Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 90,337
- 178,790
Shaurilo! Utakufa na utamu wako🤣Aah mi staki bwana🤣
Shaurilo! Utakufa na utamu wako🤣Aah mi staki bwana🤣
Hapana, hii sio sababuTatizo upare🤣
Ila?Hapana, hii sio sababu
Ndo sielewi tatizo n nnIla?
Naenda kuwalingishia peponi🤣Shaurilo! Utakufa na utamu wako🤣
kila nikisoma hii nyuzi...na-D.I.N.D.A kwa furaha.Jamani mapenzi 🙌🙌🙌
Kila mtu ana ile siku yake ya kukumbukwa a fantastic day ✨
Siku ambayo akili ilitulia kwa asilimia 💯
Mwili ukapokea hisia tofauti kabisa, ukahisi msisimko wa ajabu ❤️
Ukahisi mtetemo wa ndani na nje… good moments like a movie scene 🎬
Siku ambayo kwa saa au dakika kadhaa, kila kitu kilikuwa raha tupu 😮💨
Utamu mpaka kisogoni, na udenda ukichuruzika kifuani 😋
Unaikumbuka hiyo siku? 😉
Au bado hujawahi kabisa kuwa na siku kama hiyo kwenye maisha yako?
Wengine mpo mpo tu sasa hivi…😅
Lakini ipo siku itafika utasema
Aahh… kumbe hii ndiyo ile siku iliyowahi kusemwa JF” 😅✨
That’s what we call a Magical Day 💫
Na huyo mtu aliyekupa hiyo magical feeling… bado mpo pamoja?
Au ni wale wa ahh, vina muda basi 🤪
Mapenzi ni tiba nzuri ❤️
Mapenzi ni dawa na uzuri wake, hiyo dawa si chungu ni tamu kuliko maelezo 😌🫶
NB: NINA MAHUSIANO 🥰🙏
hamchelewi kusema nilipia tangazo 😂
Je, unaikumbuka Magical Day yako? ✨
Mimi nitasema kwa comment 👀
ShesRise_1 👋
Ni sehem gani inakukosha zaidi mkuu kwenye huo uzi ?kila nikisoma hii nyuzi...na-D.I.N.D.A kwa furaha.
kuna hiyo siku corparate gal mmoja hiv alikua ananibania mwanzoni alinicheq akaniambia..."mo njo pompeo imejaa ugiligili"...hiyo ndo siku akanipa na jina la mandingoJR...hawezi nisahau mpaka leo dadeqNi sehem gani inakukosha zaidi mkuu kwenye huo uzi ?
Unakumbuka nini mpaka mnara uinuke 😎
Ulikiwasha sana aiseekuna hiyo siku corparate gal mmoja hiv alikua ananibania mwanzoni alinicheq akaniambia..."mo njo pompeo imejaa ugiligili"...hiyo ndo siku akanipa na jina la mandingoJR...hawezi nisahau mpaka leo dadeq
noma sana..mkuuUlikiwasha sana aisee
Mpka ukabatizwa jina noma sana 🔥😀
Mandingo ina maana gani kwani😅
Kwanini hata ukipewa wote hutopata hiyo hali?Hata nipewe wanawake wote Tz... Sitapata hiyo hali.
KaribuIla siku nikishika mkwanja tall.... Nitawarudia.
Usitamani kofia yangu, ukivaa utaumwa kichwa.Kwanini hata ukipewa wote hutopata hiyo hali?
Nitarudi 2035Karibu
Ila we akili yakoHata nipewe wanawake wote Tz... Sitapata hiyo hali.
Ila siku nikishika mkwanja tall.... Nitawarudia.



Hakuna hiyo au ulitoa bokoUsitaniwe na wewe😂🙌🏾
...........
Pole hiyo kofia ivae mwenyeweUsitamani kofia yangu, ukivaa utaumwa kichwa.
Karibu sanaNitarudi 2035
Anazingua huyu labda kama alishikwa begaIla we akili yako![]()