Nani amewahi kupata BAN?
Jamani BAN ni mbaya sana!!!
Yaani uhuru wote unanyimwa,chawa kibao gerezani,hakuna kuonana na ndugu na jamaa,habari za uraiani ndio unazikosa kabisa!!!
Sasa,ingekuwa vyema magereza ya JF yangeboreshwa,ili angalau kupunguza mateso ya wafungwa!!
Ndugu zangu,tuwakumbuke wafungwa waliopo magerezani,just kwa kuwataja hapa,ili huko waliko wajisikie faraja.
Lol!!
Usiombe ulambwe BAN,ni NOMA!
Mkuu "ID speculation" ni kosa hapa JF!
Natamani na wewe uingizwe magereza niwe nakuletea uji
Tehe tehe! Wafuasi wa kibwetere bwana si aliwashukia?karibu natoboa mwaka wa pili, ban naisikia tu! Utakesha ukingoja kama wafuasi wa kibwetere!
Kaka,hawa vijana inabidi waige mfano wa mtakatifu,toka ajiunge mpaka muda huu wala hajui BAN ni kitu gani....
Natamani na wewe uingizwe magereza niwe nakuletea uji