Magufuli 2015-2020: Matarajio ya uchumi na changamoto zake

Ntajibu swali na swali

Some where along the lines of the paper which you have quoted they mentioned LGA being required to adapt and implement 'STANDARD TREATMENT GUIDELINES' technically it means regardless on how local policies are planned in the end they should meet the end goals of government desires that is the national framework (ndio maana hiyo karatasi pia likaitwa devolution of health systems).

Sasa unless unaweza kuelezea government threshold to every citizen in budget kwenye hivyo vipaumbele vyake, au walau justify local expenditure to Fair Access on Care Services’ kama wanao huo uwezo to meet the national requirement na kama halmashauri hazina hiyo hela ya kufikia malengo ya sera sasa ina maana gani na akina nani wanaoathirika?

Jumlisha na changamoto za investment in amount of primary care units let alone secondary care units to meet demand access za hiyo sera unadhani halmashauri zote zinaweza fikia vipaumbele vya serikari maana hata hiyo DMO inatakiwa izingatie hivyo vitu kwenye budget yao ndio maana ata unao wa quote wanashindwa kuitimisha ubora wa system kutokana na kwamba hakuna details za data ku analyse magonjwa ambayo primary care wanatikiwa ku intervene pamoja na causes of death data to conclude..

Common sense tu hiyo national policy inatekelezeka vipi kwenye level za halmashauri bearing in ming standard treatement guidelines kama sehemu kubwa inategemea mapato yao wakati kuna variation kubwa kati ya halmashauri na halmashauri isnt that the reason wabunge kila siku wanaulizia wataalamu, zahanati kukosekana vifaa tiba na basic supporting; na kila siku jamaa wanakuja na porojo ya vipaumbele vyenu huko sasa si ndio kukimbia majukumu yao.
Treatment guidelines ni suala LA kitaalam. Ni jinsi ya kutibu.
Kila halmashauri ina challenges zake kutokana na factors nyingi tu. We are speaking about policies.

Central government inahodhi MSD. Kwa hiyo based on prevalent diseases, utanunua dadawa MSD kutokana na halmashauri yako. Treatment guidelines ni maelezo ya kuhusu dawa gani itumike kutibu nini.
Since MSD is centralized, you should of course expect some kind of a guideline on drug transactions.
Usiende huko, huko wala siko tunkozungumzia. Wewe angalia jinsi mjadala ulivyo sideline LGAs kwenye healthcare policy hata kwenye funding.
Somebody had to let them know kuwa you can't do that. I had to let them know the role of LGAs in primary care, they omitted (I think purposely), umuhimu wa halmashauri.
Kama heading inayosema, this was supposed to be an attack on central government. Ni lazima tuzizungumzie halmashauri, funding or no funding they play a major role.

Wether they like it or not, I shifted the discussion kihalali kabisa. Sina haja ya kuharibu mijadala, Ila ni lazima tuwe wakweli.
 
Treatment guidelines ni suala LA kitaalam. Ni jinsi ya kutibu.
Kila halmashauri ina challenges zake kutokana na factors nyingi tu. We are speaking about policies.

Central government inahodhi MSD. Kwa hiyo based on prevalent diseases, utanunua dadawa MSD kutokana na halmashauri yako. Treatment guidelines ni maelezo ya kuhusu dawa gani itumike kutibu nini.
Since MSD is centralized, you should of course expect some kind of a guideline on drug transactions.
Usiende huko, huko wala siko tunkozungumzia. Wewe angalia jinsi mjadala ulivyo sideline LGAs kwenye healthcare policy hata kwenye funding.
Somebody had to let them know kuwa you can't do that. I had to let them know the role of LGAs in primary care, they omitted (I think purposely), umuhimu wa halmashauri.
Kama heading inayosema, this was supposed to be an attack on central government. Ni lazima tuzizungumzie halmashauri, funding or no funding they play a major role.

Wether they like it or not, I shifted the discussion kihalali kabisa. Sina haja ya kuharibu mijadala, Ila ni lazima tuwe wakweli.
Ngoja nikusaidie mawazo the whole system of decentralization Tanzania maana nimeona historically umeanza 2011 not sure of what I am about to say but I am very convinced ume base kwenye 'the health and social care act 2012' ya UK; kama kawaida yao kukopi and paste without changing the details to suit the realism of the third world.

Kwenye hiyo act LGA will be responsible for deciding and implementing local health policies kwa ushiriki wa local health practitioners (GP's), halmashauri na watoa huduma wa afya tofauti zilizopo wao wanasheria nyingi zaidi; pamoja na kwamba Tanzania hakuna senior medical experts at primary levels ndio maana wataalamu wanatoka wizarani kuja kuwa MDO locally kushirikiana na halmashauri. Kikubwa kote kuna hiyo central policy framework which must be considered to standardize the provision nationally.

Kwa hivyo swala la wataalamu wa afya locally kwa kushirikiana na halmashauri kuwa wanunuzi wa afya locally kutokana na mahitaji/changamoto zao sio jipya kikubwa kwa wazungu kuna value assessment of services provided locally na kuchunguza jinsi hela inavyotumika, monitoring of minimum standards and quality of services. na serikari kuu inalipia hiyo mipango na gharama kama ujenzi wa zahanati, kupeleka wataalamu etc.

Sasa sisi tumekopi au kama ni watunzi basi tuna kitu kama hicho tofauti ni kwamba serikari imekimbia mziki wa gharama ya for the most part, as a result aiwezi kuwa sawa nationally hakuna equality of access kutokana na uwezo wa halmashauri pamoja na idadi ya watu wanaotakiwa kutoa huduma.

Ndio maana hata ao watunzi wako wakakwambia awawezi kufanya assessment to solidify their unfair argument kati ya UKEREWE na Mkuranga kwa sababu mmoja dispensary zake zina serve twice the amount of the other kwa hivyo hapo common sense says lazima kutakuwa na compromise ya quality of services offered kwa mwenye large volumes ndio sababu ya kutaka kujua causes of deaths ambazo tabu kuzipata ili wa asses quality.

In short afya imekuwa lottery ya sehemu mtu alipo maana halmashauri watapanga kutokana na mfuko wao ndio maana unaona nationally kuna variation ya changamoto kutokana na uwezo wa halmashauri and this whole thing is immoral.

Mwisho kumbuka uwezi kuaribu mjadala wao kwa kutoa maelezo ata wenzako wamekwambia huu ni mjadala tu ambao unajibiwa kwa point so far umekuja hivyo sioni kosa.
 
