rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 18,079
- 25,756
mwenye jazba ni mimi au wewe mi nimekuelezea kitu halisi wewe unanielezea vitu vya kufikirika yeye si yupo ndani ya baraza la mawaziri hizo sababu alitakiwa atoe mtu baki kwa kifupi magufuli angekuwa nchi nyingine zinazojua maana ya utawaka bora ama angejiondoa au kufukuzwa kwa kuitia hasara serikali na hizo pesa ni za walipa kodi wa kawaida kitendo cha kuendelea kumuachia hayo ndio matokeo yake