+255
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 1,939
- 762
Mbona mlishindwa kumuadhibu kipindi yupo uraiani?Kama atafungwa miaka mingi bado ni hasara kwetu maana hatokua anatoka nje kwenda kulima au kupasua mawe atakuwa anacheza mpira tu ndani. Mimi napendekeza watuachie tu huku kitaani tutajua cha kumfanya nadhani tutatoa adhabu inayoendana naye.