Ngoja nikusaidie mawazo the whole system of decentralization Tanzania maana nimeona historically umeanza 2011 not sure of what I am about to say but I am very convinced ume base kwenye 'the health and social care act 2010' ya UK; kama kawaida yao kukopi and paste without changing the details to suit the realism of the third world.

Kwenye hiyo act LGA will be responsible for implementing local health policies kwa ushiriki wa local health practitioners, halmashauri na watoa huduma wa afya tofauti zilizopo wao wanasheria nyingi zaidi pamoja na kwamba Tanzania hakuna senior medical experts at primary levels ndio maana wataalamu wanatoka wizarani kuja kuwa MDO locally kushirikiana na halmashauri. Kikubwa kote kuna hiyo policy framework to standard of sevices.

Kwa hivyo swala la wataalamu wa afya locally kwa kushirikiana na halmashauri kuwa wanunuzi wa afya locally kutokana na mahitaji sio jipya kikubwa kwa wazungu kuna value assessment of services provided locally na kuchunguza jinsi hela inavyotumika, monitoring of minimum standards and quality of services. na serikari kuu inalipia hiyo mipango.

Sasa sisi tumekopi au kama ni watunzi basi tuna kitu kama hicho tofauti ni kwamba serikari imekimbia mziki wa gharama ya for the most part, aiwezi kuwa sawa nationally kuna equality of access kutokana na uwezo wa halmashauri pamoja na idadi ya watu waotakiwa kuhudimiwa ndio maana hata ao watunzi wako wakakwambia awawezi kufanya assesment kati ya UKEREWE ya wilaya na Mkuranga kwa sababu mmoja dispencary zake zina serve twice the amount of the other kwa hivyo hap lazima kutakuwa na compromise ya quality of services offered ndio sababu ya kutaka kujua causes of deaths.

In short afy imekuwa lottery ya sehemu mtu alipo maana halmashauri watapanga kutokana na mfuko wao ndio maana unaona nationally kuna variation ya changamoto kutokana na uwezo wa halmashauri and this whole thing is immoral.

Mwisho kumbuka uwezi kuaribu mjadala wao kwa kutoa maelezo ata wenzako wamekwambia huu ni mjadala tu ambao unajibiwa kwa point so far umekuja hivyo sioni kosa.
Halmashauri zikiamua kuwekeza percent kubwa kwenye zahanati, hakuna atakayewakataza. Siyo DMO pekee anayepanga. Coucil na wananchi pia.
Watanzania hatuna habari na councils zetu. US for example, town hall meetings ndiyo mpango mzima kuanzia water quality, umeme.mpaka transportation huwa tunawakaba kwenye city councils
Watanzania tumebaki kuwalilia central government Hata kwenye local issues. Hata mikutano ya madiwani hawajui Ila bunge kwao ndiyo kila kitu.
Bado hapo hujaengua umuhimu wa halmashauri kwa sababu una nia kubwa ya kushambulia central govt.
That's okay, Ila hapa kwenye afya I had to counter that opinion.
 
Halmashauri zikiamua kuwekeza percent kubwa kwenye zahanati, hakuna atakayewakataza. Siyo DMO pekee anayepanga. Coucil na wananchi pia.
Watanzania hatuna habari na councils zetu. US for example, town hall meetings ndiyo mpango mzima kuanzia water quality, umeme.mpaka transportation huwa tunawakaba kwenye city councils
Watanzania tumebaki kuwalilia central government Hata kwenye local issues. Hata mikutano ya madiwani hawajui Ila bunge kwao ndiyo kila kitu.
Bado hapo hujaengua umuhimu wa halmashauri kwa sababu una nia kubwa ya kushambulia central govt.
That's okay, Ila hapa kwenye afya I had to counter that opinion.
Mwisho wa siku lazima mipango yao iwe sambamba na sera ya wizara sio kwamba wanajiamulia tu je wana uwezo wa kufikia malengo na vipaumbele vya sera kutokana na makusanyo yao.

Mbona serikari aipimi mafanikio ya sera zake kwa nini? lets face it hata matabibu kuwapatia wenzao tabu kila siku hadithi tu tunasomesha tunasomesha mara tuta ajiri hizi ngonjera tumeshazisikia sana, ni kwamba wanakimbia responsibility tu.

Alamsiki
 
Mwisho wa siku lazima mipango yao iwe sambamba na sera ya wizara sio kwamba wanajiamulia tu je wana uwezo kutokana kufikia malengo na vipaumbele vya sera kutokana na makusanyo yao.

Mbona serikari aipimi mafanikio ya sera zake kwa nini; lets face it hata matibabu kuwapatia wenzao tabu kila siku hadithi tu tunasomesha tunasomesha mara tuta ajiri hizi ngonjera tumeshazisikia sana, ni kwamba wanakimbia responsibility tu.

Alamsiki
Halmashauri zinapaswa kuwajibika. Hilo halipingiki.
Tuseme serikali kuu ni mashetani, bado halmashauri zinawajibika kwenye primary healthcare.
Sijaona hoja inayopangua dhana hii.
 
Halmashauri zinapaswa kuwajibika. Hilo halipingiki.
Tuseme serikali kuu ni mashetani, bado halmashauri zinawajibika kwenye primary healthcare.
Sijaona hoja inayopangua dhana hii.

Sababu mbona zishaelezewa kwanini ni impossible kwa halamshauri kufanikiwa kwa utaratibu wa sasa kama ukuona hii hapo tena.

Unazipa serikali ngazi ya halmashauri 'Spending Powers,' lakini unawanyima 'Taxation Powers'.

Other possibilities ni kwamba serikari iweke mfumo sahihi wa kugharamia afya locally kutokana na central policies sio kuwaachia wengine gharama wakati mapato sio ya uhakika.
 
Sababu mbona zishaelezewa kwanini ni impossible kwa halamshauri kufanikiwa kwa utaratibu wa sasa kama ukuona hii hapo tena.



Other possibilities ni kwamba serikari iweke mfumo sahihi wa kugharamia afya locally kutokana na central policies sio kuwaachia wengine gharama wakati mapato sio ya uhakika.
Hivi kwa maoni yako wilaya kama ya Kasulu, tax base yake ni kiasi gani? Unadhani inapata hela zaidi ya uwezo wake Hata ulipewa back 100% ya kodi zote toka wilaya hiyo? Au unadhani inapunjwa?
 
Hivi kwa maoni yako wilaya kama ya Kasulu, tax base yake ni kiasi gani? Unadhani inapata hela zaidi ya uwezo wake Hata ulipewa back 100% ya kodi zote toka wilaya hiyo? Au unadhani inapunjwa?
Wengine tuna analyse variables za economic models kwenye plans za western economies, stability of income variable (including tax base) to meet long terms forecasts given changing condition; hayo mambo ya tosh issues nakuwachia wewe kama unaona kuna hoja hapo.

Au nikupe changamoto ya hoja zako kwa dhana ya health economic unipe majibu?
 
Wengine tuna analyse variable za economic models za national long terms plans and the condition used to prepare them; hayo mambo ya tosh issues nakuwachia wewe kama unaona kuna hoja hapo.
Mkoa mzima wa Kigoma unakusanya kodi ya 5 billion shs a year.
Hata walipewa zote hizo ziende kwenye afya tu, hazitoshi.
Kwa hiyo hoja ya Uhuru wa kukusanya ni very flimsy.
Ngoja nikuache mkuu, nadhani upo kichama zaidi.Tusubiri 2020.
 
Mkoa mzima wa Kigoma unakusanya kodi ya 5 billion shs a year.
Hata walipewa zote hizo ziende kwenye afya tu, hazitoshi.
Kwa hiyo hoja ya Uhuru wa kukusanya ni very flimsy.
Ngoja nikuache mkuu, nadhani upo kichama zaidi.Tusubiri 2020.
Can you see your contradiction if that were the case do you still believe the government has no role; mkuu usi personalize mjadala sio lengo la uzi,

Unaweza kuendelea na wachangiaji wengine si kila hoja lazima iangaliwe kichama.
 
Mkoa mzima wa Kigoma unakusanya kodi ya 5 billion shs a year.
Hata walipewa zote hizo ziende kwenye afya tu, hazitoshi.
Kwa hiyo hoja ya Uhuru wa kukusanya ni very flimsy.
Ngoja nikuache mkuu, nadhani upo kichama zaidi.Tusubiri 2020.
Rudi katika bandiko 85 uone jinsi unavyo ji-contradict

''Halmshauri zainapaswa kuwajibika hilo halipingiki''

Hapa unatuambia hata zikpewa 100 haisaidii kitu! Ama! sasa ziwajibikeje?

Mkuu soma mwenyewe uone unavyojichanganya
 
Sababu mbona zishaelezewa kwanini ni impossible kwa halamshauri kufanikiwa kwa utaratibu wa sasa kama ukuona hii hapo tena. Other possibilities ni kwamba serikari iweke mfumo sahihi wa kugharamia afya locally kutokana na central policies sio kuwaachia wengine gharama wakati mapato sio ya uhakika.
Mabandiko ya mbele Mchambuzi ameonyesha hata zile source zinazopaswa kuwezesha halmashauri serikali kuu imezichukua.

Halafu tunaambiwa wanapaswa kuwajibika!
 
Rudi katika bandiko 85 unaone jinsi unavyo ji-contradict

''Halamshauri zainapaswa kuwajibika hilo halipingiki''

Hapa unatuambia hata zikpewa 100 haisaidii kitu! Ama! sasa ziwajibikeje?

Mkuu soma mwenyewe uone unavyojichanganya
Kwa sababu asilimia 70 ya financing ni NGOs, development partners na out of pocket. Hakuna kodi itakayotosheleza. Angalau wamepewa allocation powers, they can't fund themselves. Of they could, that would have been different.
Msiforce.
Mabandiko ya mbele Mchambuzi ameonyesha hata zile source zinazopaswa kuwezesha halmashauri serikali kuu imezichukua.

Halafu tunaambiwa wanapaswa kuwajibika!
Sources zipi?
 
Kwa sababu asilimia 70 ya financing ni NGOs, development partners na out of pocket. Hakuna kodi itakayotosheleza. Angalau wamepewa allocation powers, they can't fund themselves. Of they could, that would have been different.
Msiforce.

1. Kwanini haujibu hoja yangu kuhusu intention vis a vis practice ya allocation system?

2. Kwa kutumia akili ndogo sana, je hauoni kwamba suala la 'out of pockets' ni ishara kwamba wananchi huko chini are willing to pay aidha via cost sharing au innovative taxes zenye manufaa kwa afya zao?

3. The 70% figure unayojadili, is it in the context of centralization au decentralization? Dont generalize facts!

4. Je mahitaji makubwa ya afya yapo wapi zaidi kati ya 'upper tier; and 'the lower tier' ya mfumo wa Afya nchini na 'fiscal arrangement' iliyopo inazingatia hilo kwa vitendo?

5. Iwapo kipindi A, a local government authority inakuwa responsible for 80% of revenues needed for development, then kipindi B, inashuka hadi 20%, huku the deficit ikiwa covered na transfers from central government, je hii ni kwa sababu LGAs cant fund themselves? Anaye force hoja mufilisi hapa ni nani?

Sources zipi?
Tumeeleza vyema na pia kutoa mifano. Inaonekana hausomi kinachoandikwa, pengine kwa sababu haupo hapa kueleweshana, kuelimishana na kujenga, bali kuvuruga na kubomoa flow of analysis and discussion kwa hisani ya akina Nape Lumumba.
 
1. Kwanini haujibu hoja yangu kuhusu intention vis a vis practice ya allocation system?

2. Kwa kutumia akili ndogo sana, je hauoni kwamba suala la 'out of pockets' ni ishara kwamba wananchi huko chini are willing to pay aidha via cost sharing au innovative taxes zenye manufaa kwa afya zao?

3. The 70% figure unayojadili, is it in the context of centralization au decentralization? Dont generalize facts!

4. Je mahitaji makubwa ya afya yapo wapi zaidi kati ya 'upper tier; and 'the lower tier' ya mfumo wa Afya nchini na 'fiscal arrangement' iliyopo inazingatia hilo kwa vitendo?

5. Iwapo kipindi A, a local government authority inakuwa responsible for 80% of revenues needed for development, then kipindi B, inashuka hadi 20%, huku the deficit ikiwa covered na transfers from central government, je hii ni kwa sababu LGAs cant fund themselves? Anaye force hoja mufilisi hapa ni nani?


Tumeeleza vyema na pia kutoa mifano. Inaonekana hausomi kinachoandikwa, pengine kwa sababu haupo hapa kueleweshana, kuelimishana na kujenga, bali kuvuruga na kubomoa flow of analysis and discussion kwa hisani ya akina Nape Lumumba.
.Mimi nakupa facts, siyo opinions. Sehemu zote ulizoonglea ni opinions zako, ni theory ambazo zipo kwenye vitabu na articles nyingi tu. I am not interested na hivyo vitu kwa sababu sioni jipya unalozungumza. Ndiyo maana nimeyaacha. Siyo kwamba Nina haja ya ku-crticize kila kitu. No!

1. Local governments ni bora zipewe allocation powers, especially in Tanzania ambapo discrepancy ya tax bases ni kubwa baina ya maenwo within the LGAs, na within the region/country. Hii Hata wewe umekubaliana nalo. But it would have been better wangepewa taxation powers kama tungekuwa more advanced.

Kutoa taxation powers na kuja kufidia baadae (mixed) siyo mfumo unaotufaa kwa sababu muda mwingi na bureaucracy itatuumiza. Yaani mpaka wajue deficit halafu wapange grants ni muda na wataanza kukorogana. It needs some actuarial expertise to predict, we don't have that.

2. Na wewe kwa kutumia akili ndogo, kama wananchi wapo willing kutoa out of pocket kwanini wawe taxed (sasa tunazungumzia nini hapo?). Local governments wanaweza kuwa na health insurances zao, au wananchi wanunue insurance ya Taifa. 10% wanayo sasa hivi, ni bora wengi wanunue insurance hii utapunguza cost. Kuwe at least na options za spending account na PPO kuwezesha vijana na watu wenyewe afya nzuri wawe na option ya kuwa refunded wasipotumia. Taxing them more is stupid kwa sababu they can barely pay development levy

3. 70% figure ninayoijadili ni kwenye context ya vyote local and central. But more on the local with 34% out of pocket. NGOs nazo hazifund budget.
They are mainly local, so forget the idea of it being totally or at least mainly vertical.

4. Mahitaji Makubwa yapo lower level, hukuwa na haja ya kuuliza swali hili, it's weird. By local, I mean district hospitals going down and it's webbed.
Mfumo uliopo upo webbed pia, with more money and freedom zikritumika chini. Hela za serikali hapo ni 18% only.Serikali hai finance afya kivile. Jukumu kubwa limekuwa decentralized, ukitaka liwe centralized itabidi wapoteze allocation powers na wa deal na bureaucracy.

5. Kipindi A kipi? Toa mfano halisi. Tax collections are mostly flat. In case of emergency may be au kama kuna epidemic/endemic cases central government itabidi iingilie. Labda sijakuelewa.

Mwisho, angalau Mimi Nimesoma kila ulichoandika, haimaanishi kwamba nimeelewa au kukubali. What you wrote is too classical na haiendani na ukweli. But that's just my opinion na tutakesha nikianza kubishana kila kitu. Unataka niinfie kwenye deni LA Taifa, hii ya afya sioni jipya.

Ni pale unapotumia data, unapotumia facts kuelezea mawazo au fikra zako, ndipo Mara nyingi nitaibuka. Mimi wala sidhani kama watu wengi wanasoma maandishi yako (based on number of views). So kama ningekuwa kwenye kitengo cha propaganda, wewe wala siyo mtu ambaye ningekula nae. This stuff is too mediocre Hata kwa Kina Nape ku deal navyo. Hata hivyo it tells a lot. Kwa hiyo wewe endelea kuniita mtumwa wa Lumumba, if I was I will carry that badge with honor. I love CCM, but I don't work for it. Nipo kivyangu, just an amateur.
 
Kobello,

Mimi nakupa facts, siyo opinions. Sehemu zote ulizoonglea ni opinions zako, ni theory ambazo zipo kwenye vitabu na articles nyingi tu. I am not interested na hivyo vitu kwa sababu sioni jipya unalozungumza. Ndiyo maana nimeyaacha. Siyo kwamba Nina haja ya ku-crticize kila kitu. No!

Mara ni opinions, mara ni theories. Is an “opinion” synonymous to a “theory?”

Kama ‘opinions’ zangu zipo kwenye articles na vitabu vingi tu, wewe ‘facts’ zako unazitoa wapi? They are not grounded from theory and practice?

Maajabu haya.

Local governments ni bora zipewe allocation powers, especially in Tanzania ambapo discrepancy ya tax bases ni kubwa baina ya maenwo within the LGAs, na within the region/country. Hii Hata wewe umekubaliana nalo. But it would have been better wangepewa taxation powers kama tungekuwa more advanced.

Kwanini unaendelea kukwepa nilichowasilisha na kukuhoji kuhusu allocation objectives vis a vis practice, hasa jinsi gani serikali inakiuka kile ilichopitisha yenyewe?

Unaposema bora zipewe allocation powers, is that your opinion? Is this argument available in a variety of papers and books or its your ground theory?

Unapenda kukimbilia hoja nusu nusu nusu kwa sababu lengo lako hapa sio kuja kuelewa, kueleweshana na kuelimishana bali kuja kutoa vijembe na lugha za kejeli kwa nia kuvuruga na kuchafua mjadala ili kufurahisha wakubwa zako huko CCM. Suala la LGAs ambazo zina - face discrepancies in tax bases nilizijadili kwa kina pamoja na kutoa mapendekezo juu ya nini kifanyike. Zipo baadhi ambazo zina matatizo haya, na hiyo isiwe sababu for you to generalize mambo.

Unaposema kwamba ingekuwa bora kuzipa LGAs taxation powers kama tungekuwa advanced ni kujichanganya tu. Zipo LGAs zenye uwezo, nyingi tu, na iwapo fiscal autonomy ingekuwa expanded ingepelekea competition, growth, hence welfare kwa wananchi katika jurisdictions husika.

Tax compliance katika LGAs inaweza kuongezeka kama kuna fiscal devolution kwa sababu tax outcomes will be felt locally badala ya sasa ambapo hata kodi ya majengo within a LGA, serikali kuu inaitolea macho.

Hauwezi kuona ukweli tunaojadili humu na utaendelea kuuponda kwa sababu unaingia humu kwa kofia ya Ukada tena wa chama (CCM) kilichoshindwa kuletea wananchi mabadililo kwa miaka 50 ya uhuru, lakini badala kukubali kushindwa ili taifa lisonge mbele, mnapigana kufa na kupona kuaminisha watanzania kwamba kama imeshindikana chini ya CCM, basi haiwezekani nje ya CCM.

Kutoa taxation powers na kuja kufidia baadae (mixed) siyo mfumo unaotufaa kwa sababu muda mwingi na bureaucracy itatuumiza. Yaani mpaka wajue deficit halafu wapange grants ni muda na wataanza kukorogana. It needs some actuarial expertise to predict, we don't have that.

