Magereza ya JF yaboreshwe!!

Magereza ya JF yaboreshwe!!

Woga tupa kulee

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2012
Posts
1,749
Reaction score
1,311
Nani amewahi kupata BAN?
Jamani BAN ni mbaya sana!!!
Yaani uhuru wote unanyimwa,chawa kibao gerezani,hakuna kuonana na ndugu na jamaa,habari za uraiani ndio unazikosa kabisa!!!
Sasa,ingekuwa vyema magereza ya JF yangeboreshwa,ili angalau kupunguza mateso ya wafungwa!!
Ndugu zangu,tuwakumbuke wafungwa waliopo magerezani,just kwa kuwataja hapa,ili huko waliko wajisikie faraja.
Lol!!
Usiombe ulambwe BAN,ni NOMA!
 
Duh! Jamani m nilikula mwezi mzima kifungoni bila kujitetea! Balaa bora nusu mwez bana
 
Imeandikwa kila silaha(manoah) itakayoinuka juu yako haitafanikiwa.
Watakuja kwako kwa njia moja(matusi) ila watakimbia kwa njia saba(ban). Na wote mseme amen.
So shall it be.




We Arushaone ni mod nini!!
BTW Huyu manoah sijui kapewa BAN ya maisha?
Maana ni hodari wa kutukana huyo!!
 
Last edited by a moderator:
Imeandikwa kila silaha(manoah) itakayoinuka juu yako haitafanikiwa.
Watakuja kwako kwa njia moja(matusi) ila watakimbia kwa njia saba(ban). Na wote mseme amen.
So shall it be.

Hahahaaaa...
 
Sijajua alikosa nini mdogo wangu Judgement , manoah acha apumzike kidogo akili imkae sawa
 
Last edited by a moderator:
Sijajua alikosa nini mdogo wangu Judgement , manoah acha apumzike kidogo akili imkae sawa
 
Last edited by a moderator:
Dah,BAN ni nouma!
Mimi nilianzisha uzi wa kumsifia nyani kiongozi wa Gombe,nikalambwa kimakosa BAN ya wiki mbili,ila baada ya ku appeal nikafunguliwa.
Masaa machache tu niliyo kaa jela sina hamu!!
 
Wewe mleta mada jina lako lingine

Huyu atakuwa sie....
Manoah kapigwa ban 11th dec, akatokea member mwingine kajoin 11thdec akapost sredi 4 siku hiyo hiyo nahisi huyo ndo atakuwa manoah mwenyewe!!!
 
Kosa la manoah, kutumia lugha chafu hadharani., pia ku pitiliza kiwango cha utani baina yake na Judgement, ingawa hawa walianza kuzinguana mda mrefu. Kosa la Judgement kuanzisha thread zenye kuashiria kua manoah mfuasi wa ndoa za jinsia moja ambazo yawezekana kuchafua sifa ya mtu kwa wanao wafahamu wote wawili.
 
Nani amewahi kupata BAN?
Jamani BAN ni mbaya sana!!!
Yaani uhuru wote unanyimwa,chawa kibao gerezani,hakuna kuonana na ndugu na jamaa,habari za uraiani ndio unazikosa kabisa!!!
Sasa,ingekuwa vyema magereza ya JF yangeboreshwa,ili angalau kupunguza mateso ya wafungwa!!
Ndugu zangu,tuwakumbuke wafungwa waliopo magerezani,just kwa kuwataja hapa,ili huko waliko wajisikie faraja.
Lol!!
Usiombe ulambwe BAN,ni NOMA!

Jaribu kuwa muungwana uone kama utapata ban Mkuu..
 
Back
Top Bottom