Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,299
- 3,055
Hehhhhhhhhhhehe ... mahindi sasa kilo 600/=, naona mavuno yamechelewa kidogo, ila ndiyo hivyo. I was just a couple of months late na tusubiri bei ya unga ianze kupungua. Utaelewa tu!
Labda wewe Kobello unataka tu kukoleza stori ili genge lisipoe!
Sasa ikiwa kati ya miezi 12 ya mwaka, miezi 2-3 bei inakuwa around shs 600 lakini miezi 9-10 iliyobaki bei inakuwa zaidi ya shs 800 na wewe unaona ni sawa, basi mimi sina la kusema zaidi ya kuwa nimetambua maslahi yako ni ya kiitikadi tu na wala sio wananchi na Taifa kwa ujumla.