Unahangaika sana. Nimekueleza kwamba zipo LGAs ambazo zilikuwa zina uwezo to meet their financial needs by up to 80%, na kama tungekuwa serious with devolution, zingeweza hata kufikia 100% kukidhi mahitaji yao. Lakini badala yake serikali imekuwa ikiendeleza mkakati wake wa kuzibana kwa kuzipora vyanzo vya mapato ili ziwe tegemezi kupitia central government transfers/grants. Nikuulize:

Halmashauri kama vile Ilala, Kinondoni, Moshi, n.k, kwa akili isiyo na kilevi na macho makavu unataka kutuaminisha mchana kweupe kwamba hizi bila kusaidiwa na central government kwa zaidi ya 70% hazitaweza kujihudumia? Seriously?

Hivi kweli unaelewa maana ya Bureaucracy?

Tukizipa LGAs taxation/revenues powers:

-Itazisaidia ziweze kuja na mipango na mikakati kwa ajili ya maendeleo yao wenyewe kwa jinsi wanavyoona inafaa. Hilo hamtaki, na unaendelea kujadili viroja vya allocation powers wakati hata hizo mmezivuruga. Whats been practiced isn’t what was envisaged by the same government/ccm. Nilijadili hili huko juu.

-With taxation powers, itakuwa ni rahisi kwa halmashauri zetu kutambua (identify) fursa zilizopo katika mazingira yao.

-Itazipatia LGAs uwezo to utilize rasilimali nyingi tu ambazo leo hii zinawazunguka lakini faida yake inachumwa na Dar-es-salaam kama sio Dodoma.

-Itasaidia LGAs to identify ‘competitive advantage on which development can be based. Suala hili litapelekea maendeleo kuwa ‘locally driven’ badala ya kuwa driven and determined by external agents (hasa bureaucrats waliopo Dar-es-salaam na Dodoma) ambao from experience ya kipindi chote cha uhuru, mara nyingi huwa more pre-occupied na vipaumbele vingi na pia wasio na uelewa wa kutosha kuhusu potential local development katika halmashauri zetu mbalimbali.

Hapa pia nikuulize:

Hivi Waziri wa Tamisemi (JPM – kwani maana ya waziri wa nchi, waziri ni Rais) anawezaje kuamua kufuta sherehe za uhuru na kuelekeza bajeti husika kwenda Mwanza? Mwanza na uhuru kuna uhusiano gani?

-Kuzipatia LGAs taxation powers kutafanikisha mipango mingi ya maendeleo ambayo ni shirikishi (participatory development projects) kwa sababu LGAs zitakuwa na resource and motivation zaidi ambapo mipango ya maendeleo itahusisha wadau mbalimbali kuja na ‘collective vision’ kwa ajili ya maendeleo yao wenyewe - ‘local development’. Vile vile kutawapatia fursa wadau husika kuja na makubaliano juu ya ‘common goals’ pamoja na mikakati ya kufanikisha malengo husika. Tafiti nyingi zinzendelea kuonyesha kwamba ‘participation of local communities’ katika mikakati ya maendeleo husaidia sana kupunguza kasi ya umaskini.

Na wewe kwa kutumia akili ndogo, kama wananchi wapo willing kutoa out of pocket kwanini wawe taxed (sasa tunazungumzia nini hapo?). Local governments wanaweza kuwa na health insurances zao, au wananchi wanunue insurance ya Taifa. 10% wanayo sasa hivi, ni bora wengi wanunue insurance hii utapunguza cost. Kuwe at least na options za spending account na PPO kuwezesha vijana na watu wenyewe afya nzuri wawe na option ya kuwa refunded wasipotumia. Taxing them more is stupid kwa sababu they can barely pay development levy.

What a contradiction. On the other hand, wanaweza afford kununua insurance, but on the other hand hawatakuwa na uwezo wa kulipa kodi kwa ajili ya kufanikisha kile kile. Mbabaishaji ni mbabaishaji tu.

70% figure ninayoijadili ni kwenye context ya vyote local and central. But more on the local with 34% out of pocket. NGOs nazo hazifund budget.
They are mainly local, so forget the idea of it being totally or at least mainly vertical.

Haujajibu swali, ulichowasilisha ni vurugu tu mostly kwa makusudi to derail the issue at hand. Tafadhali rudi na jibu la moja kwa moja.

Mahitaji Makubwa yapo lower level, hukuwa na haja ya kuuliza swali hili, it's weird. By local, I mean district hospitals going down and it's webbed.

Upeo wako unatuonyesha kwamba hata mambo mengine ya msingi umetumwa kuja kuyapinga. Katika hili, kwanini awali ulikuwa unakataa hoja za Nguruvi3?

Mfumo uliopo upo webbed pia, with more money and freedom zikritumika chini.

Kwahiyo unataka kutuambia kwamba matumizi makubwa ya fedha za serikali kibajeti yapo ngazi za chini za mfumo wa afya kuliko ngazi za juu?

‘Freedom’ hapa una maanisha kitu gani?

Hela za serikali hapo ni 18% only. Serikali hai finance afya kivile. Jukumu kubwa limekuwa decentralized, ukitaka liwe centralized itabidi wapoteze allocation powers na wa deal na bureaucracy.

Usijaribu kuvuruga hoja kwa takwimu. Whether its 18%, 5%, 0.001%, hiyo ndio tunayoijadili kwa maana ya budget allocation ya serikali katika sekta ya Afya.

Pia awali nilijadili hoja kwamba LGAs zina jukumu la kukusanya not more than 10% ya mapato ya serikali lakini zina jukumu la kuchangia matumizi ya serikali kwa zaidi ya 20%, umekimbia huo mjadala.

Pia suala la allocation unaendelea kukataa ukweli baina ya kilicho dhamiriwa wakati wa utambulishaji wa allocation system vis a vis kinachotekelezwa sasa. Nilieleza jinsi gani Serikali kuu imeacha kufuata allocation system iliyoibun na ambayo iliamini kwa dhati kwamba italeta tija. Since then, kinachoendelea ni natifua tifua tu kupitia ofisi ya rais.

Usisahau kwamba grants nyingi zinazoenda ngazi za chini zinakuwa attached na conditionality na serikali kuu, on how to spend the funds. Kwahiyo unapoendelea kung’ang’ania kwamba allocation powers zipo huko chini ni kuendelea kung’ang’ania hoja mufilisi.

Kipindi A kipi? Toa mfano halisi. Tax collections are mostly flat. In case of emergency may be au kama kuna epidemic/endemic cases central government itabidi iingilie. Labda sijakuelewa.

Usijifanye hauelewi swali langu.

Nilikuuliza swali husika baada ya hoja yako mufilisi ambapo ulisema hivi:

Angalau wamepewa allocation powers, they can't fund themselves. Of they could, that would have been different.

Msiforce.

Nirudie tena, zipo LGAs ambazo zilikuwa na uwezo wa kukusanya karibia 80% ya mapato yanayohitajika kufanikisha matumizi kwa ajili ya maendeleo. Lakini baadae, uwezo husika ukaporwa na central government kwa nia ya kuzigeuza kuwa tegemezi kwa serikali kuu. Ninarudia tena swali langu, je:

· Hii deficit ya sasa katika LGAs husika inatokana na hizo LGAs kushindwa to fund themselves???

Mwisho, angalau Mimi Nimesoma kila ulichoandika, haimaanishi kwamba nimeelewa au kukubali. What you wrote is too classical na haiendani na ukweli. But that's just my opinion na tutakesha nikianza kubishana kila kitu.

Umemalizia vizuri kwamba its just your opinion. Vinginevyo ukweli wa hoja zako hauonekani, na haujawahi kuonekana zaidi ya ukweli kwamba katika kila mjadala, ujira wako ni kuitetea CCM on Jamiiforums.

Unataka niingie kwenye deni LA Taifa, hii ya afya sioni jipya.

Kwenye deni la taifa umefinyanga finyanga umeshindwa, ukakimbia. Haujanirudia na hoja mbadala nyingi tu katika suala hilo.

Kuhusu Afya, hauwezi kuona jipya kwa sababa as I indicated earlier, mtazamo wenu CCM ni finyu sana na uliojaa ujuaji mwingi. Kwa vile mmeshindwa kwa miaka 50 kuinua maisha ya watanzania, basi upande mwingine wa hoja ‘hauna jipya’.

Ni pale unapotumia data, unapotumia facts kuelezea mawazo au fikra zako, ndipo Mara nyingi nitaibuka. Mimi wala sidhani kama watu wengi wanasoma maandishi yako (based on number of views). So kama ningekuwa kwenye kitengo cha propaganda, wewe wala siyo mtu ambaye ningekula nae.

Mimi sipo humu kutafuta thousand of views. Kama it was all about seeking a quantitative discussion (and not qualitative), ningeweka bandiko kwenye ‘jukwaa la siasa’, and you and I know kwamba kwa kufanya hivyo, uzi huu ungekuwa umeenda mileage kubwa but ‘to nowhere’.

Ukweli ni kwamba you only emerge pale interest zenu zinapoguswa, that’s when they unleash you. Nje ya hapo, you are a disappearing act.

Hoja zetu ni Mwiba mkali, vinginevyo usingepoteza muda wako kuja humu.

This stuff is too mediocre Hata kwa Kina Nape ku deal navyo. Hata hivyo it tells a lot. Kwa hiyo wewe endelea kuniita mtumwa wa Lumumba, if I was I will carry that badge with honor.

Kila wakati nikipandisha uzi, wakubwa wako wananipigia simu, wengine ambao wapo kimsukule kama wewe humu wananitafuta inbox na kwenye email.

I love CCM, but I don't work for it. Nipo kivyangu, just an amateur.

Yea right!
 
Kobello,



Mara ni opinions, mara ni theories. Is an “opinion” synonymous to a “theory?”

Kama ‘opinions’ zangu zipo kwenye articles na vitabu vingi tu, wewe ‘facts’ zako unazitoa wapi? They are not grounded from theory and practice?

Maajabu haya.



Kwanini unaendelea kukwepa nilichowasilisha na kukuhoji kuhusu allocation objectives vis a vis practice, hasa jinsi gani serikali inakiuka kile ilichopitisha yenyewe?

Unaposema bora zipewe allocation powers, is that your opinion? Is this argument available in a variety of papers and books or its your ground theory?

Unapenda kukimbilia hoja nusu nusu nusu kwa sababu lengo lako hapa sio kuja kuelewa, kueleweshana na kuelimishana bali kuja kutoa vijembe na lugha za kejeli kwa nia kuvuruga na kuchafua mjadala ili kufurahisha wakubwa zako huko CCM. Suala la LGAs ambazo zina - face discrepancies in tax bases nilizijadili kwa kina pamoja na kutoa mapendekezo juu ya nini kifanyike. Zipo baadhi ambazo zina matatizo haya, na hiyo isiwe sababu for you to generalize mambo.

Unaposema kwamba ingekuwa bora kuzipa LGAs taxation powers kama tungekuwa advanced ni kujichanganya tu. Zipo LGAs zenye uwezo, nyingi tu, na iwapo fiscal autonomy ingekuwa expanded ingepelekea competition, growth, hence welfare kwa wananchi katika jurisdictions husika.

Tax compliance katika LGAs inaweza kuongezeka kama kuna fiscal devolution kwa sababu tax outcomes will be felt locally badala ya sasa ambapo hata kodi ya majengo within a LGA, serikali kuu inaitolea macho.

Hauwezi kuona ukweli tunaojadili humu na utaendelea kuuponda kwa sababu unaingia humu kwa kofia ya Ukada tena wa chama (CCM) kilichoshindwa kuletea wananchi mabadililo kwa miaka 50 ya uhuru, lakini badala kukubali kushindwa ili taifa lisonge mbele, mnapigana kufa na kupona kuaminisha watanzania kwamba kama imeshindikana chini ya CCM, basi haiwezekani nje ya CCM.



Unahangaika sana. Nimekueleza kwamba zipo LGAs ambazo zilikuwa zina uwezo to meet their financial needs by up to 80%, na kama tungekuwa serious with devolution, zingeweza hata kufikia 100% kukidhi mahitaji yao. Lakini badala yake serikali imekuwa ikiendeleza mkakati wake wa kuzibana kwa kuzipora vyanzo vya mapato ili ziwe tegemezi kupitia central government transfers/grants. Nikuulize:

Halmashauri kama vile Ilala, Kinondoni, Moshi, n.k, kwa akili isiyo na kilevi na macho makavu unataka kutuaminisha mchana kweupe kwamba hizi bila kusaidiwa na central government kwa zaidi ya 70% hazitaweza kujihudumia? Seriously?

Hivi kweli unaelewa maana ya Bureaucracy?

Tukizipa LGAs taxation/revenues powers:

-Itazisaidia ziweze kuja na mipango na mikakati kwa ajili ya maendeleo yao wenyewe kwa jinsi wanavyoona inafaa. Hilo hamtaki, na unaendelea kujadili viroja vya allocation powers wakati hata hizo mmezivuruga. Whats been practiced isn’t what was envisaged by the same government/ccm. Nilijadili hili huko juu.

-With taxation powers, itakuwa ni rahisi kwa halmashauri zetu kutambua (identify) fursa zilizopo katika mazingira yao.

-Itazipatia LGAs uwezo to utilize rasilimali nyingi tu ambazo leo hii zinawazunguka lakini faida yake inachumwa na Dar-es-salaam kama sio Dodoma.

