Magomeni: Basi lingine la UDART lagongwa

Magomeni: Basi lingine la UDART lagongwa

Wapumbavu ni nyinyi mnaleta uzembe wa wazi mnaita changamoto. Mngekuwa na akili mngevunja sheria hovyo hovyo, ni upumbavu unawasumbua ila mtanyooka tu.
Naona una uchungu sana na nchi ndugu.
Ila huu sio ugomvi.
 
Kiongozi, kama ni mtumiaji wa facebook jaribu kufatilia page ya 'dereva makini', kuna clips pale zinaonyesha jinsi ya kunavigate pale.
Ngoja na mimi nikaangalie kama wametoa maelekezo ya unapotokea kariakoo unataka kukunja kulia kuja posta (pale fire)
 
Watanzania ni wagumu sana kuelewa na kubadilika, sijui tukoje
Ni ulimbukeni tu,huyo dereva wa gari dogo akiulizwa ulikuwa unatafuta nini kwenye barabara ya mwendokasi
atakujibu oh sijui nilikuwa nawai na gari langu ni zuri sana kuliko ya wengine alafu si unajua kuwa mimi ni
mtu fulani mkubwa........
Au pengine ni jamaa fulani hivi bitozi linalojifanya ni litoto la mjini......
 
Ni ulimbukeni tu,huyo dereva wa gari dogo akiulizwa ulikuwa unatafuta nini kwenye barabara ya mwendokasi
atakujibu oh sijui nilikuwa nawai na gari langu ni zuri sana kuliko ya wengine alafu si unajua kuwa mimi ni
mtu fulani mkubwa........
Au pengine ni jamaa fulani hivi bitozi linalojifanya ni litoto la mjini......
Hayoo mawazo yako hayoo tuu. Huwezi jua nn kimemsibu, hakuna mtu anaeweza kujitakia hasara au kifo. Ajli imetokea, imetokea tuu. Kama uliskia jana wale boda boda walivyokuwa wanalalamika kuhusu dereva wa bhasi la mwendo kasi alifanya makusudi kumgonga yule mtoto kwa maana alikuwa na uwezo wa kusimama. Usingesema hayo.
Japo ni kama treni lakini pia isiwe sababu ya wao kuzuia ajili kama inawezekana.
 
mimi nadhani kuna changamoto kubwa sana kuhusu miundo mbinu na barabara ilivyotengenezwa....ukitokea kigogo kama unaenda kinondoni hakuna njia inayokuruhusu kwenda maeneo ya fire...sasa unapaswa kwenda kugeuza mbele ya magomeni hospitali au kuna eneo maeneo ya magomeni
si tatizo la madereva ila pia hakuna darasa lililotolewa kwa madereva maana miundo mbinu yetu mibovu hakuna njia mbadala ya kupita ukiwa mataa magomeni unataka kwenda maeneo ya muhimbili
Ni kweli mkuu kuna siku nilikuwa naenda kariako nimetoka kigogo kupitia kawawa kufika mataa ya magomeni nikamuona trafiki ikabidi ninyooshe kufika mbele maskini ya mungu sijui nitaingiaje mitaani ili nitokee mapipa kisha niendele kuitafuta fire, njia rahisi nika ingia kushoto kwenye zile stand za fedder road nikageuza hapo kwenye vile vistand, nikaonekana nimetoka kama barabara ndogo naingia kubwa , baada ya hapo nikakata kulia kuelekea mataa ya magomeni ili niingie morogoro road na kuelekea fire.
 
Hayoo mawazo yako hayoo tuu. Huwezi jua nn kimemsibu, hakuna mtu anaeweza kujitakia hasara au kifo. Ajli imetokea, imetokea tuu. Kama uliskia jana wale boda boda walivyokuwa wanalalamika kuhusu dereva wa bhasi la mwendo kasi alifanya makusudi kumgonga yule mtoto kwa maana alikuwa na uwezo wa kusimama. Usingesema hayo.
Japo ni kama treni lakini pia isiwe sababu ya wao kuzuia ajili kama inawezekana.

Pamoja na hivyo lakini kama hatutajikemea kwa maneno makali ni vigumu sana baadhi yetu
kujirekebisha.
Kwa mfano ingekuwa ni njia ya treni nini kingetokea? Tatizo linakuja baadhi ya madereva
wa vyombo vya moto kudhani kuwa barabara zile hata wao wana haki ya kuzitumia au kujaribu
kuzitumia kwa kuwa tu zimejengwa kwa kodi zetu.
 
Sasa watu kama hawa wakipewa adhabu Kali
Wapo wanao watetea
Kiukweli inaboa sana
 
Hiki ni kipindi cha mpito mpk watu wayazoee ndio ajari zitakwisha ni kama ilivyokuwa kwa bajaj zilipoanzia zilipata sana ajari siku hizi sio sana ikahamia kwa bodaboda mpk sasa bado wanatesa kwa ajari sasa naona na mwendo kasi nayo
 
Na kuna VIFO vingine ukifa kizembe kizembe hata ukienda Mbinguni Mwenyezi Mungu nae kwa hasira anakutupia tu katika dustbin au damponi kwani unampotezea muda wake wa kuwaumba wengine wenye akili nyingi na zilizotukuka.
Hii kali!!
 
Elimu gani unayoitaka wewe?!! Kila siku mnaelimishwa hakuna kukata kulia kwenye njia hizo hamsikii? Kuna alama kubwa tu,taa za kuwaongoza bado jitu linafanya uzembe kama huo mnasingizia hamjapewa elimu! Hebu tuache umbumbumbu jamani. Huu mradi hauna tatizo tatizo ni baadhi ya wabongo wako kama ng'ombe! Jitu utaikuta limevaa tai na suti unaweza kufikiri ni listaarabu kumbe hovyo kabisa afadhali ya ng'ombe wakichungwa wanatii mchungaji wao!
Hahahaaaaa mkuu umenikumbusha jamaa mmoja alikuwa very smart lakini amepaki gari eneo ambalo amezuia wengine kutoka kwenye parking pale namanga. Yan alivokuja kutoa gar mpaka unajiuliza huyu mtu ana tatizo gani?? Kwa kweli kuna watu wanatakiwa wabadilike.
 
wanawake na wanaume wa dar es salaam wapeni elimu wenzenu wa dar hasa bodaboda na madereva wenu
 
Ni kweli mkuu kuna siku nilikuwa naenda kariako nimetoka kigogo kupitia kawawa kufika mataa ya magomeni nikamuona trafiki ikabidi ninyooshe kufika mbele maskini ya mungu sijui nitaingiaje mitaani ili nitokee mapipa kisha niendele kuitafuta fire, njia rahisi nika ingia kushoto kwenye zile stand za fedder road nikageuza hapo kwenye vile vistand, nikaonekana nimetoka kama barabara ndogo naingia kubwa , baada ya hapo nikakata kulia kuelekea mataa ya magomeni ili niingie morogoro road na kuelekea fire.
ulipokatia kona ndio kama sehemu jamaa aliyopatia ajali..hakuna barabara duniani inayoruhusu ufanye u turn katika barabara kubwa sasa zile barabara zimejengwa ambazo inaruhusu mtu kufanya u turn hata kwenye robot zao
 
Huyu dereva wa gari ndogo ni wa kufunga jela tu yaishe.... this is very irritating
 
Mwenyegari ndiye huyo anaeshika nyeti zake? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tu wajuvi wa ubishi na ujuaji sana na ndo maana wakati mwingine tunaitwa manyani ..sisi ni hovyo karibu katika kila kitu
 
Back
Top Bottom