Magereza ya JF yaboreshwe!!

Magereza ya JF yaboreshwe!!

Nani amewahi kupata BAN?
Jamani BAN ni mbaya sana!!!
Yaani uhuru wote unanyimwa,chawa kibao gerezani,hakuna kuonana na ndugu na jamaa,habari za uraiani ndio unazikosa kabisa!!!
Sasa,ingekuwa vyema magereza ya JF yangeboreshwa,ili angalau kupunguza mateso ya wafungwa!!
Ndugu zangu,tuwakumbuke wafungwa waliopo magerezani,just kwa kuwataja hapa,ili huko waliko wajisikie faraja.
Lol!!
Usiombe ulambwe BAN,ni NOMA!

Washkaji zangu GOOGLE, Darubini,na Darubini1 muendelee kupumzika kule jela nilipo waacha leo asubuhi.
 
Last edited by a moderator:
naona mantiki ya huu uzi sasa imetimia, hakika magereza yameboreshwa...yule MzunguMndali hatunaye tena hapa jukwaani til next year I guess
 
waboreshe kama zamani unakula ban wanatuambia tujue kabisaa...
 
Ni kweli inabidi magereza yaboreshwe ili vijana wajifunze nidhamu maana imefikia wakati mtu anakiri kutamani kutukana na kuomba jukwaa la matusi lifunguliwe ili kuwapunguzia watu hasira kitu ambacho ni hatari.Napendekeza walioko jela wafunguliwe japo dirisha la advice,ili tuwe tunawashauri wanapokuwa jela!
 
Back
Top Bottom