Magereza ambayo Scorpion mtoboa macho anafaa apelekwe

Magereza ambayo Scorpion mtoboa macho anafaa apelekwe

Kama atafungwa miaka mingi bado ni hasara kwetu maana hatokua anatoka nje kwenda kulima au kupasua mawe atakuwa anacheza mpira tu ndani. Mimi napendekeza watuachie tu huku kitaani tutajua cha kumfanya nadhani tutatoa adhabu inayoendana naye.
Kweli mkuu watuachie kumpe hukumu mana huko atakuwa yupo sehemu salama sana
 
Sisi in binadamu wapita njia katika dunia.hatutakiwi kuwatakia mabaya wenzetu.tusameheane na kwa kweli kila MTU ana mapungufu yake.napenda kuchukua fursa hii kumtakia scorpion atoke jela aje awe balozi wa amani kitaa na aje ajutie makosa yake.wapo akina Dada wanaotoa mimba kila Siku hayo yote ni dhambi.scorpion kampofosha mwenzake.kwa jinsi alivyoandikwa kesha jifunza.na yule mwalimu aliyemtwanga makofi denti naye kakosea sana.atubie kwa Mungu na sisi tumsamehe.
Kweli nimeamini Research ya kuwa kati ya watanzania watatu mmoja ni chizi...

[emoji51][emoji51][emoji51]
 
Adhabu yake ni kutolewa macho tu nakuachiwa awe huru aone raha na utamu wa kuishi na upofu.
 
Uyu wamlete AR alafu wamuachie pale stendi watangaze tu jamani uyu ndo scorpion mtoa macho sec 20 nyingi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom