Magazine ya kanisani hasa kwa wadada

Magazine ya kanisani hasa kwa wadada

Nadhani bado hujajua KANISA ni nini.

wewe mbona upo uchi sasa
1551433639391.png
 
Si mbaya kuwa na magauni matatu ya heshima ambayo ni ya kanisani tu.
Ila si inasemwa Mungu yupo mahali pote (sasa sijui hii pote mpaka kule kwa shetani), sasa huko kwingine iweje wavae kishetani?
 
Kama hii ndiyo moral wa society yenu hamna shida kwani mmeshaikubali. Lakini sisi hatuna ethics za kwenda kanisani nusu mptupu
Hivi ili ni tatizo la binadamu au Mungu? Kwa kuwa Mungu yupo sehemu zote, je tunaoga na nguo kule bafuni? Je, nusu utupu sio ndio lile neno kuwa myakabili majaribu ili muweze kuirithi mbingu?
 
Hivi ili ni tatizo la binadamu au Mungu? Kwa kuwa Mungu yupo sehemu zote, je tunaoga na nguo kule bafuni? Je, nusu utupu sio ndio lile neno kuwa myakabili majaribu ili muweze kuirithi mbingu?
Kwani unafanya ibada kule bafuni? Hata ukiwa chumbani peke yako huombi Mungu ukiwa na birth suit
 
[emoji860]wanawake wengi ambao wana kimba la kutoolewa, wanafanya juu chini kupafanya makanisani kama sehemu ya kurusha karata zao, na ndio maana wanavalia nguo za matanisho..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mate umesahau tumekuwa wengi kuliko me
Ni mpango wa kupokezana
Copy n paste inawatesa wengi
* nje ya mada kidogo msibani vipi mate huendi? Nasikia wengine wameenda watoke kwa social media wapate kiki uwiiiii WaTz nimenyoosha mikono juu..
sawa kabisa bidada, nyie wanawake mpo kama utitiri..[emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi niko Igumbilo hapa Iringa na ninasali usharika wa Igumbilo na wakati mwingine Kanisa Kuu Iringa mjini. Wadada wa huku wana ngozi inayozuia na kuhimili baridi za aina zote, wanapiga tuvazi tata hata kukiwa na baridi ya 4°C
[emoji860]asante kwa taarifa, wiki hii ntakuwa mgeni wenu hapo kanisani..[emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio matatu tu dada,yawe yote ya heshima.
Mavazi pekee hayapimi ukristo wa Mtu lakini Ni moja miongoni mwa vipimo

Sisi ni barua,tuwe vielelezo ,mataifa waige mienendo yetu..upole wetu,heshima yetu,matendo yetu na tabia zetu zijulikane na watu



Sisi Ni Nuru ya ulimwengu,,sisi Ni taa...ukivaa hivyo mtu anaetarajia kuokoka atajifunza nini!???hakuna

Nini kitakachomuonyesha utofauti Kati yako na yeye??hakuna

Wakristo wa siku hizi tunavaa Kama watu tusiomjua Mungu, yaani Mtu anavaa Hadi unajiuliza hivi huyu hakujikagua kabla hajaondoka!! Mwingine anaanza kuhangaika kuvuta kinguo kipo huku juu ya magoti badala kukaa kwa utulivu kusikiliza ibada



Sent using Jamii Forums mobile app
Globalization(tukiwasifia mnavimba vichwa mno)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani unafanya ibada kule bafuni? Hata ukiwa chumbani peke yako huombi Mungu ukiwa na birth suit
Sidhani kama Mungu anakuwepo pale unapofanya sala tu. Zaidi ya hapo, msisimuko na kuvaa vile wakati mwingine wanawake wanakuwa kwenye heat na neno linasema tuijaze dunia.
 
Back
Top Bottom