Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,613
- 864
Leo kulikuwa na mkutano wa Chadema Mto wa Mbu. Mkutano huo ukihutubiwa na makamamda Nanyaro, Samson Mwigamba, Amani Gulugwa na wengine wengi, umepeleka kilio tena upande wa Magamba aka CCM baada ya wanachama wake takribani 300 kuvua Gamba na kuvaa Gwanda. Kiujumla mkutano ulikuwa na mwitikio mzuri na mjumbe mmoja wa serikali ya kijiji, mabalozi waliungana na wenzao takribani 300 kujivua Gamba.
Kama hali ikiendelea namna hii, pasipo mashaka 2015 kitaeleweka.
Nawasilisha.
Kama hali ikiendelea namna hii, pasipo mashaka 2015 kitaeleweka.
Nawasilisha.