Magomeni: Wadada wapigana kisa upatu

Magomeni: Wadada wapigana kisa upatu

Ila dar kuna watoto wengi wana miguu ya bia kiuno cha nyigu. Sijui huwa wanaumbwa saa ngapi hawa viumbe.
 
Wanaendaje kupigana na suluari wangavaa kanga bila pichu ili ngumi ziingie vizuri
 
Huyo bonge Tshirt nyeupe mbona hawaamulii wenzake wanagaragazana yeye yupo tu kasimama kijingajinga!
 
Huyo bonge Tshirt nyeupe mbona hawaamulii wenzake wanagaragazana yeye yupo tu kasimama kijingajinga!


Inawezekama anatokea pale Magomeni usalama (chapa ya Jogoo) na huyo mwenye kisuruali anatokea Kinondoni, na kuna mwingine hapo Buguruni, wewe tafiti huyo wa kulia kwa bonge anatokea mtaa gani
 
Inawezekama anatokea pale Magomeni usalama (chapa ya Jogoo) na huyo mwenye kisuruali anatokea Kinondoni, na kuna mwingine hapo Buguruni, wewe tafiti huyo wa kulia kwa bonge anatokea mtaa gani
Huyu kati ya Tandale au M/nyamala.
 
Next time nipigie simu hii elfu ishirini nayotaka kuiteketeza leo jion kwene bia mitaa yangu ya kujidai ningemsaidia tu asipigane ngumi, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
#MAGOMENI: WADADA WAPIGANA KISA UPATU

lengo la michezo ya upatu ni kuongeza kipato au kukuza biashara ya muhusika lakini mmoja wa wanachama anapotaka kuleta ujanja ujanja na kukwamisha malengo ya wengine kinachofatia huwa ni kipigo.

Tukio Hili Limetokea maeneo ya Magomeni ambapo Dada Mmoja inasemekana Hakutoa pesa ya upatu ya mwenzie ndipo ugomvi huo ulizuka na kuzua taflani katika wakazi wa maeneo hayo.
View attachment 1171500
Nadhani nyuma ya pazia kuna ziada
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom