Mhmmmm sanaHii kali!!
Naomba kina mods wa sticky hii comment yako!! Ina ukwelihuo mradi hautochukuwa hata mwaka unakufa. hizo barabara zitakuwa soko la wamachinga!!
hauna ukweli wowote,watanzania vipi mbona mna mambo ya ajabu hivyoo??Naomba kina mods wa sticky hii comment yako!! Ina ukweli
Kwani haya magari yote hayana insurance? Insurance zao zilipe na adhabu nyingine kali shwain kabisanapendekeza zingekuwapo faini za papo kwa papo kama huyo mjinga aliyegonga hilo basi analipishwa akarabati basi bila kupoteza mda wa mahakamani
napendekeza zingekuwapo faini za papo kwa papo kama huyo mjinga aliyegonga hilo basi analipishwa akarabati basi bila kupoteza mda wa mahakamani
Ndio maana ni muhimu hii nchi itawaliwe kidicteta kidogo na baadae kufuatiliwa na viboko. La sivyo hatutakombolewa milele.Watanzania ni wagumu sana kuelewa na kubadilika, sijui tukoje
Kwa sababu Watanzani wengi hawako serious with anything. Bodaboda wamekatazwa kupita kwenye barabara zao lakini bado wanapita. Vivyo kwa magari mengine. Polisi hawako seriois walau katika hizi siku za mwanzo. Umategemea nini? Lile daraja limekuwa ni nyumba ya kulala pamoja na choo. Kwa nini wassiwepo polisi wa kulinda mahali pale?Du! Kwann mkuu
Watanzania ni wagumu sana kuelewa na kubadilika, sijui tukoje
Kuna wengine wanapendekeza watu wawe wanapimwa akili badala ya macho kabla ya kupata leseni90% ya madereva wa dar ni punguani
Elimu labda kwa waenda kwa miguu. Madereva wote wenye leseni ina maana wamepitia mafunzo kwa hiyo wanajua alama za taarifa, onyo na tahadhari, udereva wa kujihami n.k. Kama kuna ambaye hajaenda shule ya udereva hahitaji elimu bali adhabu kali. Anaendeshaje gari bila mafunzo? Mbona haendi theatre kufanyia wagonjwa upasuaji?Elimu elimu elimu!!! Huwezi kuintroduce new system bila kuelemisha umma. Sijaona mahali kwenye TVs, Radio au magazeti kuelimisha raia jinsi ya kutumia hizi njia na jinsi ya kuepuka ajali. Imagine hata kutumia cards ilibidi iwe kwenye tvs au magazeti au radio kabla ya kutumika. Elimu elimu elimu. Tumeletewa vitu watu wamezoea kutanua hawana nidhamu ya barabara. Wengi hawajaenda hata shule ya udereva hivyo tulitegemea angalau vyombo vya habari vingewaonya kuhusu hili. Angalau train zina vizuizi unajua hiyoo inakuja unasimama.
Sema watu wa Dar ni wagumu kuelewa na kubadirika sababu ya ulaji wa chips kutwa nzima chips zenyewe zimekaangiwa mafuta ya TransformerWatanzania ni wagumu sana kuelewa na kubadilika, sijui tukoje
Elimu zipi wakae darasani wananchi au,kama viongozi kusema wamesema sana nadhani sasa kuwe na sheria kali yoyote atakayepita hizo njia kifungo cha jela miezi sita Bila ata msamaha,na alipe fine ya uaribifu litakuwa jambo jema sana pia waunde kikosi Kazi kama cha Moshi mjini ukipatwa umepita Tuuu wamekukamataElimu elimu elimu!!! Huwezi kuintroduce new system bila kuelemisha umma. Sijaona mahali kwenye TVs, Radio au magazeti kuelimisha raia jinsi ya kutumia hizi njia na jinsi ya kuepuka ajali. Imagine hata kutumia cards ilibidi iwe kwenye tvs au magazeti au radio kabla ya kutumika. Elimu elimu elimu. Tumeletewa vitu watu wamezoea kutanua hawana nidhamu ya barabara. Wengi hawajaenda hata shule ya udereva hivyo tulitegemea angalau vyombo vya habari vingewaonya kuhusu hili. Angalau train zina vizuizi unajua hiyoo inakuja unasimama.