame at your withyo ur poor argument
 
huu ni uzushi, hakuna ukweli wowote hapo...hizi ni takwimu za kupakana matope na hazitafanikiwa

watu wengine cjui ni nani atawafumbua macho???? jamani kusoma hujui hata picha huon? ccm wameoza fullstop.
 
Hata hivyo mimi huwa sina imani na Magufuli,naona ni mpiga kelele tu,na siku hiz kaharibika zaidi,ni mpigaji tu nae.
Hivi nyie watu mlifikiri ni wizara ipi nyingine ambayo unaweza kuchomoa mapesa kiulaini kama hiyo ya makufuli? ukichakachua km kumi tu una bilioni nane sasa hebu bana tu upana wa barabara kwa mita moja mara mamilioni ya kilometa kama hujaibuka na trilions; tatizo lenu usingizi sana
 
Maghufuli muuza sura tuu tangu arudi wizara hiyo madaraja zaidi ya ishirini kwenye barabara mpya zilizokabidhiwa na zisizokabidhiwa yamebomeka uwajibikaji wake upo wapi mwizi tu huyo kama MACCM menzie
 
Hamjitambuwi subirini atakapoanza kujibu hy hoja ya upinzani mtagundua kumbe cdm huwa wanatengeneza uongo na kibaya zaidi ni hy fursa ya kusema aibu inawakuta leo mtashangaa na hao wanaowamegea hz data kwa ghalama kubwa
 
Hamjitambuwi subirini atakapoanza kujibu hy hoja ya upinzani mtagundua kumbe cdm huwa wanatengeneza uongo na kibaya zaidi ni hy fursa ya kusema aibu inawakuta leo mtashangaa na hao wanaowamegea hz data kwa ghalama kubwa

Hana lolote na sio innovative hapa Dar anapotezea wananchi zaidi ya masaa nane ya maisha yao wakiwa barabarani kafunga barabara zote kuu barabara ya Morogoro,Kilwa na Bagamoyo eti zote ziko kwenye matengenezo makubwa mpuuzi huyo hana jipya hizo barabara zimefunguliwa na watu walewale Nyerere,Mwinyi,Mkapa,Kikwete hana jipya barabara za Dar zimejengwa zikazibwa mitaro nyumba za watu zinaangamia bogus tuu huyo waziri
 
Pombe nae ameanza chakachua ela ZETU.
Bado siamini ngoja tupate majibu toka kinywa CHAKE
 
Ni vizuri tusubiri majibu ya waziri halafu tujadili mada hii tukiwa na habari za pande mbili husika bila hivyo hatumtendei haki jamaa yetu.
 
Hakuna cha kututoa kwenye haya majanga ya ufisadi kwa kutetea kila uchafu unaofanywa na serikal ya maccm, ni kwa nin usiitumikishe akil yako ili utambue ni kitu gani umetendewa na serikal hii kama c kuibiwa kila kukicha! Oooooh mungu wang ningepata muda mchache wa kuongea nawe ningeomba unisaidie hawa watu(maccm) awatengee nchi yao kwan hawafai kuwa watz.
 
Hivi bado tuna matumaini ya kupata msafi ndani ya ccm? labda kama hajazaliwa'
 
sure mkuu. kuna watu wanajaribu kumchafua kwa vile inasemekana akawa mgombea urais wa 2015. makandarasi wanamkoma

jaman sasa kama anataka kugombea kama kuna ushuz ndo asiambiwe,aaaah kisa 2015 ?????
 
Magufuli mwizi sana mbona muda tu inajulikana naye mpigaji
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom