TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,870
- 5,755
Maghufuli hachafuliki kirahisi hivyo mkuu, chama chake kikimpirisha kugombea urais, Mbowe, SLAA wote watampa kura.
basi serikali imeshinda kesi,haya furahiUlisikia wapi mtu asiyepeleka kondoo malishoni akalaumiwa kwa kupoteza kondoo mmoja nyikani?
ACHENI POROJO ZENU, MAJEMBE YA CCM HAMUYAWEZI, NA MTAPIGA RAMLI SANA MWAKA HUU!
basi serikali imeshinda kesi,haya furahi
Kama unaenda vitani 'KUPIGA TU', basi akhirisha zoezi kabla mambo hayajaharibika zaidi!
irrelevant instance
Magazeti ya leo yanaripoti kuwa mahakama ya Tanzania imeamuru serikali kuwasilisha mahakamani zaidi ya bilioni 2 kama fidia ya samaki maarufu kama samaki wa Magufuli.Hii imetokana na serikali kushindwa kesi hiyo iliyounguruma kwa mda mrefu,Swali la Kizushi:Hivi kwa nini serikali "haishindagi" kesi kubwa kubwa
Magazeti ya leo yanaripoti kuwa mahakama ya Tanzania imeamuru serikali kuwasilisha mahakamani zaidi ya bilioni 2 kama fidia ya samaki maarufu kama samaki wa Magufuli.Hii imetokana na serikali kushindwa kesi hiyo iliyounguruma kwa mda mrefu,Swali la Kizushi:Hivi kwa nini serikali "haishindagi" kesi kubwa kubwa
ukute mchezo tu huo hela zinaenda akaunti ya ccm,hawaaminiki hawa.
ndio maana hata sikushangaa mwanasheria mkuu kuchaguliwa yule masaju maana nae ni dizaini hiyo hiyo
masaju alishawai kushindwa kuamua kesi ndogo sana ya kikazi iliyokuwa inamkabili mwenyekiti wa tawi wa chama cha wafanyakazi wa shirika moja huko Arusha ikabidi afafanuliwe sheria na mwenyekiti huyo wa Tawi
Hahaaa, mkuu wewe umekuwa wazi juu ya lengo la mada hii, ni kutaka tu kumchafua MAGHUFULI. Watanzania siyo wajinga kiasi hicho wanajua kazi nzuri ya Maghufuli, tunajua uwezo wa Maghufuli, tunajua msimamo wa Maghufuli. Hatudanganyiki,
Tatizo hawa viongozi wetu wengi wao wanafanya maamuzi kwa jazba ili wapate sifa bila kuchukua ushauri wa kisheria pale wanataka kuchukua hatua yeyote, ndiyo maana tunajikuta tunashindwa kesi nyingi au tunatoa mianya ya kugeuziwa kibao na kushitakiwa sisi. Jaji hawezi tu kutusaidia tu kwasababu yeye ni mtanzania mwenzetu anatizama sheria ndiyo anatoa hukumu ndiyo maana tunaambiwa mahakama zinatoa maamuzi siyo haki.Mahakama zenyewe hizi hizi zinazopokea kila kitu??
Mimi binafsi naamini kabisa kuna shida ya wanasheria wetu wa wizara kuwa legelege, mahakama kuwa corrupt na wafanyabiashara kutumia mianya ya corruption kufanikisha mambo yao... kibaya zaidi siku hizi wanasiasa hasa wa chama tawala wamekua ni madalali wakuu wa wafanyabiashara kwenye kununua haki
I find it difficult kwamba hii kesi bado ilikua inanguruma wakati wale jamaa walikua hawana vibali vya kuvua samaki kwenye maji ya Tanzania
Anyway, tutapigwa hadi tutie akili na tuamue kusimama kwa ajili ya Tanzania
hii si mara ya kwanza Magufuli kuitia hasara serikali hata kule mwanza serikali ililipa mabilioni ya pesa baada ya kuvunja kituo cha mafuta alichosema kilijengwa kwenye hifadhi ya barabara leo hii aliyevunjiwa ni mbunge wa ccm amekuwa anafanya maamuzi mengi ya kurupuka hata uuzaji nyumba za serikali pia uliingiza hasara serikalini kwani waliokuwa wakiteuliwa ilibidi wakae hotelini kwa kukosa makazi