Woga tupa kulee
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 1,749
- 1,311
Nani amewahi kupata BAN?
Jamani BAN ni mbaya sana!!!
Yaani uhuru wote unanyimwa,chawa kibao gerezani,hakuna kuonana na ndugu na jamaa,habari za uraiani ndio unazikosa kabisa!!!
Sasa,ingekuwa vyema magereza ya JF yangeboreshwa,ili angalau kupunguza mateso ya wafungwa!!
Ndugu zangu,tuwakumbuke wafungwa waliopo magerezani,just kwa kuwataja hapa,ili huko waliko wajisikie faraja.
Lol!!
Usiombe ulambwe BAN,ni NOMA!
Jamani BAN ni mbaya sana!!!
Yaani uhuru wote unanyimwa,chawa kibao gerezani,hakuna kuonana na ndugu na jamaa,habari za uraiani ndio unazikosa kabisa!!!
Sasa,ingekuwa vyema magereza ya JF yangeboreshwa,ili angalau kupunguza mateso ya wafungwa!!
Ndugu zangu,tuwakumbuke wafungwa waliopo magerezani,just kwa kuwataja hapa,ili huko waliko wajisikie faraja.
Lol!!
Usiombe ulambwe BAN,ni NOMA!