Magorofa kariakoo ya wasomali


hahahaha! nimecheka! sana! mkuuwewe utakuwa wakuja .... mijitu ya bara bana full ushamba! ... sasa kahawa imekuwa tatizo kwako! na imekuwa kunywa kahawa ni ushamba! hivi ushawahi kupiga hii kitu ..?








tembea mkuu utoe ushamba ulimwengu wa kahawa ni mwengine kabisa! utachekwa!
 
Wahindi si wauwaji wala katili kama wasomali. siyo siri, nchi chache sana zinawakaribisha na kuwakubali

hao WAHINDI unao wafagiria wapo sana EastAfrica na South sababu tume lala lakini haoto mkuta Mdosi NIGERIA..EGYPTY.. sababu wao wanajituma sisi 2 melala sana wacha waje wajenge
 
Kampuni iliingia nchini kwa mbwembwe kwamba ina mtaji wa $624million sasa mradi umeota mawe...Si ajabu kuna watu walilizwa na wasomali wale na kisha kuingia mitini na mapesa chungu nzima.

 

Na mie niongeze mitaa mingine maarufu yenye watu wengii, MAfya, Twiga, Muhoro, Likoma, Ndanda kote nenda utakuta either wamasai au wasambaa wamejaa tele au wakinga na wachaga na vipodozi vyao! hao wasomali wametoka wapi?
 
Sioni tatizo lipo wapi kwani dunia ya leo sio ya zamani.Kila nchi lazima utaona wageni hata ukienda uingereza mbona wahindi,wasomali,wanigeria,waarabu,wagana,wasouth africa....nk yaani ni wengi huwezi kuwataja wote.Na wengi wao wamenunua nyumba bila ya wasiwasi na sheria zina walinda ilimradi wasivunje sheria.Sasa kama wmekuja na pesa za biashara basi ndio maendeleo yenyewe na kama na wewe mzalendo unazo ndio nzuri zaidi kuwa muwekezaji wa ndani hakuna mtu atakuzuia na kama huna basi kaa kimya jaribu kutafuta jinsi ya kujitoa umasikini lakini itabidi uache choyo au hiyana pamoja na ubaguzi usio na tija.
 

we ****** umeona wasomali tu fara we,huna lolote wivu umekujaa nenda kawaombe msaada sio kuwachafua...nyooo
 
Hawa jamaa wanalink na maharamia wa kisomali, ndiyo maana tokea maharamia waanze kukamatwa na kuuwawa miradi mingi ya ujenzi imekwama, Na siyo kariakoo tu hata na Arusha.
 
Stroy za umbeya, majungu na udaku bora ukampe Shigongo sio humu,Yani ilipwe dola 800 lakin akija Mswahili dola 2000???!! Why? Acha uvivu piga kazi Mzee usiwe mvivu wa kutafuta. Kuna Wakinga kibao wana maghorofa saiv KKO je nao utasemaje?
 

:target:mada yako imetulia ila wachangiaji wengi humu JF nadhani ama hawajagungua mantiki iliyo ktk mada yako au hawaelewi security interest kwa taifa letu katika mada yako. ni kweli kwamba wasomali wanawekeza sana fedha zao katika eneo la kariakoo hapa Dsm. serikali nadhani haifutilii mapesa ya wasomali yanatoka wapi. kuna tetesi kwamba ni mapesa ya Al-shabab waliyokuwa wakiyapata kutokana na kuchukua ransom baada ya kuteka meli za nje zilizokuwa zikikatisha baharini Somalia! hawa watu sio wa kuwaamini sana. pia wako so selfish na wanyanyasaji wa wenyeji!
 
"Wivu kitu kibaya sana"


Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
 

Nashukuru na nimefurahi sana kutambua kuwa bado katika JF kuna great thinkers kama wewe.
Nilipigwa vijembe sana nilpotoa mada hii. Lakini tukubali tusikubali hawa wasomali kariakoo wana HIDDEN AGENDA. Wnataka kufanya kama Kenya kwani sasa estates nyingi ama majengo meng Nairobi yanamilikiwa na wasomali, wazawa wamenunuliwa na baada ya miaka si mingi watafukuzwa na wamiliki watakuwa wao. hapo ndipo tutakapokiona cha mtema kuni, KWANI MSOMALI NI KATILI, JANGILI, FEDHULI, BARADHURI, MIUAJI wasio na conscience lakini kama ulivyosema, serikali bado inawakumbatia hata kuwapa NCHI waiendeshe KIULAINI kabisa. Trust me, Kinana ni msumari wa moto wa mwisho, just wait and see yatakayotokea.
 

Ni kweli, k/koo si mjini, ni sokoni, tena soko chafu
 
:target:yap kamanda! nimegundua watu wengi humu JF hawasomi mada na kuzichambua kwa makini kabla ya kutoa comments zao! kama hii si kweli basi ukweli utakuwa wana-JF wengi wanashindwa kutofautisha JF na mitandao mingine ya kijamii. JF ni makini na inatakiwa iwe treated hivyo.
 
Tusijadili haya mambo uku emotions zikiwa zmetujaa,tunapaswa reality kututawala,nataka kutoa ufafanuz kdogo kwa kile nachofikiri mimi,kwanza mtu anaweza kuwa mtanzania wa kuzaliwa,kuomba uraia,au kwa kua adapted,hivo wapo watanzania wenye asili ya kisomali,sasa mtoa mada anachohoji kivip watawale maeneo nyeti kibiashara na kihistoria pia,na ana haki ya kujua pia,jibu ni kuwa kutokana na nchi yao kujulikana unstable politicly worldwide imekuwa rahic kwa wasomal kuseek asylum abroad na wanakubaliwa kuish,kufanya kazi chin ya sheria za ukimbiz,pia wapo waliozamia abroad.sasa hao wana earn hard currencies abroad like £,€,$ and possibly ¥,sasa hicho wanachopata weng wao wanakituma kwa ndugu zao bongo o kenya n.k ili wanunue majumba n.k,coz wana-afford bei za majumba hayo kwasabab ukibadilisha hizo hard currencies kwenda madafu unakuwa juu,so lazma matajaa tu maeneo hayo,na hawafanyi makosa coz maisha magum,vita somalia vmewafundisha maisha,chakufanya watanzania ni kuwekeza zaid ktk elimu kwetu na kwa kizaz chetu itatusaidia sana.
 
Stroy za umbeya, majungu na udaku bora ukampe Shigongo sio humu,Yani ilipwe dola 800 lakin akija Mswahili dola 2000???!! Why? Acha uvivu piga kazi Mzee usiwe mvivu wa kutafuta. Kuna Wakinga kibao wana maghorofa saiv KKO je nao utasemaje?
Tatizo ni vyanzo vya mapato vya hawa jamaa ndiyo tatizo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…