Magereza ambayo Scorpion mtoboa macho anafaa apelekwe

Magereza ambayo Scorpion mtoboa macho anafaa apelekwe

Yaani kila nilifikiria dar ukisikia mwizi,ujue kashakufa hachukui round!
Ss huyu mtu eti anaangaliw,anaogopwa?
Bado sielewi,sio bure
Mkuu hata me inanishangaza sana kuhusu huyu mtu, hata makosa aliyoshitakiwa nasikia ni unyang'anyi wa kutumia silaha, wala hakuna shitaka la kudhuru mwili, kujaribu kuua na kumsababishia kijana wa watu upofu wa kudumu... Na.... Na... Daah, inasikitisha kwakweli.

Ikiwa hakukutwa na silaha wala vitu vinavyosadikika alivipora si ni kumtoa dismiss mahakamani huko?
 
Apelekwe gereza la Malya mkoa wa shinyanga, ndio gereza la Tatu kwa ukubwa Tanzania na linapokea wahalifu walioshindikana
 
uyoo jamaa kapewa kesi nyepesi sana najiuliza ni kwanini spati jibu uyuu lazma atatoka tu
 
Sheria zinasemaje? Tunataka utawala wa sheria na siyo kukurupuka na kulipiza visasi. Mafisadi wameua watu wangapi kwa kuiba mamilioni ambayo yangetumika kununulia madawa ambayo yangeokoa maelfu ya watu masikini? Mbona haya majizi hatujasema yanyongwe?

Kwa mawazo haya nakuombea kamwe usiwe rais wala mtu mwenye dhamana juu ya maisha ya wengine. Hufai!
 
Laiti mm ningekuwa rais yule jamaa aliyemtoboa macho mwenzake ningeamuru anyongwe pale jangwani tena mchana kweupe bila pazia kila mwananchi ajionee
Mbona adhabu mdogo sana hiyo...huyo anatakiwa kuwa hanged by dogs...wanachukuliwa German shepherd 30 wanakuwa starved for 3 days kwenye chumba maalumu halafu huyo shetani anatupiwa ndani huko...kamfamyia mwenzie kitu cha kinyama sana
 
Hili suala la scorpion naona kuna jambo moja kubwa nyuma ya pazia zaidi ya ukibaka hasa kwa mtu ambaye anaonesha hela ya kula haimpigi chenga na mshindi wa dume aliyepata milioni ishirini na vipaji lukuki lazima kuna suala halipo wazi na hatulijui wansema ni mtoa macho tungependa kujua visa vingine vya watu waliotolewa macho na scorpion na muda wote polisi walidili nalo vipi japo siungi mkono jambo alilofanya sio zuri sema kisa nahisi ni zaidi ya hicho si kwa hasira zile
 
Laiti mm ningekuwa rais yule jamaa aliyemtoboa macho mwenzake ningeamuru anyongwe pale jangwani tena mchana kweupe bila pazia kila mwananchi ajionee
Ungekuwa na taarifa za kutosha nadhani usinge ongea hivyo!.
 
Mbona adhabu mdogo sana hiyo...huyo anatakiwa kuwa hanged by dogs...wanachukuliwa German shepherd 30 wanakuwa starved for 3 days kwenye chumba maalumu halafu huyo shetani anatupiwa ndani huko...kamfamyia mwenzie kitu cha kinyama sana
kitendo alichofanya ni cha kinyama, bali sio kweli kwamba sisi sote tunaojishaua humu ndani ni wasafi, wengine wetu tumeshawahi kufanya unyama mkubwa kuliko huo tofauti ni kwamba haukuwa publicised hivyo tunajiona wema sana. I am not good person simply because somebody else sins differently than I do! Adhabu zinazotolewa na sheria zitafaa kabisa maana zilitafakariwa kabla ya kupitishwa kuwa sheria sio kwa mihemuko ya kibinadamu kama hii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom