Nsiande
JF-Expert Member
- Jul 27, 2009
- 1,649
- 872
Mkuu wa mkoa anamjua through senior engineer's reports ( if they are doing their jobs ) kila halmashauri ina mhandisi mshauri wa ujenzi sambamba na meneja wa mkoa wa tanroads mwenye dhamana ya kusimamia maendeleo ya barabara na miradi husika mkoani kwakeWanapowekeana mikataba na wakandarasi kuna kipengele cha kuwaweka ndani kama hawajatimizima masharti yaliyowekwa?
Na mkuu wa mkoa atamjuaje mkandarasi aliyefanya kazi chini ya viwango?
Kama kazi haijatendwa kama inavyotakiwa basi sheria ifuate mkondo wake na adhabu stahili zitolewe na sio kuwaweka watu ndani kama hakuna vyombo vya sheria.