Magereza ambayo Scorpion mtoboa macho anafaa apelekwe

Magereza ambayo Scorpion mtoboa macho anafaa apelekwe

napendekeza asifungwe akibidhiwe kwa watu wa mikoani,wampimie shamba la kulima....eeh maana wa mikoani wanatudharau sana wa dar.the teh
 
Umechanganya mbaya, Scorpion kundi moja na waalimu?!!
 
Mbona mkuu scorpion anaweza kuwa free coz watu wanaogopa kwenda kutoa ushahidi na kesi siku zote ni ushahidi bila ya hivyo ngoma inapigwa chini hamasishen watu wajitokeze kwa ajili ya ushahidi
 
Scorpion anapaswa kupelekwa gereza la kulilankulunkulu huko lindi,hili ni gereza lenye mateso mengi,mashamba makubwa ya kulima na chakula kidogo,huyu mbuzi anapaswa aende huko.
Acha kumfananusha mbuzi na vitu vya kijinga wewe!!
 
huyo scorpion angetobolewa kwanza macho aishi miaka 30 jela ili wafungwa wenzake nao wamshuhulikie halafu akkmaliza 30yrs ndio anyongwe
 
Kama sharia zinaruhusu mi naona apelekwe Guantanamo, Marekani akae gereza moja na watuhumiwa wa ugaidi hapo ndo atajua gerezani kukoje.
 
Sheria zinasemaje? Tunataka utawala wa sheria na siyo kukurupuka na kulipiza visasi. Mafisadi wameua watu wangapi kwa kuiba mamilioni ambayo yangetumika kununulia madawa ambayo yangeokoa maelfu ya watu masikini? Mbona haya majizi hatujasema yanyongwe?

Kwa mawazo haya nakuombea kamwe usiwe rais wala mtu mwenye dhamana juu ya maisha ya wengine. Hufai!
Jitetee kwa lingine Lakini sio kuhalalisha uovu kisa kuna uovu ambao haujachukuliwa hatua.




[emoji817]
 
M


Mahakama ndo chombo cha kutoa haki kwa mjibu katiba yetu, raisi angeamuru vp wakati hasikilizi kesi? Au siku hizi ndo kazi ya raisi kufanya kila kitu? Raisi anayo nafasi ya kusaini kunyongwa kama mahakama imempata na hatia na ikamhukumu kifo,
Kutokujua ni tatizo sana.
Me nadhani wewe ndio haujui sharia Rais ana uwezo wa kuibatilisha hukumu ya mahakama na kumuweka mshtakiwa huru bila kuingiliwa na mhimili wowote na vilevile anao uwezo wa kuamuru mtu fulani ahukumiwe hukumu yeyote bila kupitia mchakato wowote wa kimahakama.



[emoji817]
 
Mpaka sasa kama 0713 ya Scorpion ni nzima askari magereza watakuwa wametuangusha sana.
Yule jamaa natamani afanywe kitu mbaya sana...sio kwa machozi niliyolia kwa alichomfanyia mwenzie.
Wengine hiyo ndio raha yao unaweza kudhani ni mateso kumbe ndio umetii kiu yake.



[emoji817]
 
Tupe basi maana nina wasiwasi na hili jambo sielewi kwann alikuwa kimya muda wote sielewi ilikuwajekuwaje
Kuna haja kujiuliza kidogo, Toka atuhumiwe kutenda kosa hilo lililo tugusa walio wengi amekuwepo eneo la tukio muda wote huku baadhi ya mamlaka zikijua na zikimjua mtuhumiwa hadi taarifa zilipo anza kuzagaa mitandaoni hadi hapo mtuhumiwa alipo enda mwenyewe kituo cha polisi na kuzuiliwa huko na hatimaye kufikishwa Mahakamani, hongera Mh Makonda na watu Clouds . Lakini pia inawezekanaje mtu hatari mwenye sifa kama hizo tulizo sikia tuishi naye mtaani bila mamlaka ku detect uhalifu wake huo uliopitiza wakati kuanzia asubuhi, mchana hadi usiku anakuwepo eneo hilo hilo la tukio na jeshi letu la polisi gari lao la patrol kila siku lina kuwepo eneo hilo hilo kuanzia mida hiyo hiyo ya muda wa tukio?. Mimi nadhani kwa kuwa tunahitaji kukomesha matendo kama hayo ndani ya jamiii yetu tuendelee kujifunza juu ya tukio hilo huenda tukajua mengi zaidi ya haya tuliyo yasikia na tukayapatia ufumbuzi wa kudumu, hebu tusogee Buguruni eneo la tukio tuendelee kujifunza!.
 
Habar wadau,
Nimetafakari kwa ukatili wa scorpion mtoboa macho aliokuwa nao napendekeza hukumu ikitoka huyu muuwaji nashauri apelekwe kwenye magereza yafuatayo:-

1.KITENGULE-KAGERA
2.ISANGA-DODOMA
3.RUKARANGA-KILIMANJARO
4.BUTIMBA-MWANZA
5.MAWENI-TANGA

NAWE MDAU ONGEZEA GEREZA LINALOMSTAHILI HUYU KATILI MTOA MACHO MUUWAJI.
NAWASILISHA
Kihabakari au Serengeti kule Mara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom