Magomeni: Basi lingine la UDART lagongwa

Magomeni: Basi lingine la UDART lagongwa

Inasikitisha sana kwa madereva wa kitanzania kutobadirika, hapo hapo ilipotokea ajali hiyo baada a kuondolewa hizo gari zilizopata ajali, jamaa mwingine pia aka_kunja (u turn) kuelekea kama yule wa awali alivofanya.

Bahati mbaya camera/simu ilikuwa mbali!!.
 
Hizi barabara sasa hivi mfumo wake wa uendeshaji magari umebadilika sana. Ni bora kwa dereva ambae hana uhakika wa njia ya kupita akasimama na kuuliza hasa kwa askari wa usalama barabarani. Barabara zinazokwenda na haya mabasi zimebadilishwa sana. Sehemu tulizokuwa tunazitumia kukunja u turn nyingine zimefungwa.
 
bongo najua madereva wengi wanasukuma tuu magari madereva ni wa mabasi na maroli hawa wenzangu na mimi ukimwambia em tukutane mikumi tuu lazima umkute mtaroni ila ukiwaona katika barabara za mjini ni fujo sana na speed ya juu kumbe hamna kitu..
 
Huu mradi umekaa muda sana watu tumeishazoea rufu za mujini kwenye hizi njia
Wewe umesema kweli...kuchelewa kwake kutumia hizi njia kumezowesha watu vibaya...
Jana barabara ya Samora hubby nusu agongwe...mwenzie kasimama eti yeye ananambia huyu anasimama nini na basi limeshapita...anataka kukanyaga mafuta nikamwambia cheki upande wa pili...kwa akili yake alijua ile njia ya mwendo kasi ni one way na there is no way kukawa na gari nyingine kwa interval ndogo kiasi hicho.....kumbe limepita moja na la pili lilikuwa linaelekea the other side...na hakuna mataa bali alama ya simama...shiiida...


BUT haya mabasi yasijifanye treni...
Ingekuwa tractor wangegonga...?????
Kwenye makutano lazima nao waendeshe kwa tahadhari
 
Basi la mwendo kasi limepata ajali katika junction ya Sheikh Yahya, Magomeni baada ya gari binafsi kupiga "u-turn" sehemu isiyoruhusiwa.
View attachment 349245 View attachment 349246 View attachment 349247 View attachment 349248 View attachment 349250
mimi nadhani kuna changamoto kubwa sana kuhusu miundo mbinu na barabara ilivyotengenezwa....ukitokea kigogo kama unaenda kinondoni hakuna njia inayokuruhusu kwenda maeneo ya fire...sasa unapaswa kwenda kugeuza mbele ya magomeni hospitali au kuna eneo maeneo ya magomeni
si tatizo la madereva ila pia hakuna darasa lililotolewa kwa madereva maana miundo mbinu yetu mibovu hakuna njia mbadala ya kupita ukiwa mataa magomeni unataka kwenda maeneo ya muhimbili
 
napendekeza zingekuwapo faini za papo kwa papo kama huyo mjinga aliyegonga hilo basi analipishwa akarabati basi bila kupoteza mda wa mahakamani
Sawa kabisa, iwe fundisho kwa wengine...njia usiyoruhusiwa kuingia uende kufanya nini? mpe adhabu ya kutosha ajifunze!!
 
mimi nadhani kuna changamoto kubwa sana kuhusu miundo mbinu na barabara ilivyotengenezwa....ukitokea kigogo kama unaenda kinondoni hakuna njia inayokuruhusu kwenda maeneo ya fire...sasa unapaswa kwenda kugeuza mbele ya magomeni hospitali au kuna eneo maeneo ya magomeni
si tatizo la madereva ila pia hakuna darasa lililotolewa kwa madereva maana miundo mbinu yetu mibovu hakuna njia mbadala ya kupita ukiwa mataa magomeni unataka kwenda maeneo ya muhimbili
Kiongozi, kama ni mtumiaji wa facebook jaribu kufatilia page ya 'dereva makini', kuna clips pale zinaonyesha jinsi ya kunavigate pale.
 
bongo najua madereva wengi wanasukuma tuu magari madereva ni wa mabasi na maroli hawa wenzangu na mimi ukimwambia em tukutane mikumi tuu lazima umkute mtaroni ila ukiwaona katika barabara za mjini ni fujo sana na speed ya juu kumbe hamna kitu..

Mkuu dereva bora ni yule anayefuata sheria za barabarani, na sio mwenye uwezo wa kwenda masafa marefu, kwani hawa wa malori na mabasi ndio wanywa viroba na mirungi, na kuvunja sheria kwao ni jambo la kawaida sana. Kuongoza taifa la watu mbumbu ni shida sana.
 
Wewe umesema kweli...kuchelewa kwake kutumia hizi njia kumezowesha watu vibaya...
Jana barabara ya Samora hubby nusu agongwe...mwenzie kasimama eti yeye ananambia huyu anasimama nini na basi limeshapita...anataka kukanyaga mafuta nikamwambia cheki upande wa pili...kwa akili yake alijua ile njia ya mwendo kasi ni one way na there is no way kukawa na gari nyingine kwa interval ndogo kiasi hicho.....kumbe limepita moja na la pili lilikuwa linaelekea the other side...na hakuna mataa bali alama ya simama...shiiida...


BUT haya mabasi yasijifanye treni...
Ingekuwa tractor wangegonga...?????
Kwenye makutano lazima nao waendeshe kwa tahadhari

Kufanya mambo kwa mazoea ndio kunatuumiza mara nyingi. Kwa vile tu mabasi yamechelewa kuanza kazi, isiwe sababu ya watu kuendesha kwa mazoea, fuateni sheria za barabara.
 
Huyo akicheza hilo bus atalitengeneza na jela ataenda....hapo amegonga train maana hilo bus litakuwa limekugonga wewe kama limehamia site yako ila kama ulilifata kwenye njia yake chamoto utakiona.
 
Back
Top Bottom