-Itasaidia LGAs to identify ‘competitive advantage on which development can be based. Suala hili litapelekea maendeleo kuwa ‘locally driven’ badala ya kuwa driven and determined by external agents (hasa bureaucrats waliopo Dar-es-salaam na Dodoma) ambao from experience ya kipindi chote cha uhuru, mara nyingi huwa more pre-occupied na vipaumbele vingi na pia wasio na uelewa wa kutosha kuhusu potential local development katika halmashauri zetu mbalimbali.

Hapa pia nikuulize:

Hivi Waziri wa Tamisemi (JPM – kwani maana ya waziri wa nchi, waziri ni Rais) anawezaje kuamua kufuta sherehe za uhuru na kuelekeza bajeti husika kwenda Mwanza? Mwanza na uhuru kuna uhusiano gani?

-Kuzipatia LGAs taxation powers kutafanikisha mipango mingi ya maendeleo ambayo ni shirikishi (participatory development projects) kwa sababu LGAs zitakuwa na resource and motivation zaidi ambapo mipango ya maendeleo itahusisha wadau mbalimbali kuja na ‘collective vision’ kwa ajili ya maendeleo yao wenyewe - ‘local development’. Vile vile kutawapatia fursa wadau husika kuja na makubaliano juu ya ‘common goals’ pamoja na mikakati ya kufanikisha malengo husika. Tafiti nyingi zinzendelea kuonyesha kwamba ‘participation of local communities’ katika mikakati ya maendeleo husaidia sana kupunguza kasi ya umaskini.



What a contradiction. On the other hand, wanaweza afford kununua insurance, but on the other hand hawatakuwa na uwezo wa kulipa kodi kwa ajili ya kufanikisha kile kile. Mbabaishaji ni mbabaishaji tu.



Haujajibu swali, ulichowasilisha ni vurugu tu mostly kwa makusudi to derail the issue at hand. Tafadhali rudi na jibu la moja kwa moja.



Upeo wako unatuonyesha kwamba hata mambo mengine ya msingi umetumwa kuja kuyapinga. Katika hili, kwanini awali ulikuwa unakataa hoja za Nguruvi3?



Kwahiyo unataka kutuambia kwamba matumizi makubwa ya fedha za serikali kibajeti yapo ngazi za chini za mfumo wa afya kuliko ngazi za juu?

‘Freedom’ hapa una maanisha kitu gani?



Usijaribu kuvuruga hoja kwa takwimu. Whether its 18%, 5%, 0.001%, hiyo ndio tunayoijadili kwa maana ya budget allocation ya serikali katika sekta ya Afya.

Pia awali nilijadili hoja kwamba LGAs zina jukumu la kukusanya not more than 10% ya mapato ya serikali lakini zina jukumu la kuchangia matumizi ya serikali kwa zaidi ya 20%, umekimbia huo mjadala.

Pia suala la allocation unaendelea kukataa ukweli baina ya kilicho dhamiriwa wakati wa utambulishaji wa allocation system vis a vis kinachotekelezwa sasa. Nilieleza jinsi gani Serikali kuu imeacha kufuata allocation system iliyoibun na ambayo iliamini kwa dhati kwamba italeta tija. Since then, kinachoendelea ni natifua tifua tu kupitia ofisi ya rais.

Usisahau kwamba grants nyingi zinazoenda ngazi za chini zinakuwa attached na conditionality na serikali kuu, on how to spend the funds. Kwahiyo unapoendelea kung’ang’ania kwamba allocation powers zipo huko chini ni kuendelea kung’ang’ania hoja mufilisi.



Usijifanye hauelewi swali langu.

Nilikuuliza swali husika baada ya hoja yako mufilisi ambapo ulisema hivi:



Nirudie tena, zipo LGAs ambazo zilikuwa na uwezo wa kukusanya karibia 80% ya mapato yanayohitajika kufanikisha matumizi kwa ajili ya maendeleo. Lakini baadae, uwezo husika ukaporwa na central government kwa nia ya kuzigeuza kuwa tegemezi kwa serikali kuu. Ninarudia tena swali langu, je:

· Hii deficit ya sasa katika LGAs husika inatokana na hizo LGAs kushindwa to fund themselves???



Umemalizia vizuri kwamba its just your opinion. Vinginevyo ukweli wa hoja zako hauonekani, na haujawahi kuonekana zaidi ya ukweli kwamba katika kila mjadala, ujira wako ni kuitetea CCM on Jamiiforums.



Kwenye deni la taifa umefinyanga finyanga umeshindwa, ukakimbia. Haujanirudia na hoja mbadala nyingi tu katika suala hilo.

Kuhusu Afya, hauwezi kuona jipya kwa sababa as I indicated earlier, mtazamo wenu CCM ni finyu sana na uliojaa ujuaji mwingi. Kwa vile mmeshindwa kwa miaka 50 kuinua maisha ya watanzania, basi upande mwingine wa hoja ‘hauna jipya’.



Mimi sipo humu kutafuta thousand of views. Kama it was all about seeking a quantitative discussion (and not qualitative), ningeweka bandiko kwenye ‘jukwaa la siasa’, and you and I know kwamba kwa kufanya hivyo, uzi huu ungekuwa umeenda mileage kubwa but ‘to nowhere’.

Ukweli ni kwamba you only emerge pale interest zenu zinapoguswa, that’s when they unleash you. Nje ya hapo, you are a disappearing act.

Hoja zetu ni Mwiba mkali, vinginevyo usingepoteza muda wako kuja humu.



Kila wakati nikipandisha uzi, wakubwa wako wananipigia simu, wengine ambao wapo kimsukule kama wewe humu wananitafuta inbox na kwenye email.



Yea right!
Kwanza, usikurupuke kujibu kama huelewi jambo. Umeandika utumbo mwingi, hizo ni opinions zako na Mimi sina haja ya kubishana na opinions zako. Ni theories ambazo zipo na siyo Mara ya kwanza kuzisikia. Usibadilishe maana.Ni opinions zako based on theories, that's why huwa unaandika notes halafu unachambua ... That's you and that's OK.
Ila, pia unaweka au museum figures na hizo figures ni lazima ziwe challenged zinapokuwa za uongo au zinapotafsiriwa kipropaganda.

Nitakujibu generally.

Inaonekana labda unamaanisha kama Ilala inajikimu 100% basi ipewe Uhuru wa kukusanya kodi na halmashauri kama ya Ngara isaidiwe. Kwa hiyo unachosema ni kuwa baadhi zipewe mamlaka na zinginezisaidiwe?

Angalia data za TRA uone jinsi Dar es salaam inavyobeba nchi kwenye mapato. How can you suggest halmashauri zipewe mamlaka ya kukusanya local taxes by 100%?

Halafu unaniuliza maswali ya kijinga eti do you know what is bureaucracy? That's cheap bruh.

Mjadala mzima wa sekta ya afya umehamia kwenye LGAs, huoni jinsi nilivyoshift mjadala to the reality? Yaani haikuzungumzia role ya halmashauri kwenye primary care na unataka watu wakuache?
All you talked about ni Maghufuli this, CCM that, serikali this. Afya is very decentralized, at least you are leaning that way now.

Mtu anayekutafuta wewe mnamuonea huruma.

Achana na hii nataka twende kwenye deni LA Taifa. Nipe a cpl of hours.
 
4.2.2.1 Deni la Ndani:

Deni hili husimamiwa na Benki Kuu ya nchi (BOT), na kuendeshwa kwa sarafu ya ndani tu (local curreny only). Ni deni la muda mfupi (mara nyingi kati ya siku 35 na miaka 15 kutegemeana na aina za debt instrunments – tutaona baadae kwa undani), huiva kipindi kifupi, na riba zake huwa ni za juu. Kwa vile Deni la ndani huiva ndani ya muda mfupi/malipo yake huitajika kufanywa ndani ya kipindi kifupi, iwapo inatokea deni hili kuana kuelemea uchumi wa nchi, mara nyingi waathirika ni walipa kodi wa kikazi kilichopo.

Deni la ndani linahusisha amana za serikali (government securities) zinazouzwa kwenye soko la ndani la deni la taifa (Domestic Debt Market) kupitia minada maalum inayoratibiwa na Benki Kuu (BOT).

Kwa maana hii:

Deni la ndani ni fedha tunazodaiana wenyewe ndani ya taifa (tuajadili kwa undani punde). Malipo yake amana zinapoiva ni lazima yabaki katika zunguko wa ndani ya uchumi wa nchi kwa manufaa ya nchi na wananchi/walipa kodi.

Deni la ndani linapaswa kushirikishwa jamii kwa wigo mkubwa iwezekanavyo kwa maana ya ushiriki wa wananchi katika soko la ndani la deni (Domestic Debt Market). Kwa sasa, ushiriki wa umma katika soko hili ni mdogo sana. Soko limehodhiwa na benki za kibiashara.

Hii ni definition iliyo kinadharia mno.

Undani wa deni hautokani na sisi kudaiana ndani ya taifa kwa sababu hii huwa inaleta dhana potofu hasa kwa miaka hii. Kwa zamani sawa, ila siku hizi deni la ndani hutafsiriwa kwa kutumia "Jurisdiction" ambayo deni hilo limepatikana na sharia zinazo-cover deni hilo.

Kwa mfano kuna government bonds ambazo watu sio watanzania wanazihodhi na pia hizo bills zipo zinazohodhiwa na mabenki ya biashara yenye wawekezaji kutoka nchi mbalimbali. mfano NMB, KCB, etc...
Matter of fact, kuna cartels zina control treasury bills za Tanzania na nyingi sana zipo mikononi mwa foreign commercial banks.
Kwa hiyo, definition yako inaweza kutumika kuelezea mambo kinadharia. Lakini practically inaweza kuwa very misleading. Deni la ndani la Tanzania linahodhiwa kwa kiwango kikubwa na raia wa nje.

Tuanze na hili kwanza ili tufuate mtiririko, tusianze kuleta mambo mengi lets start with this na nitaenda slowly kufuatana na mtiririko wako.
 
4.5
Tukichukulia sura ya bajeti ya mwaka ujao wa fedha kama mfano (2016/17), Serikali inatarajia kukopa TZS Trilioni 5.4 kutoka katika soko la ndani. Tukichukuliwa pato la taifa kwa sasa (GDP) kufikia karibia TZS Bilioni 100, mkopo wa ndani kufikia kiwango cha TZS trilioni 5.4 maana yake Net Domestic Finance ni takribani 5%, kiwango ambacho ni kama mara tano zaidi ya kiwango kinachotakiwa (sio zaidi ya 1%) kwa mapendekezo ya IMF. Kiwango cha 1% kinawekwa kwa kusudio la kuzuia ‘crowd out effect’ ya private/SME sector katika kupata mikopo ya kibenki. Lakini kwa kiwango hiki cha 5%, itakuwa ni vigumu kwa serikali kushirikisha sekta binafsi nchini katika mkakati wake wa uchumi wa viwanda kwa sababu sehemu kubwa ya ‘domestic credit’itakuwa inatolewa na mabenki ya biashara kwa serikali kuliko domestic SME sector/private sector. .
Net domestic financing huwa haichanganuliwi hivyo.

1. Ni cumulative change (mostly qurtely), kwa hiyo ni exponential function to the power of 1/t.

2. Hujahusisha government deposits (pamoja na forex denominated deposits na PRBS) account receivables from GOT to BOT, government deposits held with other corporations ( ingawa hii imerudishwa BOT), hujaondoa recapitalization ya CRDB,TIB na mortages za Mkonge etc...

Hapo kwa kweli umetumia a very gross number kuelezea NDF/GDP ratio, sikubaliani na wewe...

Twende taratibu naona hujibu hoja.
 
Net domestic financing huwa haichanganuliwi hivyo.

1. Ni cumulative change (mostly qurtely), kwa hiyo ni exponential function to the power of 1/t.

2. Hujahusisha government deposits (pamoja na forex denominated deposits na PRBS) account receivables from GOT to BOT, government deposits held with other corporations ( ingawa hii imerudishwa BOT), hujaondoa recapitalization ya CRDB,TIB na mortages za Mkonge etc...

Hapo kwa kweli umetumia a very gross number kuelezea NDF/GDP ratio, sikubaliani na wewe...

Twende taratibu naona hujibu hoja.

Nimekaa kimya nikisubiri wengine wenye hoja. Sioni sababu ya kujibu hoja ambazo unatengeneza wewe kwa maneno yako ili kukidhi haja zako wewe. Unachofanya ni utoto. Sijui hata privileges za GT umezipataje. Kwanini unawasilisha TAFSIRI yako badala ya kuwasilisha nilichoandika? Weka maandishi yangu neno kwa neno kisha ambatanisha na counter arguments zako. Kwa namna hiyo, kila mtu ataweza kufuatilia mjadala vizuri. Usilete maelezo kwa jinsi unavyotaka kuyawasilisha wewe kwa lengo la kupotosha watu na kutafuta credit kwa wanaokutuma.
 
Back
Top Bottom