Magari ya kutoka China yashika soko SA

Magari ya kutoka China yashika soko SA

Suala la kuwa magari ya mchina hayadumu kama ya nchi za Magharibi siyo suala la mjadala bali ni ukweli. Ila kuna angalizo: kosa ni kuwa watu wanayaponda mpaka inaleta picha ni kama ''magari ya mabox'', yasiyofaa kwa lolote. Jambo jingine: watu husema uzoefu ni mwalimu mzuri. Huenda baada ya muda wachina nao wataweza kuboresha magari yao yawe imara. Na mwisho: bidhaa za kichina kwangu mimi kosa lao ni moja... wanaiga mno design za magharibi. Unakuta eg gari wanatoa ukiliangalia utadhani ni Range Rover ki-muonekano, lakini ukichunguza unakuta ni la kichina. Hii inafanya hata mtu anayemiliki anaonekane kama limbukeni-mshamba aliyebambikiziwa.. kama yale ma-iphone ya kichina.

China wameanza kuunda magari yao miaka mingi sana iliyopita isipokuwa yalikuwa ni kwa matumizi ya ndani...

Wamekuwa wakifanya hivyo kwa mabasi ya abiria (long and town trips), magari ya kubeba mizigo (trucks), magari ya kijeshi n.k

Uundwaji wa magari ya kuuza nje umekuja karibuni na umechochewa zaidi wakati ambapo teknolojia ya magari ya umeme ilipoibuka na ukawa ni mpango mkakati wa kupambana na USA/Tesla...

Hizo kampuni ndogo sana unazoona zinaunda magari kwa kucopy muonekano wa magari ya kimagharibi, huwezi kukuta michezo hiyo inafanywa na Chery, BYD, Yutong, FAW n.k

Nimeandika kutokana na experience maana nimeishi China kwa muda mrefu miaka kadhaa iliyopita...
 
Watanzania sio watumiaji wa magari yanayotoka na muda tunasubiri yatumike kwa miaka mingi harafu ndio tuagize na tunaulizana mileage na kula mafuta wenzetu walishatoka huko wakiona Nchi ina magari mazuri wanawapa vibali wawauzie Raia wao haya magari huku tumeanza kuyaona yakitumika miaka kumi naa iliyopita ila mengi mpaka leo hakuna yaliyofika Tanzania na utaona tupo busy kuyaponda kwa vitu ambavyo hatuvitumii kazi kweli kweli..
20260303_132009.jpg
20260303_132041.jpg
 

Attachments

  • 20260303_132013.jpg
    20260303_132013.jpg
    1.3 MB · Views: 21
Hizi gari kuzagaa kwenye ardhi yetu itachukua miaka 10 ijayo wakati hapa zipo mtaani nyingi sana kama tupo Beijing.
20260306_151305.jpg
20260306_151900.jpg
20260306_151908.jpg
20260306_151327.jpg
 

Attachments

  • 20260306_151832.jpg
    20260306_151832.jpg
    976.2 KB · Views: 22
  • 20260306_151900.jpg
    20260306_151900.jpg
    1.5 MB · Views: 21
  • 20260306_151722.jpg
    20260306_151722.jpg
    1 MB · Views: 19
Sio kweli mkuu nina gari pick up mwaka wa tano huu nalitumia na nazunguka nalo kila napokua huku sema vitu vingi vinavyokuja Tanzania ni copy...hizo gari za polisi GMW utaziona maana zipo hapo na pia SA wao kubadilika wanaangalia kitu kama kipo sawa mtu anatumia tu..
Haval wanafanya vizuri na gari zao ni bora pia..
Tanzania hizi gari kuja mpaka mmoja aanze kununua ndio wengine wataanza wakati huku washayachoka..
Huku 2013 niliwahi kununua Mazda CX 5 ya mwaka huo huo kwenye auction nilipotaka kuja nayo 2014 jamaa akasema bora nimletee Mercedes kuliko Mazda hajaielewa nikampelekea Mercedes ya 2010 baadae aliposikia kelele za Mazda akaja kuagiza tena wakati yeye alikua mtu wa kwanza kujua ila hakuitaka kwa hiyo ndugu zangu nawajua hizi Haval Tigo mtakuja kuzitumia mpaka msikie kelele na watu wengine wakiagiza kwa wingi..
Magari ya kichina ni pasua kichwa nakwambia haya magari ya china yana stak barabarani baada ya muda mfupi tu hayaduku haya labad kama matymiz yako ni nyumbani na kazini lkn kikaz aisee ni heri ununue toyota used kuliko hayo ya 3yd yana goma goma sana mchina hana kitu kinachodumu kamwe.
 
Magari ya kichina ni pasua kichwa nakwambia haya magari ya china yana stak barabarani baada ya muda mfupi tu hayaduku haya labad kama matymiz yako ni nyumbani na kazini lkn kikaz aisee ni heri ununue toyota used kuliko hayo ya 3yd yana goma goma sana mchina hana kitu kinachodumu kamwe.
Sio kweli unachoongea mkuu China wanatumia hizi gari kwao na SA zimeshika soko sana miaka mingi sasa kuna Tigo ipo sakoni sasa.
 
Yap SA ni RHD kama huku sijaona LHD..
Tanzania vitu vinachelewa sana kufika kwa sababu ya kodi kubwa ya magari watu wanabaki kumezeshana sumu kwa magari mapya na kuendelea kununua gari za mwaka 2004 tukibaki kuulizana mileage ngapi..
Kuna sedans nimeziona za Zeekr na Xpeng eti mpya chini ya $20,000 zile nazipa miaka 2-3 najua zutashuka sana.
 
Uchumi wa souz unashuka sana kupitia bidhaa za kichina haya magari ukiliweka barabarani mwezi mmoja tu utashangaa yani ni box la plastic umbi kubwa bei rahis hayadumu kabisa viwanda vya polo na nissan vinapata hasara lakini ndio magari mazuri na yana dumu muda mrefu uchuni wa souz unakamatwa na mchina sasa hv na ana haribu nchi kila sehemu.
Acha uwongo wa kijinga
 
Hivi hizi EVs ukinunua inabidi ujenge charging station yako home?
Hapa nimeona yapo magari ambayo unatumia cable yao ambayo unaiunga kwenye zile socket za umeme mkubwa (Jiko) vichwa vyake vipo tofauti kidogo kupata mtaalamu wa umeme ni sahihi kufanya hilo..
 
Back
Top Bottom