Magereza ambayo Scorpion mtoboa macho anafaa apelekwe

Magereza ambayo Scorpion mtoboa macho anafaa apelekwe

Laiti mm ningekuwa rais yule jamaa aliyemtoboa macho mwenzake ningeamuru anyongwe pale jangwani tena mchana kweupe bila pazia kila mwananchi ajionee

AKIFANYA HIVYO UJUE KITUO CHA HAKI ZA BINADAMU NA VYAMA VYA TANZANIA VINAVYOFUATA MKONDO WA KILEBERALI WATAMSHITAKI NA MWISHO TUTAWEKEWA VIKWAZO. SIUNAONA TANGAI WATAFITI WAUAWE HUKO DODOMA HAKUNA WATU WA VYAMA WALA WATU WA HAKI ZA BINADAMU WA KILAANI LAKINI KUKATAZWA KUFANYA MAANDAMANO YASIYOKUWA NA KIKOMO ETI WAKAISHITAKI SERIKALI KWA WAFADHILI.
 
Huyu jamaa apelekwe tarime. Aachwe kwa sekunde tano tu. Baada ya hapo wamchukue wakamzike manake Dar wala chipsi wameshindwa
 
Mkuu wasiliana na MADEE au hata JAMAL MALINZI.
 
Scorpion anapaswa kupelekwa gereza la kulilankulunkulu huko lindi,hili ni gereza lenye mateso mengi,mashamba makubwa ya kulima na chakula kidogo,huyu mbuzi anapaswa aende huko.
Hlo KALILANKULUNKULU lipo mkoa wa katavi
 
Mimi naombea ashinde kesi arudi mtaani aone kazi, buguruni si walikuwa wanamuogopa
 
Afungwe maisha anyee ndooo weeee maisha yake yote,akiuawa hatateseka sana.
 
Mpaka sasa kama 0713 ya Scorpion ni nzima askari magereza watakuwa wametuangusha sana.
Yule jamaa natamani afanywe kitu mbaya sana...sio kwa machozi niliyolia kwa alichomfanyia mwenzie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom