Magufuli aitia Wizara hasara ya Bilioni 2

Magufuli aitia Wizara hasara ya Bilioni 2

Na ile meli ya samaki wa Magufuli tuliyopewa na mahakama imezama baada ya kuibiwa usukani ikiwa chini ya ulinzi wa vyombo vya usalama! TZ sijui ni laana.
 
kama hakimu anahongwa na Rugemalila milion minne anapokea halafu fikiria siku una kesi unaenda kwa rugemalila unamwambia aongee na hakimu haache unoko wake unafikiri hakimu hatakataa
Sio hakimu,jaji;hakim si tutasema njaa kali,jaji ambaye hupewa kila kitu kwa kodi yako,mpaka boksa
 
vijana hatuna budi kushika silaha maonezi haya hayatakwisha
 
Serikali inao wanasheria mahiri...lakini kwa mshahara wa laki 5 (TGS E) kwa mwezi usitegemee serikali ishinde kesi. Namaanisha mwanasheria mwenye njaa hawezi kukataa mlungula ili akubali kesi ashindwe..tafakari serikali ya Tanzania
 
... Tutalipa Tu, Tuna Hela Nyingi Za Mambo Hayo
 
Bado tutalipa na meli yao iliyofia pale Kigamboni.
 
Ulisikia wapi mtu asiyepeleka kondoo malishoni akalaumiwa kwa kupoteza kondoo mmoja nyikani?
ACHENI POROJO ZENU, MAJEMBE YA CCM HAMUYAWEZI, NA MTAPIGA RAMLI SANA MWAKA HUU!
 
Kichwa cha mada yako na ulichokiandika havishabihiani kabisaa
 
hii si mara ya kwanza Magufuli kuitia hasara serikali hata kule mwanza serikali ililipa mabilioni ya pesa baada ya kuvunja kituo cha mafuta alichosema kilijengwa kwenye hifadhi ya barabara leo hii aliyevunjiwa ni mbunge wa ccm amekuwa anafanya maamuzi mengi ya kurupuka hata uuzaji nyumba za serikali pia uliingiza hasara serikalini kwani waliokuwa wakiteuliwa ilibidi wakae hotelini kwa kukosa makazi
 
Akiwa raisi tutauzwa...
Hahaaa, mkuu wewe umekuwa wazi juu ya lengo la mada hii, ni kutaka tu kumchafua MAGHUFULI. Watanzania siyo wajinga kiasi hicho wanajua kazi nzuri ya Maghufuli, tunajua uwezo wa Maghufuli, tunajua msimamo wa Maghufuli. Hatudanganyiki,
 
hii si mara ya kwanza Magufuli kuitia hasara serikali hata kule mwanza serikali ililipa mabilioni ya pesa baada ya kuvunja kituo cha mafuta alichosema kilijengwa kwenye hifadhi ya barabara leo hii aliyevunjiwa ni mbunge wa ccm amekuwa anafanya maamuzi mengi ya kurupuka hata uuzaji nyumba za serikali pia uliingiza hasara serikalini kwani waliokuwa wakiteuliwa ilibidi wakae hotelini kwa kukosa makazi
Maghuufuli anaitia hasara serikali wakati anasimamia sheria za nchi. Hicho kituocha mafuta bado kipo? Chezea Maghufuli wewe. Tangu ataifishe samaki umeshaona uvuvi mwingine wa kijinga?
 
ndo fuba nyingine inapigwa hivyo.kusema kushindwa kesi ni kigezo tu
 
Wanasheria wengi wanapenda kesi kama hiz za serikali maana wana uhakika kushinda ni asilimia kubwa kuliko ya mtu na mtu kwa kuona watamkandamiza mmoja wao ni bora waikandamize serikali ndio maana kesi nyingi za serikali inashindwa ni makusudi tu ya wanasheria ili wale pesa za serikali

Hela ya Serikali NI kodi yangu, YAKO Na Yule. Huu NDIYO ukweli ambao watanzania INABIDI tujue ili tuweze kujikomboa kiuchumi, fedha YA SERIKALI ni YETU
 
Back
Top Bottom