Kuna Habari kuwa wakuu wa vyombo vya ulinzi wamekuwa wa kilipwa mamiliioni ya dollars na makapuni makubwa ya uchimbaji wa madini. Ili vyombo hivyo vifanye kazi ya kuhakikisha makapuni hayo hayasumbuliwi na yoyote.
Sasa najiuliza unaweza je kusema Tanzania Kuna vyombo vya Habari wakati habari kama hiyo inandikwa uraya, wakati magazeti ya Tanzania yamejaza kurasa zake za mbele Habari za teuzi?
Sasa najiuliza unaweza je kusema Tanzania Kuna vyombo vya Habari wakati habari kama hiyo inandikwa uraya, wakati magazeti ya Tanzania yamejaza kurasa zake za mbele Habari za teuzi?