sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,967
- 8,454
Mh...mbona kama kuna mtu kanibana hapa moyoni mwako?Kutoka moyoni mwako unajua fika uko hapa moyoni mwangu!
Mh...mbona kama kuna mtu kanibana hapa moyoni mwako?Kutoka moyoni mwako unajua fika uko hapa moyoni mwangu!
Nani amewahi kupata BAN?
Jamani BAN ni mbaya sana!!!
Yaani uhuru wote unanyimwa,chawa kibao gerezani,hakuna kuonana na ndugu na jamaa,habari za uraiani ndio unazikosa kabisa!!!
Sasa,ingekuwa vyema magereza ya JF yangeboreshwa,ili angalau kupunguza mateso ya wafungwa!!
Ndugu zangu,tuwakumbuke wafungwa waliopo magerezani,just kwa kuwataja hapa,ili huko waliko wajisikie faraja.
Lol!!
Usiombe ulambwe BAN,ni NOMA!
Mkuu "ID speculation" ni kosa hapa JF!
Natamani na wewe uingizwe magereza niwe nakuletea uji
Naona mkuu MzunguMndali karejeshwa magereza tena,loh!