Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 25,443
- 46,201
Ila scorpion noma eti mkiwa wengi ndio anafurahi
Unaambiwa kabobea katika Sanaa za Mapigano,teh teh teh.
Ila scorpion noma eti mkiwa wengi ndio anafurahi
Gereza lililopo Lindi no KINGURUNGUNDWA na si kama ulivyoandika wwScorpion anapaswa kupelekwa gereza la kulilankulunkulu huko lindi,hili ni gereza lenye mateso mengi,mashamba makubwa ya kulima na chakula kidogo,huyu mbuzi anapaswa aende huko.
Umeonaee.. Walimhanya huko mtaani, mtu akatolewa macho mbele yao, wakidai Ooh amecheza karate, ooh ni katili sana, saa hizi ameshakamatwa ndo wanatunisha misuli nyuma ya keyboard. Wakanywe tu fursana walale.Wanaume wa dar hamna kitu
Lipo gereza ambalo ni zaidi ya magereza yote, asipotubu ataingia ndani ya hilo gereza baada kifo chake.
Kingurungundu mkuu ndo linavyoitwaScorpion anapaswa kupelekwa gereza la kulilankulunkulu huko lindi,hili ni gereza lenye mateso mengi,mashamba makubwa ya kulima na chakula kidogo,huyu mbuzi anapaswa aende huko.
Tupe sababu ya pendekezo lakoHabar wadau,
Nimetafakari kwa ukatili wa scorpion mtoboa macho aliokuwa nao napendekeza hukumu ikitoka huyu muuwaji nashauri apelekwe kwenye magereza yafuatayo:-
1.KITENGULE-KAGERA
2.ISANGA-DODOMA
3.RUKARANGA-KILIMANJARO
4.BUTIMBA-MWANZA
5.MAWENI-TANGA
NAWE MDAU ONGEZEA GEREZA LINALOMSTAHILI HUYU KATILI MTOA MACHO MUUWAJI.
NAWASILISHA
Apelekwe gereza la kibiti huko ni balaa kulima huku unapigwa bakola mgongonianyongwe tu
Mreteni uko tarime tata, kitaa cha shauri yako tumpime ubabe. Akipumua nusu saa basi namlala mama yangu wallahi!!Habar wadau,
Nimetafakari kwa ukatili wa scorpion mtoboa macho aliokuwa nao napendekeza hukumu ikitoka huyu muuwaji nashauri apelekwe kwenye magereza yafuatayo:-
1.KITENGULE-KAGERA
2.ISANGA-DODOMA
3.RUKARANGA-KILIMANJARO
4.BUTIMBA-MWANZA
5.MAWENI-TANGA
NAWE MDAU ONGEZEA GEREZA LINALOMSTAHILI HUYU KATILI MTOA MACHO MUUWAJI.
NAWASILISHA
Sina la kujitetea na wala nilikuwa sijitetei na sina haja ya kujitetea katika hoja isiyohitaji utetezi wa kutetewa.Jitetee kwa lingine Lakini sio kuhalalisha uovu kisa kuna uovu ambao haujachukuliwa hatua.
[emoji817]
Kama atafungwa miaka mingi bado ni hasara kwetu maana hatokua anatoka nje kwenda kulima au kupasua mawe atakuwa anacheza mpira tu ndani. Mimi napendekeza watuachie tu huku kitaani tutajua cha kumfanya nadhani tutatoa adhabu inayoendana naye.