Magufuli aitia Wizara hasara ya Bilioni 2

Magufuli aitia Wizara hasara ya Bilioni 2

Sio Kubwakubwa Tu Hata Ndogondogo Wanashelia Wa Selikali Hawashindagi Pindi Wanapokabiliana Na Wanashelia Binafs, Hiyo Ni Kwasababu Wanawekana Kindugu Bila Kuangalia Viwango Vya Mtu,
 
Naombeni muanze kuwakumbusha ndugu, jamaa na marafiki waliopo katika hifadhi ya barabara waondoke mapema. Hasara inayofata kwa hao ndug, jamaa na marafiki waliopo katika hifadhi ya barabara ni kubwa KULIKO' haya ya hasara zilizopita. Tugange yajayo. KAMA NDUG JAMAA NA RAFIKI YUPO KWENYE HIFADHI mwambie anyeee kambi
 
kuna kitu kimejificha hapo kwa sababu alie kuwa shahidi mkuu ktk kesi hiyo kuitetea serikali alifariki na ndo alikuwa tegemeo na wingine ambae alibidi atoe ushahidi tiyar kesha pokea mshiko wake na kujitoa kwenye kesi unazani hapo serikali inashida je ndo maana wenzetu China unanyongwa au kifungo bila kufata utaratibu coz ya hivi vitu juz tu tumeona walio sababishia serikali hasara ya bilion 11 wamefungwa miaka 3 na fain ya milion 5 kila mmoja yaaani cjui sheria zetu zikoje na wanafanya nakusudi
 
Mtasumbuka bure nani hajui udhaifu wa mahakama zetu,kazi ya mtendaji ni kukamata tayari alifanya ss mengine ni mahakama lkn ukweli upo wazi fuatilia utaujua.
 
Magazeti ya leo yanaripoti kuwa mahakama ya Tanzania imeamuru serikali kuwasilisha mahakamani zaidi ya bilioni 2 kama fidia ya samaki maarufu kama samaki wa Magufuli.Hii imetokana na serikali kushindwa kesi hiyo iliyounguruma kwa mda mrefu,Swali la Kizushi:Hivi kwa nini serikali "haishindagi" kesi kubwa kubwa

Kwa kuisababishia hasara serikali magufuri hafai kabisa kuongoza hata ngazi ya kijiji
 
Naombeni muanze kuwakumbusha ndugu, jamaa na marafiki waliopo katika hifadhi ya barabara waondoke mapema. Hasara inayofata kwa hao ndug, jamaa na marafiki waliopo katika hifadhi ya barabara ni kubwa KULIKO' haya ya hasara zilizopita. Tugange yajayo. KAMA NDUG JAMAA NA RAFIKI YUPO KWENYE HIFADHI mwambie anyeee kambi

aaaaaaah!!!
 
Mtapiga sana kelele, mta-tapatapa sana, mtatoa kashfa zote lakini ukweli ni kwamba CCM wamewazidi karata uteuzi wa JPM binafsi umenishawishi nibadili nia ya kuupia UKAWA kura yangu. Dr Magufuli ni mtendaji kila mtanzania anamfahamu wala huihaji kumpigia kampeni kwani anajiuza mwenyewe
 
Yaani hii nchi cjui nani kailoga na watu wake
Yaani tumesha sahau
ESCROW
EPA
RICHMOND
KAGODA
BUZWAGI
MEREMETA
TEMBO KUUAWA
TWIGA KUPANDA NDEGE
MISAMAHA YA MADINI
MISWADA YA HOVYO YA GESI NA MAFUTA
KUPANDISHWA HOVYO BEI YA MAFUTA
WATOTO KUKAA CHINI
AKINA MAMA KUZALIA CHINI
MATAJIRI KUTHAMINIWA
UBOVU WA BARABARA
UBOVU WA RELLI
UHABA WA MAJI SAFI NA SALAMA
KUUZWA BENKI YA TAIFA
KUUZWA KWA SHIRIKA LA NDEGE
KUUZWA KWA NYUMBA ZA TAIFA
KIWIRA COAL MINE
UKOSEFU WA DAWA HOSPITALI ZA UMMA
KUSHUKA KWA ELIMU
MIGOMO YA WAALIMU NA MADAKTARI
MIGOMO YA WANAFUNZI
MIGOGORO YA ARDHI KUTOKANA NA SERIKALI
KUWATHAMINI WAWEKEZAJI WA KIGENI
KUHODHI VIWANJA VYA MICHEZO
KUHODHI MAJJENGO YA UMMA
KULINDA WEZI, MAFISADI NA WAHUJUMU UCHUMI
KUUA VIWANDA ALIVYO VIJENGA MWALIMU
NYERERE
KUUA MASHIRIKA YA UMMA
KUONGEZA MATABAKA KWA WANANCHI
KUUA WANAHARAKATI NA WAANDISHI WA HABARI
( MWANGOSI)
KUPITISHA RASIMU ISIO YA MUAFAKA
ILIYO
FEKI
HIvyo basi,
nashangazwa na watu waelewa humu wanaosema
magufuli jembe
Wakati yupo serikalini tangu 1995
Ndani ya ccm
Nani ametuloga ??
Hapa magufuli ni pombe ile ile kwenye chupa
mpya.
Maskini Tz
Au elimu ya uraia tatizo ???
 
wanasheria uchwara kazi yao kufanya siasa na kupoteza weredi wa fani yao,
 
Magazeti ya leo yanaripoti kuwa mahakama ya Tanzania imeamuru serikali kuwasilisha mahakamani zaidi ya bilioni 2 kama fidia ya samaki maarufu kama samaki wa Magufuli.Hii imetokana na serikali kushindwa kesi hiyo iliyounguruma kwa mda mrefu,Swali la Kizushi:Hivi kwa nini serikali "haishindagi" kesi kubwa kubwa
Deal mbele la kubomoa pesa za walipa kodi
 
Back
Top Bottom