Magufuli aitia Wizara hasara ya Bilioni 2

Magufuli aitia Wizara hasara ya Bilioni 2

huyu mkurupukaji akiwa rais atakurupuka vingapi??
 
Serikali ya tz hapa ni ujinga mtupu wale ni wavuvi haram na walikamatwa na sheria ilifuata mkondo wake na walijaribu kumhonga magufuli lakin aliwakatalia sasa mawakili wa serikali wanakula hongo za wastakiwa so lazma tushindwe kesi hizo
 
Hivi mleta mada huyo prof. watoto wake wanasoma nchi gani vile? Na wa pombe wapi vile na kwa nini? Jieleze sababu 3
 
Ni kiasi gani Lowassa kaitia hasara ukianza na Ranchi, Richmond, AICC n.k na tutahakikisha tunamfirisi ili siku nyingine iwe fundisho ..marehemu ndo apewe nchi? si wauza unga watatembea uchi duniani kote
 
Ni kiasi gani Lowassa kaitia hasara ukianza na Ranchi, Richmond, AICC n.k na tutahakikisha tunamfirisi ili siku nyingine iwe fundisho ..marehemu ndo apewe nchi? si wauza unga watatembea uchi duniani kote
Kweli Lowassa zaid!
 
Back
Top Bottom