Magufuli akumbwa na kashfa nzito!

Magufuli akumbwa na kashfa nzito!

Status
Not open for further replies.
Hivi nyie watu mlifikiri ni wizara ipi nyingine ambayo unaweza kuchomoa mapesa kiulaini kama hiyo ya makufuli? ukichakachua km kumi tu una bilioni nane sasa hebu bana tu upana wa barabara kwa mita moja mara mamilioni ya kilometa kama hujaibuka na trilions; tatizo lenu usingizi sana

umelonga mdau
 
Vijana wa BAVICHA bana,

Kwa uzembe na ujinga wa mawaziri vivuli wanaodhaniwa ni BRIGHT BEYOND IMAGINABLE katika vijiwe vya BAVICHA eti leo ndiyo wanakurupuka na kuwatumia vipepereshu waweke hapa JF kusema kuwa Mh. Magufuri akumbwa na kashifa nzito.

Hii report ilishatua mezani kwa Rais tangu tarehe 28/3/2013 na kama sheria ilivyo, within seven days ikawa iko bungeni na soft copy zilikuwa kwenye mitandao toka 10/04/2013.

Kwa sheria ilivyo, serikali hupewa report na muda ili kutafuta majibu ya changamoto na matatizo yaliyojitokeza katika report kabla ya bunge kuanza kuijadili wizara husika.


Kaa mkao wa kula na uachane na umbea bali subiri majibu ya waziri Magufuri na siyo kukurupuka wakati unachokisema kiko zaidi ya mwezi kwa wananchi wanaojishughulisha na kusoma makabrasha mbali mbali.
 
kukurupuka ni jadi ya baadhi ya watu kazi tunayo.
 
Vijana wa BAVICHA bana,

Kwa uzembe na ujinga wa mawaziri vivuli wanaodhaniwa ni BRIGHT BEYOND IMAGINABLE katika vijiwe vya BAVICHA eti leo ndiyo wanakurupuka na kuwatumia vipepereshu waweke hapa JF kusema kuwa Mh. Magufuri akumbwa na kashifa nzito.

Hii report ilishatua mezani kwa Rais tangu tarehe 28/3/2013 na kama sheria ilivyo, within seven days ikawa iko bungeni na soft copy zilikuwa kwenye mitandao toka 10/04/2013.

Kwa sheria ilivyo, serikali hupewa report na muda ili kutafuta majibu ya changamoto na matatizo yaliyojitokeza katika report kabla ya bunge kuanza kuijadili wizara husika.


Kaa mkao wa kula na uachane na umbea bali subiri majibu ya waziri Magufuri na siyo kukurupuka wakati unachokisema kiko zaidi ya mwezi kwa wananchi wanaojishughulisha na kusoma makabrasha mbali mbali.

acha kuwa mvivu wa kufikiri wewe kama majibu angekuwa nayo angewajibu vijana wa CAG na siyo kusubiri bungeni ambapo hakuna lolote bali ni blablah za politik as usual.
 
mtahangaika sana kumchafua pombe lakini itawamwagikia tu na mtanuka wenyewe
MAGUFULI na CAG wote wameteuliwa na MWENYEKITI WA CCM!Kama wameamua kuchafuana bila mmoja wao kutumiwa na mteuaji basi unabii umetimia kwamba" UFALME ULIOFITINIKA JUU YAKE HAUWEZI KUSIMAMA"..Hicho ndicho kifo cha CCM ziii!
 
The beautiful one are not yet born, although we have to wait for his defence over this saga.He should explain on us, why he failed to submit adequate data to CAG during official auditing?
 
Dawa ya kutuliza kama siyo kuponya maumivu kwa sasa ni kuchagua chama kingine japo kwa muhula mmoja, vinginevyo tutarajie maumivu zaidi kwa sababu with ccm haya hayataisha
 
acha kuwa mvivu wa kufikiri wewe kama majibu angekuwa nayo angewajibu vijana wa CAG na siyo kusubiri bungeni ambapo hakuna lolote bali ni blablah za politik as usual.

Hapo ndio ninapo washangaa BUKU7 FC akili zao hazilengi kufikiri LUMUMBA walls.

Wanaweza kusema aliyeandaa ripoti ni mchochezi au ni mwanachama wa CHADEMA.
 
kwa hiyo kashfa iko wapi hapo? si usubiri ufafanuzi wa waziri wakati wa majumuisho

ndugu Lizaboni pale bungeni ni sehemu ya porojo na mara kibao hata waziri mkuu amelidanganya bunge kwa majibu ya uongo.na wangekuwa wanasema kweli hata pesa ya rada,
richmond,epe tungekuwa tumejua hatma yake.
nikuukize zile nyumba alizouza magufuli na mkapa unajua hatma yake?
 
Last edited by a moderator:
kwa hiyo kashfa iko wapi hapo? si usubiri ufafanuzi wa waziri wakati wa majumuisho

ndugu Lizaboni pale bungeni ni sehemu ya porojo na mara kibao hata waziri mkuu amelidanganya bunge kwa majibu ya uongo.na wangekuwa wanasema kweli hata pesa ya rada,
richmond,epe tungekuwa tumejua hatma yake.
nikuukize zile nyumba alizouza magufuli na mkapa unajua hatma yake?
 
Last edited by a moderator:
Huyu jamaa nilimshuhudia kwa macho yangu akichukua kipisi cha Nondo anaikagua barabara kwakuigongagonga, na hakuridhika na kumwambia Mkandarasi aliyeijenga barabara hiyo anampa miezi 6 awe ameibomoa na kuirudia upya na kua na kiwango kinachoridhisha ama sivyo anamtimua na hela arudishe!

Chezea John Pombe weyee!

Sawa mkuu ila sasa mbona barabara nyingi zilizojengwa chini yake zimejaa mashimo?
 
Mnategemea mbuzi afanye maajabu katikati ya kundi la ng'ombe...!?
 
Katika mawaziri wezi huyu anaongoza, kama hamuamini tembelea kwenye jimbo lake halafu angalia barabara ya lami aliyolazimisha kupitisha kwake... lami ulimi sasa hivi inamashimo utafikiri imejengwa miaka 1700...Nyumbani kwake amejijengea nyumba kibao na kuifanya motel. amefuga farasi kibao kuashiria kuwa yeye ni mbepari... Ndege wafananao siku zote huruka pamoja...CCM wote wezi! Wanazidiana ngawira tu...
 
wewe unaamini chochote kinachosemwa na upinzani hasa chadema? Sina imani na chadomo sasa

Mkuu Piliton punguza jazba kidogo,Magufuli anapiga siasa tu au umeshasahau zile nyumba za serikali alizouza/walizojiuzia?
 
acha kuwa mvivu wa kufikiri wewe kama majibu angekuwa nayo angewajibu vijana wa CAG na siyo kusubiri bungeni ambapo hakuna lolote bali ni blablah za politik as usual.
wewe ndiyo mvivu wa kufikiri kwa sababu hujui kama mojawapo ya kazi za bunge ni kupata majibu ya serikali kutoka kwenye report ya CAG hii ikiwa ni pamoja na kutoa majibu kwa maswala yaliyojitokeza wakati wa ukaguzi wa mahesabu ya serikali.
 
Magufuli mwizi tu, mimi sina ninaemuamini ccm, huyu si anatuhuma kumgawia mpenzi wake nyumba ya serikali.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom